Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

Makosa tuyafanyayo ndani ya JF

JF sio ya kuichukulia kwa hisia. Ni sehemu ya kuburudika, baada ya hapo ya humj unayacha humu humu, ukija tena unaendelea na mengine.
Ndio maana watu tupo hapa, hatujawahi pata BAN. 😁

Mtu anakutukana unacheka tuu, anakujaza na kukudunisha unatabasamu, unajibu hoja tui, ndio dawa ya JF. Kuna watu humu ni mafundi wa kujaza povu wenzao. 😁
 
JF sio ya kuichukulia kwa hisia. Ni sehemu ya kuburudika, baada ya hapo ya humj unayacha humu humu, ukija tena unaendelea na mengine.
Ndio maana watu tupo hapa, hatujawahi pata BAN. 😁

Mtu anakutukana unacheka tuu, anakujaza na kukudunisha unatabasamu, unajibu hoja tui, ndio dawa ya JF. Kuna watu humu ni mafundi wa kujaza povu wenzao. 😁
Kuna watu wapo serious ohoooo🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Kuna watu wapo serious ohoooo🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

Ndio wanaoongoza kwa makasiriko humu, hapa JF sio kwa kutaka kuwa relevance, mtu anataka aonekane ni smart humu, anataka kuonekana ana akili au ametoboa kimaisha! 😁

Mtu ukimpinga kwa hoja, anakumwagia matusi ya nguoni. 😁
 
Ndio wanaoongoza kwa makasiriko humu, hapa JF sio kwa kutaka kuwa relevance, mtu anataka aonekane ni smart humu, anataka kuonekana ana akili au ametoboa kimaisha! 😁

Mtu ukimpinga kwa hoja, anakumwagia matusi ya nguoni. 😁
Nipo hapa kwa miaka mingi, hakuna mtu hapa alishambuliwa kama Marehemu Le Mutuz, lakini alikuwa na kanuni ya kutojali mtu humu. Ilimsaidia sana. 😁
Kanuni ni moja ya kutojali✅️
Tatizo sasa sio kila mtu anaweza ku ignore mambo
 
Kanuni ni moja ya kutojali✅️
Tatizo sasa sio kila mtu anaweza ku ignore mambo

Ku ignore mambo ambayo yanaweza kukuletea hisia hasi, ni hekma na ni ustaarabu. Ustaarabu na hekma sio ya kila mtu, sawa na common sense, sio ya kila mtu. 😁
Hapa tunatumia majina bandia, ni sehemu ya bandia pia. Sasa kwanini wewe uwe huko Mpitimbi, upate hasira au hisia hasi kutoka kwa watu wenye kujiwekea ubandia? 😁
Mtu anakwambia wewe ni masikini, na wewe unajua kiuhalisia ni tajiri, kwanini ukasirike. 😁
 
Si ndio mi nashangaa unavyoogopa 😏
Nisiogope mie uogope wewe 😉
Hebu njoo tuone hasi na chanya vikikutana inakuaje🤔
Nimekuzaaa🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿😷🤣
8fe48cc6-3faa-4902-b718-eedb7cc95083.jpeg
 
Ku ignore mambo ambayo yanaweza kukuletea hisia hasi, ni hekma na ni ustaarabu. Ustaarabu na hekma sio ya kila mtu, sawa na common sense, sio ya kila mtu. 😁
Hapa tunatumia majina bandia, ni sehemu ya bandia pia. Sasa kwanini wewe uwe huko Mpitimbi, upate hasira au hisia hasi kutoka kwa watu wenye kujiwekea ubandia? 😁
Mtu anakwambia wewe ni masikini, na wewe unajua kiuhalisia ni tajiri, kwanini ukasirike. 😁
Umwambie mwanaume humu ni masikini huoni kama una mpeperushia ndege wake 😄 anyway muhimu tuheshimiane tu tuwe na lugha za staha

Ukiweza ku ignore ni raha sana
Ila mie pia mood ikiwa off unavyokuja ndio navyokupokea
Kuna kichaa humu alitaka kunipanda kicwani yule ningemchekea alikua ananizoea mnoo
Maana alikurupuka kama chafya na kuanza vitisho 😀
 
Back
Top Bottom