"Makosa"tunayofanya kwenye mahusiano

Kaizer

Platinum Member
Sep 16, 2008
25,320
17,823
Wapwa na mabinamu

hili limenijia kichwani nikaona bora tulijadili kwa pamoja hasa wale waliopo wkenye mahusiano ya kindoa/GF/BF.

Ni hivi, kwanza wengine wanakuwa na matarajio ya juu mno dhidi ya mwenzake.....kwamba kila kitu kitakuwa perfect kila saa kila siku na miaka yote...hili sio kweli......ni utopia kufikiria hivyo na ni bora kijiandaa mapema kwa 'mabadiliko' yeyote yale

la pili, niende kwenye ishu nzima ya kumegana/kula tunda la kati....kuna wengine wamekremisha kuwa unaanza hivi, unashika hapa, chomeka chomoa and the like...KWISHA...yaani ile Kiprofessional like. Kumbe mapenzi hayataki mambo ya uprofession, kufanya mapenzi ni KUUACHIA mwili na akili viende vinavyotaka...Usiutune ubongo kwamba lazima hiki kianze ndo hiki kifuatie, au style hii kisha ile...HAPANA.

Kama siku hiyo umejikuta kifo cha mende kinakubali, JIACHIE...kama umekuta paka chongo, JIACHIE, ukikuta siku hiyo mzuka upo kwenye mbuzi kagoma, jiachieni kwa raha zenu.....usitake kulazimisha kifo cha mende.....Ukikuta siku hiyo ni mambo ye TEMBELE ndo yanakubali.,,jiachieni....tuepuke kudhani kwamba kuna FORMULA katika ufanyaji wa mapenzi....RELAX and do it accordingly.


Jengine, hili kwa wake/wapenzi wetu ni kwamba TUNAWAPENDA...hata kama ukiona mtu amefanya infidelity jua hiyo ni ya KUPITA lakini mambo yapo HOME ndo maana ukawepo in the first place, I mean hakuna mwanaume mwenye akili zake timamu anayefanya infidelity akiwa na hizia za mapenzi ya dhati ndani yake....LOVE inakuwa sehemu MOJA tu....

ni hayo tu kwa sasa!
 
Makubali kote ila paragraph ya mwisho...infidelity ni KUKOSA AKILI..as the Bible sayeth!!!MWISHO
 
Jengine, hili kwa wake/wapenzi wetu ni kwamba TUNAWAPENDA...hata kama ukiona mtu amefanya infidelity jua hiyo ni ya KUPITA lakini mambo yapo HOME ndo maana ukawepo in the first place, I mean hakuna mwanaume mwenye akili zake timamu anayefanya infidelity akiwa na hizia za mapenzi ya dhati ndani yake....LOVE inakuwa sehemu MOJA tu....

ni hayo tu kwa sasa!
Kamata hii hapo chini..


The Following 1 User say Thank You to Kaizer For This Useful Post: Kimey (Today)
 
Makubali kote ila paragraph ya mwisho...infidelity ni KUKOSA AKILI..as the Bible sayeth!!!MWISHO


ni kweli mkulu , ukisoma between the lines ni kwamba hata KUKOSA huko kwa akili ni KWA MUDA tu sio wakati wote ndio maana mwisho wa siku unarudi HOME tartiiib,....
 
Wapwa na mabinamu

hili limenijia kichwani nikaona bora tulijadili kwa pamoja hasa wale waliopo wkenye mahusiano ya kindoa/GF/BF.

Ni hivi, kwanza wengine wanakuwa na matarajio ya juu mno dhidi ya mwenzake.....kwamba kila kitu kitakuwa perfect kila saa kila siku na miaka yote...hili sio kweli......ni utopia kufikiria hivyo na ni bora kijiandaa mapema kwa 'mabadiliko' yeyote yale

la pili, niende kwenye ishu nzima ya kumegana/kula tunda la kati....kuna wengine wamekremisha kuwa unaanza hivi, unashika hapa, chomeka chomoa and the like...KWISHA...yaani ile Kiprofessional like. Kumbe mapenzi hayataki mambo ya uprofession, kufanya mapenzi ni KUUACHIA mwili na akili viende vinavyotaka...Usiutune ubongo kwamba lazima hiki kianze ndo hiki kifuatie, au style hii kisha ile...HAPANA.

Kama siku hiyo umejikuta kifo cha mende kinakubali, JIACHIE...kama umekuta paka chongo, JIACHIE, ukikuta siku hiyo mzuka upo kwenye mbuzi kagoma, jiachieni kwa raha zenu.....usitake kulazimisha kifo cha mende.....Ukikuta siku hiyo ni mambo ye TEMBELE ndo yanakubali.,,jiachieni....tuepuke kudhani kwamba kuna FORMULA katika ufanyaji wa mapenzi....RELAX and do it accordingly.


Jengine, hili kwa wake/wapenzi wetu ni kwamba TUNAWAPENDA...hata kama ukiona mtu amefanya infidelity jua hiyo ni ya KUPITA lakini mambo yapo HOME ndo maana ukawepo in the first place, I mean hakuna mwanaume mwenye akili zake timamu anayefanya infidelity akiwa na hizia za mapenzi ya dhati ndani yake....LOVE inakuwa sehemu MOJA tu....

ni hayo tu kwa sasa!

Mkuu kama yaonekana ni mjuzi sana wa hizi styles.
Hebu tumit kwenye jukwaa la mambo yetu kule utudadavulie kwa kina mkuu.
 
Wapwa na mabinamu

hili limenijia kichwani nikaona bora tulijadili kwa pamoja hasa wale waliopo wkenye mahusiano ya kindoa/GF/BF.

Ni hivi, kwanza wengine wanakuwa na matarajio ya juu mno dhidi ya mwenzake.....kwamba kila kitu kitakuwa perfect kila saa kila siku na miaka yote...hili sio kweli......ni utopia kufikiria hivyo na ni bora kijiandaa mapema kwa 'mabadiliko' yeyote yale


la pili, niende kwenye ishu nzima ya kumegana/kula tunda la kati....kuna wengine wamekremisha kuwa unaanza hivi, unashika hapa, chomeka chomoa and the like...KWISHA...yaani ile Kiprofessional like. Kumbe mapenzi hayataki mambo ya uprofession, kufanya mapenzi ni KUUACHIA mwili na akili viende vinavyotaka...Usiutune ubongo kwamba lazima hiki kianze ndo hiki kifuatie, au style hii kisha ile...HAPANA.

Kama siku hiyo umejikuta kifo cha mende kinakubali, JIACHIE...kama umekuta paka chongo, JIACHIE, ukikuta siku hiyo mzuka upo kwenye mbuzi kagoma, jiachieni kwa raha zenu.....usitake kulazimisha kifo cha mende.....Ukikuta siku hiyo ni mambo ye TEMBELE ndo yanakubali.,,jiachieni....tuepuke kudhani kwamba kuna FORMULA katika ufanyaji wa mapenzi....RELAX and do it accordingly.


Jengine, hili kwa wake/wapenzi wetu ni kwamba TUNAWAPENDA...hata kama ukiona mtu amefanya infidelity jua hiyo ni ya KUPITA
The Following 3 Users Say Thank You to Kaizer For This Useful Post:

 
Makubali kote ila paragraph ya mwisho...infidelity ni KUKOSA AKILI..as the Bible sayeth!!!MWISHO
Hapo ndipo unapokosea sasa.

ni kweli mkulu , ukisoma between the lines ni kwamba hata KUKOSA huko kwa akili ni KWA MUDA tu sio wakati wote ndio maana mwisho wa siku unarudi HOME tartiiib,....
Ewaaa! Ni heri ukose akili kwa muda kuliko MUDA WOTE, siyo hommie?
Mkuu kama yaonekana ni mjuzi sana wa hizi styles.
Hebu tumit kwenye jukwaa la mambo yetu kule utudadavulie kwa kina mkuu.
Hommie Kaizer, bado uko Sauzi? Hebu mpitie JZ azidi kukuongezea maujuzi. Si unaona una wanafunzi wengi hapa?

Umependeza shemeji,,,,,asante kwa kurudisha 'vazi' lako la zamani........
:lalala::A S-heart-2::A S kiss::nono::nono:
 
ni kweli mkulu , ukisoma between the lines ni kwamba hata KUKOSA huko kwa akili ni KWA MUDA tu sio wakati wote ndio maana mwisho wa siku unarudi HOME tartiiib,....
Si kila mtu anakosa akili muda fulani...?
 
kaizer..................!
ngoja niende nikaaaaa:A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:
be back shortly
 
Jengine, hili kwa wake/wapenzi wetu ni kwamba TUNAWAPENDA...hata kama ukiona mtu amefanya infidelity jua hiyo ni ya KUPITA
love is overrated, love is complicated, huwezi kusemea kila mtu.
 
Hahah Kaizer nilijua hiyo sentensi ya mwisho lazima iwepo ..Haya Teamo na RR mna la kuongezea?
 
Hapo ndipo unapokosea sasa.

:welcome:

Ewaaa! Ni heri ukose akili kwa muda kuliko MUDA WOTE, siyo hommie?
Hommie Kaizer, bado uko Sauzi? Hebu mpitie JZ azidi kukuongezea maujuzi. Si unaona una wanafunzi wengi hapa?

hahahahahha:cheer2: wale wa JZ wanajua exactly mwanaume wa kiafrika (tusema in general, hao wazungu 'wameshikiwa akili') walivyo

:lalala::A S-heart-2::A S kiss::nono::nono:


bora amerudi asee naona sijui ilikuwa maternity...hebu do ze nidiful hommie hilo vazi unalionaje hapo nadhani uwe na gobore kabisa
 
okay,labda tuanze hivi...
kuna ugonjwa hatari sana umeingia da'slaam unaitwa CHEZUMWI....!
mewahi kuusikia wakuu?
 
Back
Top Bottom