Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
:closed_2:Wewe pia ni mwathirika wa CHEZUMWI hata kama haupo Dar!
:closed_2:Wewe pia ni mwathirika wa CHEZUMWI hata kama haupo Dar!
Afu na wewe............ Anyway!I buy e'thing in Kaizer's post but infidelity no!NO!NO! i beg! i beg! ibeg x10
hehehehehehe!journal hizi bana hizi journal hizi......!Anza kukusanya za mbuzi....Ahadi ni Deni.
Sasa turudi kwenye mada.... wewe huwa unajiachia na mshiki au mpaka usome ma-journals?
Alichosahau mtukufu hommie Kaizer, ni kutoihusisha Valuu katika tendo hilo takatifu.:smile-big:
Ilikua niende leo lakini na-postpone till futher notice...CHEZUMWI...
CHE-mbechembe za...
ZU-ma
MWI-lini
kwa hapa tanzania huu ugonjwa umeingilia RHOMBO-MOSHI
Dawa ya ugonjwa huo hapo kwenye bluu ni VALUU. Infedeletaz wote semeni Amina.Hii nimeipenda...manake kiukweli watu wakishakaa wakazoeana kidogo basi inakua mazoea kufanya mambo kama jana na juzi kumbe kila siku inabidi uwe mbunifu..ila kuna wengine huanzisha timbwili ukileta mautundu sana hudhani umejifunzia kwenye mechi za ugenini...kumbe hii ni katika kuboresha...manake watu tunapendana tukiwa tuna malezi tofauti wengine bila kifo ya mende wanajua hakuna mapenzi kumbe kuna styles kama 999 za kula tunda na kuboresha mahusiano...mapenzi si uchafu coz wapenzi wengine huona uchafu kufanya oral sex si unajua tena mambo ya kutumia ulimi yanavyoweza kumchefua mtu hasa akikutana na mpenzi asiyejipenda kuwa soap soap so natoa rai kujiachia vilivyo na ukipata ujuzi ktk mechi za nje leta ndani kuboresha ila usinogewe ukawa researcher kila siku unataka ukalete mbinu mpya utaharibu ...
Ni hayo tu...kama wasemavyo wanywaji "drink responsibly" nasema "explore r
esponsibly"
hehehehe!Ilikua niende leo lakini na-postpone till futher notice...
Haya magonjwa ya ajabu ajabu lazima mtu yakimbie...
I here by command my fellow CHEZUMWI mhanga akaedit hii yuziful sred ili kutotumia VALUU iwe ni sehemu ya makosa kwenye mahusiano!hehehehehehe!journal hizi bana hizi journal hizi......!
halafu kwenye valuer hapo ni FATAL MISTAKE KUTOIHUSISHA KABISA
Thank Ooh My Lord. Am a man from Rombo!!wafuatao ni wahanga wa CHEZUMWI:
1)ASPRIN
2)KAIZER
3)ROYA
4)KI-MEY
5)DOKTA
6)MUHASIBU
7)OSHENIKI
any man from rhombo ataingia tu
KWA HUKU KWETU USALULE tunae mmoja tu ambaye tumeshamuweka quarantine kwa uchunguzi zaidi!vipimo vimethibitisha kuwa ana CHEZUMWI...!mgogoro ni kwamba hatokei rhombo sasa....Thank Ooh My Lord. Am a man from Rombo!!
Thank Ooh My Lord. Am a man from Rombo!!
I here by command my fellow CHEZUMWI mhanga akaedit hii yuziful sred ili kutotumia VALUU iwe ni sehemu ya makosa kwenye mahusiano!
Kaizer Go edit Go!!
Thank Ooh My Lord. Am a man from Rombo!!
Nadhani makosa makubwa tunayoyafanya ni kuwapa partners wetu false expectations
Orait Orait!! Lakini ungetakiwa japo uzipe uzito unaostahili.:glasses-nerdy:Hommie,
Valuu, beer and the like zipo BY DEFAULT tu post ingekuwa ndefu sana bana.....
:ranger::ranger:
kuna hili jambo hata mimi limenikuta sana (hasa kwa wanawake) CONFUSING HOPES WITH REALISTIC EXPECTATION, huwezi kuingia kwenye relationship na script mkononi. its ok kuwa na fantasies lakini kama zinasababisha dissapointment mara kwa mara basi unajiandalia mazingira ya kuharibu connection iliyopo, badala yake ni heri tu ku focus kwenye mazuri yaliyopo na yanayowezekana.Nadhani makosa makubwa tunayoyafanya ni kuwapa partners wetu false expectations
Dawa ya ugonjwa huo hapo kwenye bluu ni VALUU. Infedeletaz wote semeni Amina.
Mheshimiwa Valuu.... Twakuomba utusikie.