:A S-rap::A S-rap::A S-rap:mmmmh
Hivi bible inazungumziaje kutukana au kumwambia mwenzako kakosa akili?
:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:Conclusion: Tumkatae shetani na mambo yake yote.
Nasikia roho wa bwana akiniita katika utumishi. Naomba nianze na mabinamu wote.........NO TO INFIDELITY.
love is overrated, love is complicated, huwezi kusemea kila mtu.
Hahahaha wale wadudu wenye pua bapa nasikia wameanza kupungua sokoni nilisha sahau lo.
Mkuu umechelewa kidogo...karibu kundini..Conclusion: Tumkatae shetani na mambo yake yote.
Nasikia roho wa bwana akiniita katika utumishi. Naomba nianze na mabinamu wote.........NO TO INFIDELITY.
ipi hiyo FL1, hebu iweke hapa...na kwa nini ulijua hivyo>...:welcome:
Jengine, hili kwa wake/wapenzi wetu ni kwamba TUNAWAPENDA...hata kama ukiona mtu amefanya infidelity jua hiyo ni ya KUPITA lakini mambo yapo HOME ndo maana ukawepo in the first place, I mean hakuna mwanaume mwenye akili zake timamu anayefanya infidelity akiwa na hizia za mapenzi ya dhati ndani yake....LOVE inakuwa sehemu MOJA tu....
QUOTE]
Hii inaonekane kukaa kimfumo dume zaidi...; does it apply both ways? vipi mwanamke mwenye akili timamu akifanya infidelity kidogo, naye anakuwa hana hisia za mapenzi?
Otherwise, spontaneity kwenye sex is good, ingawa sijui itakuwaje kama mzuka utataka TIGO siku hiyo...