Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Kiuhalisia ili apatikane huyo mtoto lazima kwanza mwanamke na mwanaume wafanye tendo la ndoa na mimba iingie,kama ni hivyo basi lazima ukubali kuwa watu walikuwepo kabla yetu sie.

Baba yupo kazini hajui chochote kuhusu nyumbani,ila hiyo haifanyi kuwa hakuna kilichopo au kinachoendelea nyumbani kwake hadi kwamba yeye awepo.
Hajui chochote kwa kuwa yupo. Kama hayupo, hata hali ya kutokujua chochote haitakuwepo.
 
wewe bro inaonekana bado mtoto sana, pia hujui hata falsafa ya maisha ikoje, inaonekana unaishi tu kama mnyama, falsafa ya maisha hakuna cha bure kila kitu kina gharama huwezi kula km hujatafuta chakula, inakuwaje leo unataka kuishi maisha ya peponi wakati hujafa? Suala la kuumba viumne wenye madhara ujue tu kila kitu kina faida na hasara, hata nyoka na sumu yake inayoua pia ni tiba muhimu kwa wagonjwa wa saratani ( cancer), tuliza munkari dogo maisha hayahitaji papara mdogo mdogo tu utaelewa.
 
Hajui chochote kwa kuwa yupo. Kama hayupo, hata hali ya kutokujua chochote haitakuwepo.
Hoja yangu hapo ni kwamba hali ya wewe kutojua au kutokuwepo kabisa haifanyi na vitu vyengine visiwepo,na ndiyo maana nikasema kabla ya sisi kuwepo kuna waliyokupo na ndiyo chanzo cha sisi pia kuwepo.

Pia nikatoa na huo mfano wa baba kwamba kutokujua kinachoendelea nyumbani au kutokuwepo nyumbani hali hiyo haifanyi kuwa hakuna kilichopo nyumbani.
 
Hoja yangu hapo ni kwamba hali ya wewe kutojua au kutokuwepo kabisa haifanyi na vitu vyengine visiwepo,na ndiyo maana nikasema kabla ya sisi kuwepo kuna waliyokupo na ndiyo chanzo cha sisi pia kuwepo.

Pia nikatoa na huo mfano wa baba kwamba kutokujua kinachoendelea nyumbani au kutokuwepo nyumbani hali hiyo haifanyi kuwa hakuna kilichopo nyumbani.
Hebu fikiria, kuna mtu fulani hajazaliwa. Wazazi wanajaribu kupata mtoto hawafanikiwi. Huyu mtoto wanayemtafuta, hayupo na hajakaa kuwepo. Wazazi hawa na wa kumwita mama wala baba. Huyu mtoto ambaye kwa sasa hayupo (hajazaliwa), kwa upande wake, kuna dunia? Kuna wazazi? Kuna Mungu? Kwake yeye, hakuna chochote, sio wazazi, sio Mungu, hadi atakapokuwepo.

Kujua kuwa kulikuwa na vitu kabla ya kuwepo kwake, wakiwemo wazazi wake na Mungu, kunategemea kwa asilimia 100 na uwepo wake.

Kwa hiyo, hata Mungu ni zao la uwepo tu. Usipokuwepo, hakuna Mungu, hakuwahi kuwepo na hatakuwepo hadi siku wewe utakapokuwepo.
 
Jibuni kwa hoja sio kukimbilia kumshitaki mtoa mada kwa Mungu
 
Hebu fikiria, kuna mtu fulani hajazaliwa. Wazazi wanajaribu kupata mtoto hawafanikiwi. Huyu mtoto wanayemtafuta, hayupo na hajakaa kuwepo. Wazazi hawa na wa kumwita mama wala baba. Huyu mtoto ambaye kwa sasa hayupo (hajazaliwa), kwa upande wake, kuna dunia? Kuna wazazi? Kuna Mungu? Kwake yeye, hakuna chochote, sio wazazi, sio Mungu, hadi atakapokuwepo.

Kujua kuwa kulikuwa na vitu kabla ya kuwepo kwake, wakiwemo wazazi wake na Mungu, kunategemea kwa asilimia 100 na uwepo wake.

Kwa hiyo, hata Mungu ni zao la uwepo tu. Usipokuwepo, hakuna Mungu, hakuwahi kuwepo na hatakuwepo hadi siku wewe utakapokuwepo.
Nimeshaeleza kuwa kiuhalisia kutokuwepo kwetu hakukufanya vitu vyengine kutokuwepo pia,uwepo wa vilivyokuwepo kabla yetu ndio chanzo cha sie kuwepo na sio kwamba baada ya uwepo wetu sie ndio umefanya vyengine viwepo.

Sasa wewe unafanya wewe ni sawa na kusema kwamba visivyokuwepo ndiyo husababisha vitu kuwepo.

Unachoeleza wewe hakipo kwenye uhalisia ni sawa na mie niseme kwangu mimi Nyerere bado yupo hai,au niseme kwangu mimi fulani(yuko hai) ameshakufa.
 
Umefanya nicheke japo sio mazuri. Mungu hajawahi kukosea. Akili zake hazichunguziki na pia hekima zako wewe ni upumbavu mbele zake.
 
Wapo atheists kibao tu ambao wamekubali uwepo wa Mungu,

Kuwa atheist nikukataa uwepo wa Mungu, sasa atheist anayekubali uwepo wa Mungu ni contradiction.

Ni kama mke wa mtu ambaye hajaolewa, ni kama pembetatu iliyoduara.

Zaidi, watu kukubali dhana fulani si jambo lakulifanya jambo hilo kuwa kweli. Kuna watu wengi waliamini jua linazungukadunia, lakini hilo halikufanya jua lizunguke dunia.

Tuongee hoja, si watu.

Kuna msemo "small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas". Ukitoka kwenye ku discuss ideas, uka discuss watu, bila muktadha, unakwenda kwenye small minds

si jambo la ajabu(kama hili nalo la kubisha sema niweke list) ila cha kutafakari hapa,ni kwamba kama uthibitisho ndio ingekuwa ni hoja ya msingi kwa basi hili jambo lisingewezekana.

Uandishi wako mtu anayesoma neno bada ya neno anapata shida kukuelewa.

Your diction is jumbled, you are not conveying.

Unapoandika " ila cha kutafakari hapa,ni kwamba kama uthibitisho ndio ingekuwa ni hoja ya msingi kwa basi hili jambo lisingewezekana" hapo una maana gani? Sentensi imekaa ovyo kiasi kwamba hata kuijadili zaidi siwezi


Na ndiyo maana mara zote nakwambia kuwa suala la uwepo wa Mungu ni imani ndiyo ipo hivyo na si kwamba watu wameamua tu waamini kwa kukosa uthibitisho,

Unaweza kuthibitisha hili?
hivyo hizo hoja za kwamba amejificha sijui hakuna uthibitisho zinakuja baada ya kuliondoa suala la uwepo wa Mungu kwenye sehemu yake husika.

Kama unaongelea imani, huna haja ya kubishana na mtu.

Ukishabishana na mtu, maana yake umejitoa kwenye imani umeingia katika uthibitisho.

Sasa wewe huku haupo na wala kule haupo.

Kwenye imani haupo (kwa sababu unabishana na mimi jambo la imani, ukianza kubishana kuhusu jambo la imani umejiondoa kwenye iamni, unajiweka kwenye uthibitisho)

Kwenye imani haupo.

Kwenye uthibitisho nako hutaki, unasema hili ni jambo la imani.

Haupo kote, kwenye imani wala uthibitisho.

Unawayawaya kama popo aliyeondolewa uwezo wa kujua njia!

Hujui unaenda au unarudi.

Kama unaona hakuna lolote lenye kukufanya hadi uamini kuwa kuna Mungu,basi hapo ndio kwenye hoja ya msingi lakini sio kuja kutumbia kuwa hakuna uthibitisho.

Sitaki kuamini, nataka kujua.

Kama unaweza kuthibitisha Mungu yupo, thibitisha.

Kama unasema Mungu nisuala la imani na halihitaji uthibitisho, usiingie katika mjadala wa kutaka uthibitisho wa kuwepo Mungu.
 
Kama uthibitisho ingekuwa ndio hoja ya msingi kuonesha hakuna Mungu basi isingewezekana kwa atheits kuja kukubali uwepo wa Mungu.

Tafakari.
Kama uthibitisho ingekuwa ndiyyo hoja ya msingi kuonesha duniani tufe, basi isingewezekana kwa wanaoamini dunia ni tufe kuja kukubali kwamba dunia ni bapa.

Logical non sequitur of an infantile category.
 
Kuwa atheist nikukataa uwepo wa Mungu, sasa atheist anayekubali uwepo wa Mungu ni contradiction.

Ni kama mke wa mtu ambaye hajaolewa, ni kama pembetatu iliyoduara.

Zaidi, watu kukubali dhana fulani si jambo lakulifanya jambo hilo kuwa kweli. Kuna watu wengi waliamini jua linazungukadunia, lakini hilo halikufanya jua lizunguke dunia.

Tuongee hoja, si watu.

Kuna msemo "small minds discuss people, average minds discuss events, great minds discuss ideas". Ukitoka kwenye ku discuss ideas, uka discuss watu, bila muktadha, unakwenda kwenye small minds



Uandishi wako mtu anayesoma neno bada ya neno anapata shida kukuelewa.

Your diction is jumbled, you are not conveying.

Unapoandika " ila cha kutafakari hapa,ni kwamba kama uthibitisho ndio ingekuwa ni hoja ya msingi kwa basi hili jambo lisingewezekana" hapo una maana gani? Sentensi imekaa ovyo kiasi kwamba hata kuijadili zaidi siwezi




Unaweza kuthibitisha hili?


Kama unaongelea imani, huna haja ya kubishana na mtu.

Ukishabishana na mtu, maana yake umejitoa kwenye imani umeingia katika uthibitisho.

Sasa wewe huku haupo na wala kule haupo.

Kwenye imani haupo (kwa sababu unabishana na mimi jambo la imani, ukianza kubishana kuhusu jambo la imani umejiondoa kwenye iamni, unajiweka kwenye uthibitisho)

Kwenye imani haupo.

Kwenye uthibitisho nako hutaki, unasema hili ni jambo la imani.

Haupo kote, kwenye imani wala uthibitisho.

Unawayawaya kama popo aliyeondolewa uwezo wa kujua njia!

Hujui unaenda au unarudi.



Sitaki kuamini, nataka kujua.

Kama unaweza kuthibitisha Mungu yupo, thibitisha.

Kama unasema Mungu nisuala la imani na halihitaji uthibitisho, usiingie katika mjadala wa kutaka uthibitisho wa kuwepo Mungu.
Kama umeshindwa kuona tofauti ya atheists ambao wamekubaki uwepo wa Mungu na atheit anayekubali uwepo wa Mungu,basi hiyo ni shida yako.

Halafu mie sijadili watu bali najadili hoja ya uthibitisho kwenye suala la uwepo wa Mungu kama ambavyo wewe unavyomtaja James kwenye issue ya biblia. Nimewataja kutokana na hoja yao ya kwamba hakuna uthibitisho wa wa kuwepo Mungu ila baadhi yao huja kujubali uwepo wa Mungu na kuachana na hoja ya kwamba hakuna uthibitisho wa kuwepo Mungu.

Kuhusu kujadili imani,ni kwamba kama unaona imani haijadiliwi basi usingekuwa unajiingiza kwenye mada zenye kuhusu masuala ya imani,maana kama umekuta humu watu wanazungumzia suala la imani yao ya uwepo wa Mungu halafu wewe unaingilia na kusema hakuna Mungu basi ni wewe ndiye uliyeanzisha majadiliano kwenye suala la kiimani na kuanza kutaka uthibitisho.
 
Kama umeshindwa kuona tofauti ya atheists ambao wamekubaki uwepo wa Mungu na atheit anayekubali uwepo wa Mungu,basi hiyo ni shida yako.

Halafu mie sijadili watu bali najadili hoja ya uthibitisho kwenye suala la uwepo wa Mungu kama ambavyo wewe unavyomtaja James kwenye issue ya biblia. Nimewataja kutokana na hoja yao ya kwamba hakuna uthibitisho wa wa kuwepo Mungu ila baadhi yao huja kujubali uwepo wa Mungu na kuachana na hoja ya kwamba hakuna uthibitisho wa kuwepo Mungu.

Kuhusu kujadili imani,ni kwamba kama unaona imani haijadiliwi basi usingekuwa unajiingiza kwenye mada zenye kuhusu masuala ya imani,maana kama umekuta humu watu wanazungumzia suala la imani yao ya uwepo wa Mungu halafu wewe unaingilia na kusema hakuna Mungu basi ni wewe ndiye uliyeanzisha majadiliano kwenye suala la kiimani na kuanza kutaka uthibitisho.
Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Mengine ni longolongo tu.
 
Kama uthibitisho ingekuwa ndiyyo hoja ya msingi kuonesha duniani tufe, basi isingewezekana kwa wanaoamini dunia ni tufe kuja kukubali kwamba dunia ni bapa.

Logical non sequitur of an infantile category.
Oh! Kwahiyo atheits nao wanaamini hakuna Mungu na ndiyo maana inawezekana kuja kukubali uwepo wa Mungu bila uthibitisho.
 
Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Mengine ni longolongo tu.
Hakuna anayeamini Mungu kwa sababu ana uthibitisho na wala hakuna anayeamini Mungu kwa sababu hakuna uthibitisho.
 
Hakuna anayeamini Mungu kwa sababu ana uthibitisho na wala hakuna anayeamini Mungu kwa sababu hakuna uthibitisho.
Huwezi kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Mengine ni longolongo tu.
 
Back
Top Bottom