Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Mungu akusamehe mtoa posti...


Kweli maisha yamekuwa magumu mpaka watu hawajielewi.
 
1.KUMUUMBA SHETANI:
Hili lilikuwa kosa kubwa sana. Makosa yate yamechepuka kutoka hapa. Shetani anawasababishia watu maovu, then Mungu anawahukumu watu dhaifu. Hapa Mungu inambidi amkamate shetani na kumtokomeza ili maovu yaishe, kama wote wanatoshana nguvu basi wasuluhishe ugomvi wao na kupatana ili maisha yawe ya amani.

2.KUISHI MAFICHONI:
Toka enzi na enzi, Mungu amekuwa akiishi mafichoni, kwanini asijitokeze na kujionesha kwa viumbe vyake? Anaishi mafichoni kwani yeye ni Joseph Kony? Hili limepelekea watu wake kudanganywa na manabii wa uongo na kutapeliwa bure. God come from your hidings and reveal yourself to your people.

3.MAFURIKO YA WAKATI WA NUHU:
Mungu alisababisha mafuriko ili kuangamiza watu waovu na kubakiza watu wema, Yes he did, sasa waovu wa leo wametoka wapi? mbona aliuwa watu wengi bila huruma? Kama mafuriko yalikuwa ni suluhisho la maovu, Yesu na mitume walijia nini? It seems he fought effects instead of causes.

4.SAFARI YA WANA WA ISRAELI:
Mungu aliwatoa wana wa Israel kutoka Misri kwa madai ya kuwapa nchi ya ahadi, matokeo yake aliwaamuru wafanye uvamizi wa nchi za watu(mf. waamori, wamoabu na wakanani). Kwanini asingebadilisha jangwa na kuwatengenezea waisraeli nchi yao? mbona Gadaffi aliweza? Imagine waje wapuuzi hapa TZ wachukue nyumba na ardhi kwa madai kwamba wameagizwa na Mungu, ungereact vipi? WE HAVE TO BE FAIR!

5.KUTOTIMIZA AHADI YAKE KWA ABRAHAM:
Mungu alimwambia Abraham kuwa atampatia uzao wa wana wengi kama nyota za angani au mchanga wa pwani. Sasa hivi ukichanganya walio wa Abrahamu na wasiyo wa kwake bado watu hawawezi kuwa sawa na nyota au mchanga wa pwani. Ata ukijumlisha na waliokufa back to Adam. Atatimiza lini hi ahadi? je kuna muda wa kutosha? mbona watumishi wake wanasema Yesu yuu karibu kuja ili kutamatisha nyakati?

6.KUWEPO KWA MZIO(ALLERGY):
Kwanini watu wengi ambao ni wema wana allergy na vitu alivyoumba Mungu? mbona maandiko yanasema kila alichoumba Mungu ni chema? Kwanini aumbe mimea na wanyama wenye sumu kwa watu wake awapendao? au hakujua?

7.MAJANGA ASILIA:
Kama Mungu aliumba dunia ili iwe sehemu ya amani kwa watu wake na wamwabudu yeye, kwanini kuna matetemeko ya nchi, vimbunga na mafuriko. Kwanini anawauwa watu kikatili hivi? au haya nayo tumsingizie shetani?

8.KUUMBA VIUMBE HATARISHI:
Kwanini Mungu aumbe bacteria, virusi, fangasi na viumbe wengine wanaosababisha magonjwa na kifo? Kwanini hawa viumbe wasingefia kwenye yale mafuriko ya Nuhu ili watu wema alio wabakiza waishi kwa amani? Je hawa viumbe hatari Mungu alimwamuru Nuhu awaingize wawili wawili kwenye safina?

9.JEHANAMU NA MOTO WAKE:
Kwanini Mungu aumbe jehanamu kuteketeza waovu? Kwani hajui kusamehe? Kwanini huruma yake ina kikomo kwa shetani? Kama wewe ni mzazi, mwanao akikukosea na hajaomba msamaha, itabadilisha uhalisia kuwa yule sii mwanao? SHETANI PAMOJA NA WAOVU NI KAZI YA MIKONO YAKE, PRODUCTS OF HIS OWN MIND BEFORE CREATED THEM. So aache kuweka vinyongo na kutamani kulipiza kisasi juu ya kazi yake.

10.KASORO KWENYE MWILI WA BINADAMU:
Kwanini pawepo na mabadiliko hasi kwenye jeni za binadamu(mutation)? kwani hakujua hicho ni chanzo cha viwete??? Kidole tumbo(appendix) ni cha kazi gani? mbona hajatoa maelezo namna ya kukitumia? Na chuchu za mwanaume ni za kazi gani?

TO THE RIGHT WING OR THE LEFT WING WE ARE NEITHER, NOT EVEN AT THE MIDDLE....R.I.P MOBUTU!

===================
Wewe ni nani hasa mpaka uchunguze makosa ya Mungu,,,je na ninani aliye kwambia Mungu anamakosa,,Mungu atusamehe sana....
 
Mungu yupo.
yupi?
1) aliyeumba njaa kisha akaumba chakula
2) akaumba kiu kisha akaumba maji
3) aliumba kula na baadaye chooni 4) Aliumba kunywa baadaye...
orodha haina mwisho
ikiwa ni hivyo, huyo mungu hakosei, na ndie ninae muamini mimi.....
 
1.KUMUUMBA SHETANI:
Hili lilikuwa kosa kubwa sana. Makosa yate yamechepuka kutoka hapa. Shetani anawasababishia watu maovu, then Mungu anawahukumu watu dhaifu. Hapa Mungu inambidi amkamate shetani na kumtokomeza ili maovu yaishe, kama wote wanatoshana nguvu basi wasuluhishe ugomvi wao na kupatana ili maisha yawe ya amani.
Mungu hajawahi kumuumba Shetani,nenda kasome biblia yako vizuri....
2.KUISHI MAFICHONI:
Toka enzi na enzi, Mungu amekuwa akiishi mafichoni, kwanini asijitokeze na kujionesha kwa viumbe vyake? Anaishi mafichoni kwani yeye ni Joseph Kony? Hili limepelekea watu wake kudanganywa na manabii wa uongo na kutapeliwa bure. God come from your hidings and reveal yourself to your people.
Kuna watu wameona umeuliza maswali ya msingi sana lakini ni kinyume kabisa,mfano hai ni hili swali lako la mafichoni,umeambiwa wapi Mungu yupo mafichoni? Nani kakuambia Mungu "anaishi"?

Kila siku nikitaka nazungumza naye,nakushangaa wewe unayesema yupo mafichoni,anapatikana tena bure kabisa kuliko hata wewe ukitaka kuongea na mimi ni lazima utumie hela....
3.MAFURIKO YA WAKATI WA NUHU:
Mungu alisababisha mafuriko ili kuangamiza watu waovu na kubakiza watu wema, Yes he did, sasa waovu wa leo wametoka wapi? mbona aliuwa watu wengi bila huruma? Kama mafuriko yalikuwa ni suluhisho la maovu, Yesu na mitume walijia nini? It seems he fought effects instead of causes.
Duh! hii mada imeandikwa kutoka kwa mtu asiyejua kabisa mambo mengi,suala la Yesu nitaliacha,suala la waovu nitaliacha pia lakini,nitakuonesha kuwa umeandika haya bila kujielewa kabisa.....

Huko juu umehoji sababu ya Mungu kutomuangamiza Shetani,hapa unahoji nbi kwanini Mungu aliangamiza waovu,hakuna consistency kwenye maswali yako,unajichanganya na hujielewi....
4.SAFARI YA WANA WA ISRAELI:
Mungu aliwatoa wana wa Israel kutoka Misri kwa madai ya kuwapa nchi ya ahadi, matokeo yake aliwaamuru wafanye uvamizi wa nchi za watu(mf. waamori, wamoabu na wakanani). Kwanini asingebadilisha jangwa na kuwatengenezea waisraeli nchi yao? mbona Gadaffi aliweza? Imagine waje wapuuzi hapa TZ wachukue nyumba na ardhi kwa madai kwamba wameagizwa na Mungu, ungereact vipi? WE HAVE TO BE FAIR!
Hujui kabisa kuhusu hili na ndiyo maana unakuja hapa unadhani unahoji kumbe unaonesha ni namna gani ulivyo mjinga [ujinga hapa ninamaanisha kutokujua]....

Hujui kabisa kuwa eneo hilo Ibrahimu aliligharamia kwa kulinunua,wewe unakuja hapa kulipuka na lawama tu,pole sana....
5.KUTOTIMIZA AHADI YAKE KWA ABRAHAM:
Mungu alimwambia Abraham kuwa atampatia uzao wa wana wengi kama nyota za angani au mchanga wa pwani. Sasa hivi ukichanganya walio wa Abrahamu na wasiyo wa kwake bado watu hawawezi kuwa sawa na nyota au mchanga wa pwani. Ata ukijumlisha na waliokufa back to Adam. Atatimiza lini hi ahadi? je kuna muda wa kutosha? mbona watumishi wake wanasema Yesu yuu karibu kuja ili kutamatisha nyakati?
Bado unaendelea kuhoji mambo kwasababu ya ignorance ya kutisha....

Nikuulize swali la kukustua,Unajua watoto au uzai wa Ibrahimu ni akina nani leo?
6.KUWEPO KWA MZIO(ALLERGY):
Kwanini watu wengi ambao ni wema wana allergy na vitu alivyoumba Mungu? mbona maandiko yanasema kila alichoumba Mungu ni chema? Kwanini aumbe mimea na wanyama wenye sumu kwa watu wake awapendao? au hakujua?
Mwanzo binadamu na wanyama wote hawa walikuwa wanaishi kwa amani kabisa,ni nini kilisababisha yote haya unayoyaona leo?
7.MAJANGA ASILIA:
Kama Mungu aliumba dunia ili iwe sehemu ya amani kwa watu wake na wamwabudu yeye, kwanini kuna matetemeko ya nchi, vimbunga na mafuriko. Kwanini anawauwa watu kikatili hivi? au haya nayo tumsingizie shetani?
Ingeumbwa duinia ambayo baadhi ya mambo hayawezekaniki ingekuwa imeumbwa na Mungu kweli?
8.KUUMBA VIUMBE HATARISHI:
Kwanini Mungu aumbe bacteria, virusi, fangasi na viumbe wengine wanaosababisha magonjwa na kifo? Kwanini hawa viumbe wasingefia kwenye yale mafuriko ya Nuhu ili watu wema alio wabakiza waishi kwa amani? Je hawa viumbe hatari Mungu alimwamuru Nuhu awaingize wawili wawili kwenye safina?
Sijaona swali jipya hapa swali hili linafanana na maswali yako hapo juu.....
9.JEHANAMU NA MOTO WAKE:
Kwanini Mungu aumbe jehanamu kuteketeza waovu? Kwani hajui kusamehe? Kwanini huruma yake ina kikomo kwa shetani? Kama wewe ni mzazi, mwanao akikukosea na hajaomba msamaha, itabadilisha uhalisia kuwa yule sii mwanao? SHETANI PAMOJA NA WAOVU NI KAZI YA MIKONO YAKE, PRODUCTS OF HIS OWN MIND BEFORE CREATED THEM. So aache kuweka vinyongo na kutamani kulipiza kisasi juu ya kazi yake.
Again,ignorance at its best......

Shetani alipewa muda wa kurekebisha makosa yake akakataa,jehanam haikuwa kwaajili ya waovu bali shetani na malaika zake,wewe na wengine mnajiingiza huko kwasababu za kijinga na kutotumia uwezo wenu kutafakari vizuri...

Kukuonesha Mungu ni wa huruma kiasi gani aliamua yeye kubeba adhabu ya makosa yako ili ukikubali kwa hiyari yako jambo hilo basi unakuwa huru,huadhibiwi,lakini unadharau tu....
10.KASORO KWENYE MWILI WA BINADAMU:
Kwanini pawepo na mabadiliko hasi kwenye jeni za binadamu(mutation)? kwani hakujua hicho ni chanzo cha viwete??? Kidole tumbo(appendix) ni cha kazi gani? mbona hajatoa maelezo namna ya kukitumia? Na chuchu za mwanaume ni za kazi gani?
Haya na mengine sisi wenyewe tuliyataka,Mungu hakuumba mwanadamu mwenye tatizo lolote mwilini mwake,kama unataka kupona badilika leo.....
TO THE RIGHT WING OR THE LEFT WING WE ARE NEITHER, NOT EVEN AT THE MIDDLE....R.I.P MOBUTU!

===================
R.I.P tena? hahahahaaaaa........
 
Mungu hajawahi kumuumba Shetani,nenda kasome biblia yako vizuri....

Kuna watu wameona umeuliza maswali ya msingi sana lakini ni kinyume kabisa,mfano hai ni hili swali lako la mafichoni,umeambiwa wapi Mungu yupo mafichoni? Nani kakuambia Mungu "anaishi"?

Kila siku nikitaka nazungumza naye,nakushangaa wewe unayesema yupo mafichoni,anapatikana tena bure kabisa kuliko hata wewe ukitaka kuongea na mimi ni lazima utumie hela....

Duh! hii mada imeandikwa kutoka kwa mtu asiyejua kabisa mambo mengi,suala la Yesu nitaliacha,suala la waovu nitaliacha pia lakini,nitakuonesha kuwa umeandika haya bila kujielewa kabisa.....

Huko juu umehoji sababu ya Mungu kutomuangamiza Shetani,hapa unahoji nbi kwanini Mungu aliangamiza waovu,hakuna consistency kwenye maswali yako,unajichanganya na hujielewi....

Hujui kabisa kuhusu hili na ndiyo maana unakuja hapa unadhani unahoji kumbe unaonesha ni namna gani ulivyo mjinga [ujinga hapa ninamaanisha kutokujua]....

Hujui kabisa kuwa eneo hilo Ibrahimu aliligharamia kwa kulinunua,wewe unakuja hapa kulipuka na lawama tu,pole sana....

Bado unaendelea kuhoji mambo kwasababu ya ignorance ya kutisha....

Nikuulize swali la kukustua,Unajua watoto au uzai wa Ibrahimu ni akina nani leo?

Mwanzo binadamu na wanyama wote hawa walikuwa wanaishi kwa amani kabisa,ni nini kilisababisha yote haya unayoyaona leo?

Ingeumbwa duinia ambayo baadhi ya mambo hayawezekaniki ingekuwa imeumbwa na Mungu kweli?

Sijaona swali jipya hapa swali hili linafanana na maswali yako hapo juu.....

Again,ignorance at its best......

Shetani alipewa muda wa kurekebisha makosa yake akakataa,jehanam haikuwa kwaajili ya waovu bali shetani na malaika zake,wewe na wengine mnajiingiza huko kwasababu za kijinga na kutotumia uwezo wenu kutafakari vizuri...

Kukuonesha Mungu ni wa huruma kiasi gani aliamua yeye kubeba adhabu ya makosa yako ili ukikubali kwa hiyari yako jambo hilo basi unakuwa huru,huadhibiwi,lakini unadharau tu....

Haya na mengine sisi wenyewe tuliyataka,Mungu hakuumba mwanadamu mwenye tatizo lolote mwilini mwake,kama unataka kupona badilika leo.....

R.I.P tena? hahahahaaaaa........
mijibu yako mingi na bado haieleweki
 
Mungu hajawahi kumuumba Shetani,nenda kasome biblia yako vizuri....

Kuna watu wameona umeuliza maswali ya msingi sana lakini ni kinyume kabisa,mfano hai ni hili swali lako la mafichoni,umeambiwa wapi Mungu yupo mafichoni? Nani kakuambia Mungu "anaishi"?

Kila siku nikitaka nazungumza naye,nakushangaa wewe unayesema yupo mafichoni,anapatikana tena bure kabisa kuliko hata wewe ukitaka kuongea na mimi ni lazima utumie hela....

Duh! hii mada imeandikwa kutoka kwa mtu asiyejua kabisa mambo mengi,suala la Yesu nitaliacha,suala la waovu nitaliacha pia lakini,nitakuonesha kuwa umeandika haya bila kujielewa kabisa.....

Huko juu umehoji sababu ya Mungu kutomuangamiza Shetani,hapa unahoji nbi kwanini Mungu aliangamiza waovu,hakuna consistency kwenye maswali yako,unajichanganya na hujielewi....

Hujui kabisa kuhusu hili na ndiyo maana unakuja hapa unadhani unahoji kumbe unaonesha ni namna gani ulivyo mjinga [ujinga hapa ninamaanisha kutokujua]....

Hujui kabisa kuwa eneo hilo Ibrahimu aliligharamia kwa kulinunua,wewe unakuja hapa kulipuka na lawama tu,pole sana....

Bado unaendelea kuhoji mambo kwasababu ya ignorance ya kutisha....

Nikuulize swali la kukustua,Unajua watoto au uzai wa Ibrahimu ni akina nani leo?

Mwanzo binadamu na wanyama wote hawa walikuwa wanaishi kwa amani kabisa,ni nini kilisababisha yote haya unayoyaona leo?

Ingeumbwa duinia ambayo baadhi ya mambo hayawezekaniki ingekuwa imeumbwa na Mungu kweli?

Sijaona swali jipya hapa swali hili linafanana na maswali yako hapo juu.....

Again,ignorance at its best......

Shetani alipewa muda wa kurekebisha makosa yake akakataa,jehanam haikuwa kwaajili ya waovu bali shetani na malaika zake,wewe na wengine mnajiingiza huko kwasababu za kijinga na kutotumia uwezo wenu kutafakari vizuri...

Kukuonesha Mungu ni wa huruma kiasi gani aliamua yeye kubeba adhabu ya makosa yako ili ukikubali kwa hiyari yako jambo hilo basi unakuwa huru,huadhibiwi,lakini unadharau tu....

Haya na mengine sisi wenyewe tuliyataka,Mungu hakuumba mwanadamu mwenye tatizo lolote mwilini mwake,kama unataka kupona badilika leo.....

R.I.P tena? hahahahaaaaa........
Umeelewa ulichoandika kweli? Yaani unasema Mungu hajawahi kumuumba Shetani halafu mwishoni unasema Mungu alimpa Shetani muda wa kutubu halafu akakataa? Ebu tupe vifungu vya Bible vinavyo onesha uliyoyasema...... Maswali mengine umeingia chaka, hilo lipo wazi...... R. I. P nilimaanisha Remembered In Public..... So usiwe mjinga Kama wale walio kariri jpm ni kifupi cha Mkulu.
 
mijibu yako mingi na bado haieleweki
Inawezekana akawa ni kiongozi wa dini ambao wamezoea kukoroga akili za watu....... Huwezi kusema eti Mungu hakumuumba Shetani halafu mwishoni useme Mungu alimpa Shetani nafasi ya kutubu then akakataa..... Pia hayo maelezo ameyatoa wapi?
 
Mwenye hekima huwaza mawazo yenye utukufu, bali yeye wa dunia ufahamu wake umefunga na mawazo yake ni ya dunia, Mungu akutie nguvu sana ili uweze kuijua kweli na haki yake, ili uwe huru
 
Umeelewa ulichoandika kweli? Yaani unasema Mungu hajawahi kumuumba Shetani halafu mwishoni unasema Mungu alimpa Shetani muda wa kutubu halafu akakataa? Ebu tupe vifungu vya Bible vinavyo onesha uliyoyasema...... Maswali mengine umeingia chaka, hilo lipo wazi...... R. I. P nilimaanisha Remembered In Public..... So usiwe mjinga Kama wale walio kariri jpm ni kifupi cha Mkulu.
Naona unapinga zaidi ya kutaka kuelewa....

Hilo la ushahidi juu ya Shetani kupewa nafasi siwezi kukupa kwa sasa au baadaye maana siko kwenye mazingira mazuri ya kufanya hivyo,nitakupa nikipata muda wa kukufanyia hivyo lakini,kwa sasa acha nideal na mengine ambayo naweza kukujibu kutoka kwenye post yako hii......

Nilikuambia kuwa Mungu hakuwahi kumuumba Shetani,bado nasisitiza hivyo.Mimi kusema alipewa muda wa kutubu sina maana kuwa nakubaliana na nilichopinga hapo juu.....

Nikisema kuwa mama yake Juma hakuwahi kuzaa jambazi lakini alishawahi kumpa nafasi ya kujirekebisha jambazi aliyekuwa kwenye familia yake nakuwa nimekubali kuwa alizaa jambazi?

Kusema tu masali mengine nimeingia chaka bila kusema nimeingia chaka namna ipi ndiyo kuingia chaka kwenyewe huko....

Hiyo R.I.P yako acha niachane nayo maana ni nonesense....
 
Mtoa mada uwezo wako wa kufikiri ni kidogo sana
Kama wa JUMA PUMB MAHARAGE
JE, Mungu si alimuumba adam
tena alivyo mwema akampa na msaidizi,
Lakini haikutosha akakaidi na kutotii amri,
Je, ungali bado hujaelewa mwanzo wa hayo yote ni nn?

Mungu si dikteta hata kidogo aliwaumba malaika na binadamu
akawapa uwezo huru wa kuamua.
Mungu hakumuumba shetani.! Bali alimuumba malaika aitwaye Lucifer
Huyu malaika lucifer ndo aliasi akawa shetani.

Na hayo makabiri wana wa Israel waliwavamia kwa sababu hebu kasome mwanzo ,na Kutoka utaelewa vizuri.

Mungu hajafanya kosa hata moja bali mwanadamu ndie aliefanya kosa na
Hulipa kutokana na makosa aliyofanya

Na mimi ninavyo amini hata hayo majanga ya asili huenda kuna
watu waliotangulia kabla yetu walifanya makosa makubwa kwa Mungu
Maana utalipizwa hadi kizazi cha nne

Sorry sina muda ningekujibu vizuri sana sema nimekujibu
Summary tu
 
Back
Top Bottom