Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Kiukweli mimi linaloniumiza ni lile la kufahamu kabisa kuwa Adamu na Eve watakula tunda na kuwaacha wale mwisho wa siku laana tunapewa wanaadam WOTE....Ila Muumba ni MKUU aheshimiwe...sisi ni mavumbi tu....Daaaah
Sasa Mkuu kama kitu kinatutatiza, kuna ubaya kama tukihoji?
 
Nilijua tu utakimbilia huku bila hata kufikiri kwasababu ya mazoea......

Unadhani kuwa kila mtu anajibu kitu asichokijua....

Hebu niambie ni tafsiri ipi ya upendo unayoisimamia hadi kufikiri kuwa Mungu hawezi kuongozwa na Upendo kufanya hivi?
Fafanua huo upendo.
 
Fafanua huo upendo.
Nimekuuliza swali hapo na hujajibu.....

Hili swali lingekuwa la maana kama usingevurumisha shutuma hapo juu kwa kuonesha sikuwa sahihi niliposema Mungu aliamua kuacha hayo kwasababu ya upendo.....

Jibu swali langu hapo juu tafadhani.....
 
Nilijua tu utakimbilia huku bila hata kufikiri kwasababu ya mazoea......

Unadhani kuwa kila mtu anajibu kitu asichokijua....

Hebu niambie ni tafsiri ipi ya upendo unayoisimamia hadi kufikiri kuwa Mungu hawezi kuongozwa na Upendo kufanya hivi?
Unafahamu maana ya upendo?

Je kama unampenda mtu utamfanyia jambo baya la kumsononesha?

Kama Mungu ana upendo wote kwa watu wake, kwanini huku duniani kuna mateso ya kila namna?
 
Unafahamu maana ya upendo?
You tell me!! Maana nimesema hapo juu kuwa Mungu kafanya jambo halafu wewe ukakana kuwa hawezi kufanya hivyo,kwa maana hiyo unajua maana ya upendo sasa nashangaa ni kwasababu ipi unaniuliza tena kama najua maana ya upendo....
Je kama unampenda mtu utamfanyia jambo baya la kumsononesha?
Jambo baya kwa maana ipi?

Kwako wewe kuchinja ng'ombe ni sahihi na sawa kabisa lakini kuna jamii zinaona huo ni uovu mkuu.....

Kuku unapomjinja ili ule nyama ni sahihi kwako lakini hilo ni sahihi kwa kuku?

Unasema jambo baya kwa maana ipi?
Kama Mungu ana upendo wote kwa watu wake, kwanini huku duniani kuna mateso ya kila namna?
Unaendelea kufanya makosa yale yale,ni upendo wa namna ipi unaoujua wewe ambao unamfanya Mungu awe mbaya kwa kuumba dunia ya namna hii?

Nipe fasiri yake tafadhali.....
 
You tell me!! Maana nimesema hapo juu kuwa Mungu kafanya jambo halafu wewe ukakana kuwa hawezi kufanya hivyo,kwa maana hiyo unajua maana ya upendo sasa nashangaa ni kwasababu ipi unaniuliza tena kama najua maana ya upendo....

Jambo baya kwa maana ipi?

Kwako wewe kuchinja ng'ombe ni sahihi na sawa kabisa lakini kuna jamii zinaona huo ni uovu mkuu.....

Kuku unapomjinja ili ule nyama ni sahihi kwako lakini hilo ni sahihi kwa kuku?

Unasema jambo baya kwa maana ipi?

Unaendelea kufanya makosa yale yale,ni upendo wa namna ipi unaoujua wewe ambao unamfanya Mungu awe mbaya kwa kuumba dunia ya namna hii?

Nipe fasiri yake tafadhali.....
Unajua maana ya upendo ama hujui?

Halafu unapoleta mfano wa uhusiano wa Kuku na Watu, ina maana wewe unaamini kwenye win/lose?
 
Mungu ni mkamilifu katika haki yake na katika ukamilifu wake hakuwahi kuwa viumbe ambao robots katika uchaguzi aliwapa zawadi hii kubwa sana ya "Freedom of choice"yaani uhuru wa uchaguzi na alitaka aeleweke hivyo tangu mwanzo Hata shetani alikuwa kiumbe mkamilifu kabisa.Ni uasi wa shetani kwa Mungu na udanganyifu kwa adamu na eva ulioleta matatizo makubwa sana
Ila Mungu ni Mkamilifu tusitende kufuru kwa kushusha level yetu ys dhambi
 
Unajua maana ya upendo ama hujui?

Halafu unapoleta mfano wa uhusiano wa Kuku na Watu, ina maana wewe unaamini kwenye win/lose?
Ndugu,mimi nimeshakupa maana ya upendo indirect ambayo umeikataa,kama hukujua hili usingesema kuwa Mungu hawezi kuongozwa na upendo akafanya hili na lile.Hebu jaribu kujadiliana kiutu uzima basi aisee......

Ni maana ipi ya upendo ambayo unasema haiwezi kumuongoza Mungu kufanya aliyofanya?

Unaweza kuielezea hapa?
 
Ndugu,mimi nimeshakupa maana ya upendo indirect ambayo umeikataa,kama hukujua hili usingesema kuwa Mungu hawezi kuongozwa na upendo akafanya hili na lile.Hebu jaribu kujadiliana kiutu uzima basi aisee......

Ni maana ipi ya upendo ambayo unasema haiwezi kumuongoza Mungu kufanya aliyofanya?

Unaweza kuielezea hapa?
Nadhani wewe ndio mwenye tatizo.Si ajabu ukawa kiongozi wa dini maana ndio mnaopenda kukoroga akili za watu ili mpate kuwaburuza.

Kina kushinda nini kusema upendo ni.................., hadi utumie indirect way?

Nadhani kwenye ule uzi unaohusu umri wa dunia nilikuambia kuna baadhi ya mambo hutumii akili, sikukutukana maana naona unadhihirisha kuwa ni kweli.
 
Mungu ni mkamilifu katika haki yake na katika ukamilifu wake hakuwahi kuwa viumbe ambao robots katika uchaguzi aliwapa zawadi hii kubwa sana ya "Freedom of choice"yaani uhuru wa uchaguzi na alitaka aeleweke hivyo tangu mwanzo Hata shetani alikuwa kiumbe mkamilifu kabisa.Ni uasi wa shetani kwa Mungu na udanganyifu kwa adamu na eva ulioleta matatizo makubwa sana
Ila Mungu ni Mkamilifu tusitende kufuru kwa kushusha level yetu ys dhambi
Hapana hatuna hiyo freedom of choice unayosema.

Kama tungekuwa nayo ningechagua kupaa badala ya kutembea pindi niendapo mahali pengine.

Kama tungekuwa na Freedom of choice ningechagua kuquote hii post yako na watu wasiione ukiwemo wewe.

Kama tungekuwa na freedom of choice, ningechagua kuamka kesho nikiwa mtoto wa miaka minne.

Je tunayo freedom of choice? kama ipo elezea.
 
Hapana hatuna hiyo freedom of choice unayosema.

Kama tungekuwa nayo ningechagua kupaa badala ya kutembea pindi niendapo mahali pengine.

Kama tungekuwa na Freedom of choice ningechagua kuquote hii post yako na watu wasiione ukiwemo wewe.

Kama tungekuwa na freedom of choice, ningechagua kuamka kesho nikiwa mtoto wa miaka minne.

Je tunayo freedom of choice? kama ipo elezea.
nazungumzia uhuru wa kumtii Mungu sio some silly dogma
 
nazungumzia uhuru wa kumtii Mungu sio some silly dogma
Kama pangekuwepo na uhuru wa kumtii Mungu, Mungu asingemwambia Musa na waisraeli wawauwe wakanani, wamoabu na waamori kwa sababu ya kutokumtii Mungu.

Kama pangekuwepo na uhuru wa kuchagua kumtii Mungu, wasingesema kuna moto kwa wasiomtii Mungu, kwa kuwa watu wamechagua kutumia uhuru wao kutokumtii Mungu.
 
Kama pangekuwepo na uhuru wa kumtii Mungu, Mungu asingemwambia Musa na waisraeli wawauwe wakanani, wamoabu na waamori kwa sababu ya kutokumtii Mungu.

Kama pangekuwepo na uhuru wa kuchagua kumtii Mungu, wasingesema kuna moto kwa wasiomtii Mungu, kwa kuwa watu wamechagua kutumia uhuru wao kutokumtii Mungu.
Uhuru ulioko binded na matokeo yake utii kwa uzima milele na uasi wa dhambi kwa kuangamizwa milele na somo la kuelewa hapo ni kwamba Mungu anaadhibu dhambi na mdhambi anaekomaa na kunģanģania madhambi mwishowe
Huyo ndie Mungu!
 
Uhuru ulioko binded na matokeo yake utii kwa uzima milele na uasi wa dhambi kwa kuangamizwa milele na somo la kuelewa hapo ni kwamba Mungu anaadhibu dhambi na mdhambi anaekomaa na kunģanģania madhambi mwishowe
Huyo ndie Mungu!
Dhambi ni nini?

Kwa nini dhambi iwe dhambi?

Nani aliyeumba dhambi?

Kwa nini Mungu asingeumba dunia isiyoruhusu kutendeka dhambi.
 
Dhambi ni nini?

Kwa nini dhambi iwe dhambi?

Nani aliyeumba dhambi?

Kwa nini Mungu asingeumba dunia isiyoruhusu kutendeka dhambi.
dhambi ni uasi wa sheria za Mungu
aliyeasisi dhambi ni shetani akiitwa lusifa
Kwa sababu dhambi imeasisiwa na lusifa lakini Mungu aliumba dunia na viumbe vyote wakamilifu tu
 
dhambi ni uasi wa sheria za Mungu
aliyeasisi dhambi ni shetani akiitwa lusifa
Kwa sababu dhambi imeasisiwa na lusifa lakini Mungu aliumba dunia na viumbe vyote wakamilifu tu
Sasa kama sisi tu wakamilifu, kwanini hatuna immunity dhidi ya dhambi?

Kama Shetani alishindikana Mbinguni hadi akafukuzwa, unategemea atafanya nini hapa Duniani?

Kwa nini Mungu asingeumba dunia isiyowezekanika kutendeka maovu?
 
Back
Top Bottom