Uko sahihi kabisa mkuu,watu wanahangaika kujua kazi lakini hawaweki jitihada zozote kumjua Mungu aliyewaumba.Naongezea tu! Kunaulazima wa kujua mambo sio kuletewa na kumeza kwa kilajambo. NDO MAANA HATUNA WATU WABUNIFU KIZAZI HIKI.ikitokea unataka undani wajambo flan unaonekana mbaya kwasababu sikuhizi vyungu vya watu vimetegeshwa seheme zenye utata.
Kama ungejua kifo ni haki ya kimsingi ya kila chenye uhai ungeishi kwa amani sana.Kuzaa ni uamuzi wa mtu, kupoteza viungo ni ajali tu, watu wema na waovu wanapitia hayo yote.kipindi ambacho wewe unaandika kumbuka kuwa kuna watu wanazikwa,kuna watu wanakata kauli yan mtoa roho ananyofoa roho kwa maumivu yasiyo na mfano,kuna watu wapo mochwali,kuna watu wanapoteza viungo,kuna wamama wajawazito wanajifungua muda huu.Mungu anasema ktk quran yeye anahkumu apendavyo.Hivyo vyote tutaviacha duniani tutakwenda kwaMungu tukiwa wenyewe.huwezi kumkosoa Mungu wewe ni kiumbe chake tena dhaifu
Chamiton nisaidie hiyo refernce ya miaka 4000BC kina nani walianza kuhesabu hiyo ili tuelimishane.Nimekuwa nasoma post zako bado unahitaji kuisoma biblia sana,nitajibu maswali yako muda ukifika.Kwa sasa naomba unijuze walioanza hiyo miaka 4000bc kwenye biblia inapatikana wapi au kama ni vyanzo vingine nisaidie kwani napenda nijifunze pia kutoka kwako.Kulingana na bible dunia ina miaka isiyozidi 10000, yaana miaka 4000BC, na miaka 2000AD...ebu chakachau akili hapo.
Kasome Luka 3:23 na kuendelea, pale walitrace ukoo wa Yesu kwanzia Yosefu back to Adam. Pale kuna jumla ya vizazi 42, kila kizazi ni miaka 100. Pia tafuta chapisho alililotoa ARC BISHOP USHER ulisome then kama una swali lingine ulete hapa. Ila fanya hayo maelezo hapo juu kwanza!Chamiton nisaidie hiyo refernce ya miaka 4000BC kina nani walianza kuhesabu hiyo ili tuelimishane.Nimekuwa nasoma post zako bado unahitaji kuisoma biblia sana,nitajibu maswali yako muda ukifika.Kwa sasa naomba unijuze walioanza hiyo miaka 4000bc kwenye biblia inapatikana wapi au kama ni vyanzo vingine nisaidie kwani napenda nijifunze pia kutoka kwako.
"Ukweli" na "uwongo" tofauti yake unaipaje ?Sijamdhihaki nimesema kweli. Kwani kuna uongo hapo??
Ukweli ni kwamba nahitaji majibu juu ya hayo mambo yanayonitatiza.Kama nimewekeza uvivu kwenye fikra, ningehangaika kujiuliza hayo maswali??? maswali au majibu ni matokeo ya kufikiri."Ukweli" na "uwongo" tofauti yake unaipaje ?
Hii itasaidia kukuonyesha kama ulichosema kina sifa ya kuwa "kweli" au usamehewe tu kwa kuwekeza kwenye uvivu kifikra
Rejea kusoma tena"Ukweli" na "uwongo" tofauti yake unaipaje ?
Hii itasaidia kukuonyesha kama ulichosema kina sifa ya kuwa "kweli" au usamehewe tu kwa kuwekeza kwenye uvivu kifikra
Ukweli ni kwamba nahitaji majibu juu ya hayo mambo yanayonitatiza.Kama nimewekeza uvivu kwenye fikra, ningehangaika kujiuliza hayo maswali??? maswali au majibu ni matokeo ya kufikiri.
Mungu yuko wazi wewe humuoni tu kwa kuwa macho yako yamepofushwa na dhambi. Pia ujue ya kwamba miaka elfu duniani ni sawa na siku moja mbinguni hv tangu kuumbwa adam hadi leo hii ndio siku ya saba na mda wowote baada ya sabato Yesu yu arejea. Ukiwa na ukimwi unazaa mtoto mwenye ukimwi kwnn dhambi ya Adam isikuhusu? Na kama tangu zama za Adam hadi leo mwanadamu yupo katika mchakato wa siku saba za mauti kwanini asivute mazingira ya kumtilia umauti? Ile dhambi ndio iliyoumba maafa yote uyaonayo na vyote vinavyofisha na kuleta magonjwa. Baada ya siku ya saba dunia na dhambi zake itapigwa kiberiti na kuwa jivu la milele na mbingu mpya na nchi mpya zitakuwepo na zitakaliwa na kuendelezwa na kizazi kipya kilichoingia kwenye safina ya mwanakondoo kukiponya na kiberiti
Maelezo yako yote yanaonyesha ni jinsi gani usivyofikiri.Mkuu usiwe mkali sana na jaribu kupunguza ukali wa maneno hata kama hauamini uwepo wa Mungu.
Pascal aliyetengeneza Pascal programming language alisema "ni bora kuamini kuna Mungu ili hata usipomkuta utakuwa hujapoteza ila ukiamini hayupo then akawepo ni hasara kwako".
Mkuu unachotakiwa kujua Mungu ana utaratibu wake ,ili atende jambo kuna taratibu unatakiwa ufuate.
Wewe unakimbilia kwa wangojwa lakini mbona kuna mambo mengi tu makanisa wanahangaika kutafuta fedha za ujenzi kujenga makanisa kwa ajiri ya kukutana na Mungu.Mungu amgeweza kutenda muujiza wakapata pesa wakajenga lakini kwa nini anaacha watu wanajenga makanisa kwa shida na kuhangaika?
Pole sana kwa yote ambayo umekuwa unaandika lakini ni kwa sababu hujui mwisho wa yote ni nini?Naamini wewe ni msomi na wasomi na wengi hapa JF wasio amini uwepo wa Mungu ni wa somi kwelikweli akiwemo Kiranga.lakini nataka nikwambie kila jambo lina wakati wake kuna mtu amekumention anataka umsaidie kuhusu ndoto aliyo ota.Mimi jambo lile naliangalia tofauti.
Njia sa Mungu si kama za mwanadamu na mawazo yake si kama mawazo yako.Tatizo hamfatilii mambo,kwa mfano tunasema Mungu ni mtakatifu,neno matakati au holy kwa kiebrania maana yake ni "separated"
The Hebrew word for holy is “qodesh” and means “apartness, set-apartness, separateness, sacredness”
Mungu yuko juu sana ya ufahamu wa mwanadamu so nilishawahi kuandika hapa ya kwamba huwezi kuprove uwepo wa Mungu kwa kutumia njia za kianadamu.Hili jibu si langu Mungu mwenyewe alitamka kupitia watumishi wake nikiwa mahali pale.
Nakupa pole kwa sababu hujui nini kinakuja mbele yako kama ambavyo wewe ukimwelezea mtu wa kijijini ambaye hajasoma hata primary athari za global warming au weapons of mass destruction hawezi kukuelewa kwani hana ufahamu wa mambo hayo.The more you become educated the less happy you become,hatujisikii vizuri wewe na wengine wa jamii yako msioamini kwamba kuna Mungu ingawa si lazima uamini ninacho amini mimi you have your rights .
Shetani ni mjanja wewe unataka kutumia elimu ya kibinadamu kuprove kwamba Mungu yupo hiyo ni sawa na gari reprove kwamba kuna mwanadamu yupo wakati mwanadamu ametengeneza gari au robot iprove kwamba kuna mtu.
Ushauri wangu kwako kuwa makini na muda mwingine ni bora kukaa kimya,wanasheria wanasema kutokujua sheria si kigezo cha mtu kusamehewa akivunja sheria.Hii principle ilianza na Mungu whether umelisikia neno lake au la utahukumiwa kwani sheria zake alisha ziandika kwenye mioyo ya wanadamu tangu zamani.Shetani hajalala ,ile njia ni nyembamba na imesomngwa na miiba,waionao ni wachache.
Ukifika muda wa Bwana kukuokoa wewe atakuokoa ,wanadamu hata wakuambie vipi hata tuelezee vipi kama muda bado utaendelea kuwa hivyo ulivyo.Nakuambia haya kwa sababu nnimemwona katika maisha yangu.
Kwa maneno yako haya ya kumkufuru aliyekuumba wewe,kama wewe sio Ibilisi mwenyewe basi ni mwanaye ibilisi katika umbo la kibinadamu.....Usitupotezee muda...1.KUMUUMBA SHETANI:
Hili lilikuwa kosa kubwa sana. Makosa yate yamechepuka kutoka hapa. Shetani anawasababishia watu maovu, then Mungu anawahukumu watu dhaifu. Hapa Mungu inambidi amkamate shetani na kumtokomeza ili maovu yaishe, kama wote wanatoshana nguvu basi wasuluhishe ogomvi wao na kupatana ili maisha yawe ya amani.
2.KUISHI MAFICHONI:
Toka enzi na enzi, Mungu amekuwa akiishi mafichoni, kwanini asijitokeze na kujionesha kwa viumbe vyake? Anaishi mafichoni kwani yeye ni Joseph Kony? Hili limepelekea watu wake kudanganywa na manabii wa uongo na kutapeliwa bure. God come from your hidings and reveal yourself to your people.
3.MAFURIKO YA WAKATI WA NUHU:
Mungu alisababisha mafuriko ili kuangamiza watu waovu na kubakiza watu wema, Yes he did, sasa waovu wa leo wametoka wapi? mbona aliuwa watu wengi bila huruma? Kama mafuriko yalikuwa ni suluhisho la maovu, Yesu na mitume walijia nini? It seems he fought effects instead of causes.
4.SAFARI YA WANA WA ISRAELI:
Mungu aliwatoa wana wa Israel kutoka Misri kwa madai ya kuwapa nchi ya ahadi, matokeo yake aliwaamuru wafanye uvamizi wa nchi za watu(mf. waamori, wamoabu na wakanani). Kwanini asingebadilisha jangwa na kuwatengenezea waisraeli nchi yao? mbona Gadaffi aliweza? Imagine waje wapuuzi hapa TZ wachukue nyumba na ardhi kwa madai kwamba wameagizwa na Mungu, ungereact vipi? WE HAVE TO BE FAIR!
5.KUTOTIMIZA AHADI YAKE KWA ABRAHAM:
Mungu alimwambia Abraham kuwa atampatia uzao wa wana wengi kama nyota za angani au mchanga wa pwani. Sasa hivi ukichanganya walio wa Abrahamu na wasiyo wa kwake bado watu hawawezi kuwa sawa na nyota au mchanga wa pwani. Ata ukijumlisha na waliokufa back to Adam. Atatimiza lini hi ahadi? je kuna muda wa kutosha? mbona watumishi wake wanasema Yesu yuu karibu kuja ili kutamatisha nyakati?
6.KUWEPO KWA MZIO(ALLERGY):
Kwanini watu wengi ambao ni wema wana allergy na vitu alivyoumba Mungu? mbona maandiko yanasema kila alichoumba Mungu ni chema? Kwanini aumbe mimea na wanyama wenye sumu kwa watu wake awapendao? au hakujua?
7.MAJANGA ASILIA:
Kama Mungu aliumba dunia ili iwe sehemu ya amani kwa watu wake na wamwabudu yeye, kwani kuna matetemeko ya nchi, vimbunga na mafuriko. Kwani anawauwa watu kikatili hivi? au haya nayo tumsingizie shetani?
8.KUUMBA VIUMBE HATARISHI:
Kwanini Mungu aumbe bacteria, virusi, fangasi na viumbe wengine wanaosababisha magonjwa na kifo? Kwanini hawa viumbe wasingefia kwenye yale mafuriko ya Nuhu ili watu wema alio wabakiza waishi kwa amani? Je hawa viumbe hatari Mungu alimwamuru Nuhu awaingize wawili wawili kwenye safina?
9.JEHANAMU NA MOTO WAKE:
Kwanini Mungu aumbe jehanamu kuteketeza waovu? Kwani hajui kusamehe? Kwanini huruma yake ina kikomo kwa shetani? Kama wewe ni mzazi, mwanao akikukosea na hajaomba msamaha, itabadilisha uhalisia kuwa yule sii mwanao? SHETANI PAMOJA NA WAOVU NI KAZI YA MIKONO YAKE, PRODUCTS OF HIS OWN MIND BEFORE CREATING THEM. So aache kuweka vinyongo na kutamani kulipiza kisasi juu ya kazi yake.
10.KASORO KWENYE MWILI WA BINADAMU:
Kwanini pawepo na mabadiliko hasi kwenye jeni za binadamu(mutation)? kwani hakujua hicho ni chanzo cha viwete??? Kidole tumbo(appendix) ni cha kazi gani? mbona hajatoa maelezo namna ya kukitumia? Na chuchu za mwanaume ni za kazi gani?
TO THE RIGHT WING OR THE LEFT WING WE ARE NEITHER, NOT EVEN AT THE MIDDLE....R.I.P MOBUTU!
===================
usamehewe hata shetani hajawai kosoa uumbaji wa Mungu....kazi zake hazina makosa. laiti macho ya mwanadamu yangefunguliwa kwa dakika moja tu viumbe ambavyo ungeviona sijui kama sekunde 15 ungemaliza ukiwa hai1.KUMUUMBA SHETANI:
Hili lilikuwa kosa kubwa sana. Makosa yate yamechepuka kutoka hapa. Shetani anawasababishia watu maovu, then Mungu anawahukumu watu dhaifu. Hapa Mungu inambidi amkamate shetani na kumtokomeza ili maovu yaishe, kama wote wanatoshana nguvu basi wasuluhishe ogomvi wao na kupatana ili maisha yawe ya amani.
2.KUISHI MAFICHONI:
Toka enzi na enzi, Mungu amekuwa akiishi mafichoni, kwanini asijitokeze na kujionesha kwa viumbe vyake? Anaishi mafichoni kwani yeye ni Joseph Kony? Hili limepelekea watu wake kudanganywa na manabii wa uongo na kutapeliwa bure. God come from your hidings and reveal yourself to your people.
3.MAFURIKO YA WAKATI WA NUHU:
Mungu alisababisha mafuriko ili kuangamiza watu waovu na kubakiza watu wema, Yes he did, sasa waovu wa leo wametoka wapi? mbona aliuwa watu wengi bila huruma? Kama mafuriko yalikuwa ni suluhisho la maovu, Yesu na mitume walijia nini? It seems he fought effects instead of causes.
4.SAFARI YA WANA WA ISRAELI:
Mungu aliwatoa wana wa Israel kutoka Misri kwa madai ya kuwapa nchi ya ahadi, matokeo yake aliwaamuru wafanye uvamizi wa nchi za watu(mf. waamori, wamoabu na wakanani). Kwanini asingebadilisha jangwa na kuwatengenezea waisraeli nchi yao? mbona Gadaffi aliweza? Imagine waje wapuuzi hapa TZ wachukue nyumba na ardhi kwa madai kwamba wameagizwa na Mungu, ungereact vipi? WE HAVE TO BE FAIR!
5.KUTOTIMIZA AHADI YAKE KWA ABRAHAM:
Mungu alimwambia Abraham kuwa atampatia uzao wa wana wengi kama nyota za angani au mchanga wa pwani. Sasa hivi ukichanganya walio wa Abrahamu na wasiyo wa kwake bado watu hawawezi kuwa sawa na nyota au mchanga wa pwani. Ata ukijumlisha na waliokufa back to Adam. Atatimiza lini hi ahadi? je kuna muda wa kutosha? mbona watumishi wake wanasema Yesu yuu karibu kuja ili kutamatisha nyakati?
6.KUWEPO KWA MZIO(ALLERGY):
Kwanini watu wengi ambao ni wema wana allergy na vitu alivyoumba Mungu? mbona maandiko yanasema kila alichoumba Mungu ni chema? Kwanini aumbe mimea na wanyama wenye sumu kwa watu wake awapendao? au hakujua?
7.MAJANGA ASILIA:
Kama Mungu aliumba dunia ili iwe sehemu ya amani kwa watu wake na wamwabudu yeye, kwani kuna matetemeko ya nchi, vimbunga na mafuriko. Kwani anawauwa watu kikatili hivi? au haya nayo tumsingizie shetani?
8.KUUMBA VIUMBE HATARISHI:
Kwanini Mungu aumbe bacteria, virusi, fangasi na viumbe wengine wanaosababisha magonjwa na kifo? Kwanini hawa viumbe wasingefia kwenye yale mafuriko ya Nuhu ili watu wema alio wabakiza waishi kwa amani? Je hawa viumbe hatari Mungu alimwamuru Nuhu awaingize wawili wawili kwenye safina?
9.JEHANAMU NA MOTO WAKE:
Kwanini Mungu aumbe jehanamu kuteketeza waovu? Kwani hajui kusamehe? Kwanini huruma yake ina kikomo kwa shetani? Kama wewe ni mzazi, mwanao akikukosea na hajaomba msamaha, itabadilisha uhalisia kuwa yule sii mwanao? SHETANI PAMOJA NA WAOVU NI KAZI YA MIKONO YAKE, PRODUCTS OF HIS OWN MIND BEFORE CREATING THEM. So aache kuweka vinyongo na kutamani kulipiza kisasi juu ya kazi yake.
10.KASORO KWENYE MWILI WA BINADAMU:
Kwanini pawepo na mabadiliko hasi kwenye jeni za binadamu(mutation)? kwani hakujua hicho ni chanzo cha viwete??? Kidole tumbo(appendix) ni cha kazi gani? mbona hajatoa maelezo namna ya kukitumia? Na chuchu za mwanaume ni za kazi gani?
TO THE RIGHT WING OR THE LEFT WING WE ARE NEITHER, NOT EVEN AT THE MIDDLE....R.I.P MOBUTU!
===================
HAWA NI WATU WALIOMDHIHAKI MUNGU NA KUPATWA NA MAJANGA.1.KUMUUMBA SHETANI:
Hili lilikuwa kosa kubwa sana. Makosa yate yamechepuka kutoka hapa. Shetani anawasababishia watu maovu, then Mungu anawahukumu watu dhaifu. Hapa Mungu inambidi amkamate shetani na kumtokomeza ili maovu yaishe, kama wote wanatoshana nguvu basi wasuluhishe ogomvi wao na kupatana ili maisha yawe ya amani.
2.KUISHI MAFICHONI:
Toka enzi na enzi, Mungu amekuwa akiishi mafichoni, kwanini asijitokeze na kujionesha kwa viumbe vyake? Anaishi mafichoni kwani yeye ni Joseph Kony? Hili limepelekea watu wake kudanganywa na manabii wa uongo na kutapeliwa bure. God come from your hidings and reveal yourself to your people.
3.MAFURIKO YA WAKATI WA NUHU:
Mungu alisababisha mafuriko ili kuangamiza watu waovu na kubakiza watu wema, Yes he did, sasa waovu wa leo wametoka wapi? mbona aliuwa watu wengi bila huruma? Kama mafuriko yalikuwa ni suluhisho la maovu, Yesu na mitume walijia nini? It seems he fought effects instead of causes.
4.SAFARI YA WANA WA ISRAELI:
Mungu aliwatoa wana wa Israel kutoka Misri kwa madai ya kuwapa nchi ya ahadi, matokeo yake aliwaamuru wafanye uvamizi wa nchi za watu(mf. waamori, wamoabu na wakanani). Kwanini asingebadilisha jangwa na kuwatengenezea waisraeli nchi yao? mbona Gadaffi aliweza? Imagine waje wapuuzi hapa TZ wachukue nyumba na ardhi kwa madai kwamba wameagizwa na Mungu, ungereact vipi? WE HAVE TO BE FAIR!
5.KUTOTIMIZA AHADI YAKE KWA ABRAHAM:
Mungu alimwambia Abraham kuwa atampatia uzao wa wana wengi kama nyota za angani au mchanga wa pwani. Sasa hivi ukichanganya walio wa Abrahamu na wasiyo wa kwake bado watu hawawezi kuwa sawa na nyota au mchanga wa pwani. Ata ukijumlisha na waliokufa back to Adam. Atatimiza lini hi ahadi? je kuna muda wa kutosha? mbona watumishi wake wanasema Yesu yuu karibu kuja ili kutamatisha nyakati?
6.KUWEPO KWA MZIO(ALLERGY):
Kwanini watu wengi ambao ni wema wana allergy na vitu alivyoumba Mungu? mbona maandiko yanasema kila alichoumba Mungu ni chema? Kwanini aumbe mimea na wanyama wenye sumu kwa watu wake awapendao? au hakujua?
7.MAJANGA ASILIA:
Kama Mungu aliumba dunia ili iwe sehemu ya amani kwa watu wake na wamwabudu yeye, kwani kuna matetemeko ya nchi, vimbunga na mafuriko. Kwani anawauwa watu kikatili hivi? au haya nayo tumsingizie shetani?
8.KUUMBA VIUMBE HATARISHI:
Kwanini Mungu aumbe bacteria, virusi, fangasi na viumbe wengine wanaosababisha magonjwa na kifo? Kwanini hawa viumbe wasingefia kwenye yale mafuriko ya Nuhu ili watu wema alio wabakiza waishi kwa amani? Je hawa viumbe hatari Mungu alimwamuru Nuhu awaingize wawili wawili kwenye safina?
9.JEHANAMU NA MOTO WAKE:
Kwanini Mungu aumbe jehanamu kuteketeza waovu? Kwani hajui kusamehe? Kwanini huruma yake ina kikomo kwa shetani? Kama wewe ni mzazi, mwanao akikukosea na hajaomba msamaha, itabadilisha uhalisia kuwa yule sii mwanao? SHETANI PAMOJA NA WAOVU NI KAZI YA MIKONO YAKE, PRODUCTS OF HIS OWN MIND BEFORE CREATING THEM. So aache kuweka vinyongo na kutamani kulipiza kisasi juu ya kazi yake.
10.KASORO KWENYE MWILI WA BINADAMU:
Kwanini pawepo na mabadiliko hasi kwenye jeni za binadamu(mutation)? kwani hakujua hicho ni chanzo cha viwete??? Kidole tumbo(appendix) ni cha kazi gani? mbona hajatoa maelezo namna ya kukitumia? Na chuchu za mwanaume ni za kazi gani?
TO THE RIGHT WING OR THE LEFT WING WE ARE NEITHER, NOT EVEN AT THE MIDDLE....R.I.P MOBUTU!
===================