Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Kwanini hapana ?Eleza kwanini nikitoa maelezo yenye kujicontradict kuhusu mimi haifanyi mie Tz mbongo kutokuwepo.

"Haifanyi mie Tz mbongo kutokuwepo" ni uandishi mbaya, unatumia double negatives na hueleweki unamaanisha nini.

Sijaandika kwamba wewe unayetoa maelezo yenye kuji contradict haupo, nimesema chenye maelezo yenye contradiction ndicho hakipo.

Kwa case ya Mungu, Mungu hatoi maelezo (kwa sababu hayupo, hivyo hawezi kutoa maelezo).

Watu waliopo ndio wanatoa maelezo yenye contradiction kuhusu Mungu (Mungu ni kitu chenye maelezo yenye contradiction).

Tumeona juu hapo kwamba, chenye maelezo yenye contradiction hakipo.

Tumeona Mungu ana maelezo yenye contradiction.

Hivyo, Mungu hayupo.
 
Kwahiyo kwa mfano mimi Tz mbongo nikitoa maelezo yenye kujicontradict kunihusu mimi,hali hiyo inafanya mimi Tz mbongo nisiwepo? Au hali hiyo inaonesha kuna mushekel kwenye maelezo yangu?
Mushkeli kwenye maelezo.Maelezo kuhusu kitu kama yana contradiction, hicho kitu hakipo kama kilivyoelezewa.

Mungu hayupo. Hajawahi kutoa maelezo.

Watu waliokuwepo na waliopo wametoa maelezo kuhusu Mungu kuwepo.

Maelezo hayo yana contradiction. Maelezo ya kuwepo Mungu yana contradiction.

Kwa sababu maelezo ya kuwepo Mungu yana contradiction, Mungu huyo hayupo.

Ni sawa na mimi niseme pembetatu duara ipo. Mimi ninayesema nipo, lakini hiyo pembetatu duara haipo.

Maelezo kuhusu hiyo pembetatu duara yana contradiction. Pembetatu duara hiyo haipo.
 
Mushkeli kwenye maelezo.Maelezo kuhusu kitu kama yana contradiction, hicho kitu hakipo kama kilivyoelezewa.

Mungu hayupo. Hajawahi kutoa maelezo.

Watu waliokuwepo na waliopo wametoa maelezo kuhusu Mungu kuwepo.

Maelezo hayo yana contradiction. Maelezo ya kuwepo Mungu yana contradiction.

Kwa sababu maelezo ya kuwepo Mungu yana contradiction, Mungu huyo hayupo.

Ni sawa na mimi niseme pembetatu duara ipo. Mimi ninayesema nipo, lakini hiyo pembetatu duara haipo.

Maelezo kuhusu hiyo pembetatu duara yana contradiction. Pembetatu duara hiyo haipo.
Hivi ni kweli hufamu kwamba viwango vya uelewa vya watu

Ndio huamua lugha na ufahamu wao..!?

Maana yake_huwezi kusema kwa kuwa maandishi yao yanajipinga watu hao

Basi ndio iwe suluhu ya kutokupo kwa chanzo

Wakati mwingine kuna sadaka ya kujilazimisha ujinga ili kuwafunda wajinga

Ili wawe na ufahamu

Na ujinga maana yake ni kujitune katika kizio kidogo cha uelewa

Na haina maana wenyewe kwa asili ni ujinga_kila kitu ni chema kwa sehemu yake
 
"Haifanyi mie Tz mbongo kutokuwepo" ni uandishi mbaya, unatumia double negatives na hueleweki unamaanisha nini.

Sijaandika kwamba wewe unayetoa maelezo yenye kuji contradict haupo, nimesema chenye maelezo yenye contradiction ndicho hakipo.

Kwa case ya Mungu, Mungu hatoi maelezo (kwa sababu hayupo, hivyo hawezi kutoa maelezo).

Watu waliopo ndio wanatoa maelezo yenye contradiction kuhusu Mungu (Mungu ni kitu chenye maelezo yenye contradiction).

Tumeona juu hapo kwamba, chenye maelezo yenye contradiction hakipo.

Tumeona Mungu ana maelezo yenye contradiction.

Hivyo, Mungu hayupo.
Unaposema watu wanatoa maelezo yenye KUMUHUSU MUNGU ndiyo sawa na mimi niliposema Tz mbongo kutoa maelezo yenye KUNIHUSU MIMI,ndiyo maana nikauliza nikitoa maelezo kuhusu mimi yenye contradictions,je maelezo yatafanya mie Tz mbongo kutokuwepo? maana umesema kitu chenye maelezo yenye contradiction hakipo.

Contradiction hapa ni maelezo ya kuhusu Mungu kuumba huu ulimwengu,huu ulimwengu upo tunauona ila tatizo lako ni pale yanapokuja maelezo ya kwamba Mungu ndio kaumba huu ulimwengu,hapo ndipo unaposema haiwezekani kwa sababu huu ulimwengu unamcontradict huyo Mungu na sifa yake ya upendo.

Sasa hapo kusema Mungu ndiyo hayupo na ulimwengu ndio upo,sijui contradiction ilikuwa ni ipi hadi useme hivyo!
 
Unaposema watu wanatoa maelezo yenye KUMUHUSU MUNGU ndiyo sawa na mimi niliposema Tz mbongo kutoa maelezo yenye KUNIHUSU MIMI,ndiyo maana nikauliza nikitoa maelezo kuhusu mimi yenye contradictions,je maelezo yatafanya mie Tz mbongo kutokuwepo? maana umesema kitu chenye maelezo yenye contradiction hakipo.

Contradiction hapa ni maelezo ya kuhusu Mungu kuumba huu ulimwengu,huu ulimwengu upo tunauona ila tatizo lako ni pale yanapokuja maelezo ya kwamba Mungu ndio kaumba huu ulimwengu,hapo ndipo unaposema haiwezekani kwa sababu huu ulimwengu unamcontradict huyo Mungu na sifa yake ya upendo.

Sasa hapo kusema Mungu ndiyo hayupo na ulimwengu ndio upo,sijui contradiction ilikuwa ni ipi hadi useme hivyo!
Kama wewe hupo, huwezi kutoa maelezo yenye contradiction kukuhusu wewe.

Unakubali hilo?

Ili wewe uweze kutoa maelezo hayo, inabidi uwepo kwanza.

Unakubali hilo?
 
Ni sawa ulivyosema kwamba "Qur'an no kopi from bible"

Utume alipewa na Mungu ila "mapadri" walimkubali kwa sababu kipindi hicho wakristo na mayahudi ndio walikuwa watu walioshika dini yaani "Ahlul kitaabu" lakini waarabu walikuwa ni washenzi kupita maelezo.

Astro nomaa kaa chini ufundishwe dini na sio kupinga tu.

Umesoma sira tu nabawiya vizuri?
 
Kaka hili swali silikwepi,na hapa nakufundisha ujue adabu za kijadiliana na adabi za kielimu. Miongoni mwa adabu za elimu ni haramu kuongea jambo ambalo huna elimu nalo.

Kama wewe uliituhumu Qur'an ni mashairi,halafu unashindwa kuthibitisha ishairi wake uko wapi ? Huku ni kuikosea adabu elimu. Wewe ulitakiwa ulitakiwa uanze kwanza kuulizia ushairi nini na tungo gani inaweza kuitwa shairi,ila huku kukurupuka na kujidai wahuaji ndiko kuba wagharimu.

Bro sikufichi,mimi namshukuru Mola wangu nimelelewa katika adabu na misingi ya kielimu,ndio maana huwa najitahidi sana nisikurupuke na kama ikitokea nimekurupuka na nikakosea juu ya jambo fulani huwa sichelewi kukubali kosa na kukiri hilo kisha naendelea maisha kama kawaida. Nilishakataa kujipa mizigo isiyo na haja.


Quran ni mashairi na utakuja kugundua uzuri wake ni kwa lugha ya kiarabu ukisema ubadilishe kwa lugha nyingine bila ya kiarabu hutatamani kusoma kitabu hiko

Unajua maana ya shairi?
 
Vizuri mno na hapa bado naendelea kuisoma. Na vitabu nilivyovisoma naweza kukuorodheshea hapa chini nikiona kuna haja ya kufanya hivyo.

JAZA KAALLAHUL KHEIR BAADA KHEIR JANNAT NAIM

mpaka unijibu hili swali Quran ni mashairi na uzuri wake kwa kiarabu

Kama unapinga nipe maana ya shairi?
 
JAZA KAALLAHUL KHEIR BAADA KHEIR JANNAT NAIM

mpaka unijibu hili swali Quran ni mashairi na uzuri wake kwa kiarabu

Kama unapinga nipe maana ya shairi?
Unataka kutokea kupitia mimi ? Tafuta kitabu kiitwacho "al Mujadid al 'awaf fii rasmi 'ilm al 'aruudh wa al qawafi" pia kingine tafuta kitabu kiitwacho "Mizan dhahaab fi sanaa 'ilm shi'ir al 'arab"

Soma,usipende mteremko.....
 
JAZA KAALLAHUL KHEIR BAADA KHEIR JANNAT NAIM

mpaka unijibu hili swali Quran ni mashairi na uzuri wake kwa kiarabu

Kama unapinga nipe maana ya shairi?
Rejea post #3134 nimekutajia vitabu vichache miongoni mwa vingi,na nimefanya kwa huruma tu. Ila mkiamua kusoma msome kweli kweli.
 
Quran ni mashairi na utakuja kugundua uzuri wake ni kwa lugha ya kiarabu ukisema ubadilishe kwa lugha nyingine bila ya kiarabu hutatamani kusoma kitabu hiko

Unajua maana ya shairi?
Hii swali narudia tena,ulitakiwa kuuliza kabla hujaituhumu Qur'an ni mashairi.

Sasa kama ukiandika kitu ambacho hukijui kwanini uliamua kusema uongo na kupotosha jamii ?

Ukitaka nikwambie nini maana ya mashairi,kwanza kiri ya kuwa hujui chochote katika elimu ya ushairi,iwe ushairi wa kiarabu au wa kiswahili.

Nasubiri jibu......
 
Magu alisema wale walioimba 'wana imani na nani sijui' angewatimua wote siku hiyo hiyo... Mimi nasema kama ningelikuwa Mungu pindi tu kidole chako kinabonyeza kitufe cha kupost hapo hapo ningekugeuza senene!!

Unafanya dhihaka kama hizi na bado uko hai! Aisee Mungu ana uvumilivu wa hali ya juu sana... Mwacheni Mungu aitwe Mungu!!
Ndo maana we sio Mungu ....
 
Unataka kutokea kupitia mimi ? Tafuta kitabu kiitwacho "al Mujadid al 'awaf fii rasmi 'ilm al 'aruudh wa al qawafi" pia kingine tafuta kitabu kiitwacho "Mizan dhahaab fi sanaa 'ilm shi'ir al 'arab"

Soma,usipende mteremko.....

Nasikitika unashindwa kutetea kuwa quran sio mashairi

Unajua wazi quran ni mashairi ndiio maana nakuambia uzuri wa quran ni kiarabu kwakuwa ni mashairi

Hasan bin thabiti huyo alimfundisha muhamad na kama unakataa quran sio mashairi niambie ni maana ya shairi?
 
Rejea post #3134 nimekutajia vitabu vichache miongoni mwa vingi,na nimefanya kwa huruma tu. Ila mkiamua kusoma msome kweli kweli.

Huwezi toa maelezo ya mashairi unatambua wazi quran ni mashairi

Muhamad amekopi hadithi za bible wakatengeneza mashairi wakishirikiana na Hasan bin thabiti

Hakuna kitabu hapo ujue hayo ni mashairi kama diwani ya mloka ndiio maana waislam wengi utawakuta wanasoma quran kwa mtindo wa kuimba bila ya kujua maana kwakuwa ni mashairi
 
Hii swali narudia tena,ulitakiwa kuuliza kabla hujaituhumu Qur'an ni mashairi.

Sasa kama ukiandika kitu ambacho hukijui kwanini uliamua kusema uongo na kupotosha jamii ?

Ukitaka nikwambie nini maana ya mashairi,kwanza kiri ya kuwa hujui chochote katika elimu ya ushairi,iwe ushairi wa kiarabu au wa kiswahili.

Nasubiri jibu......



Huna cha kunifundisha naujua uislam kama unavyoujua wewe

Kama uislam ninaouzungumzia hapa kauleta muhamad basi naujua na kama huo uislam unaosema wewe umetoka sayari ya mars basi siujui

Pinga kwa hoja kama quran sio mashairi
 
Tuanzie hapa ,nini maana ya mashairi na nini maana ya Quran.
Huna cha kunifundisha naujua uislam kama unavyoujua wewe

Kama uislam ninaouzungumzia hapa kauleta muhamad basi naujua na kama huo uislam unaosema wewe umetoka sayari ya mars basi siujui

Pinga kwa hoja kama quran sio mashairi
 
Nasikitika unashindwa kutetea kuwa quran sio mashairi

Unajua wazi quran ni mashairi ndiio maana nakuambia uzuri wa quran ni kiarabu kwakuwa ni mashairi

Hasan bin thabiti huyo alimfundisha muhamad na kama unakataa quran sio mashairi niambie ni maana ya shairi?


Bro unapenda sana kupoteza muda. Nakurudisha sasa huku kwenye kanuni za mijadala. Katika elimu ya mijadala na nyinginezo zinasema hivi "Mwenye kuthibitisha huwa anatangulizwa dhidi ya yule mwenye kukanusha,kwani mara nyingi mwenye kuthibitisha huwa ana zaida ya elimu"

Sasa wewe unaesema Qur'an ni mashairi unatakiwa utoe sababu za kwa nini Qur'an ni Mashairi.

Kadhalika nilikuuliza swali kama ulikuwa hujui Mashairi ni nini,kwanini uliongelea jambo ambalo huna elimi nalo ?
 
Tuanzie hapa ,nini maana ya mashairi na nini maana ya Quran.

Huyo hili swali nimeanza kumuuliza muda sana,na hapa anataka pakutokea baada ya kushindwa swali la kwanini aseme Qur'an ni mashairi hali ya kuwa Ushairi wa kiarabu haujui ?

Hilo swali analikwepa muda mrefu sasa umepita.

Nilimtajia vitabu kadhaa vya elimu ya Ushairi wa kiarabu ili ajaribu kuvisoma anaweza kupambaukiwa ya kuwa Qur'an si mashairi.

Huko anapoelekea anataka hii iwe mada pweke.

Wanachosha sana hawa wadau......
 
Back
Top Bottom