Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Unaelewakwamba hujuikusoma kwaufahamu?

Unaelewakwamba nimeadnika kwa ufasaha kabisa kwamba Mungu huyo angekuwepo, ulimwengu huu usingeweza kuwepo.

The two are mutually exclusive.

Huwezikuwa na viwili vyote pamoja.

Ama utakuwa na hiki bila kile, ama kile bila hiki.

Amautakuwa na ulimwengu huu tunaouona bila Mungu kuwepo.

Amautakuwa na Mungu bila ya ulimwengu huu tinaouona.

Na hivyo, kwa sababu ulimwengu huu tunaouona upo, Mungu hayupo.

Umeelewa hiyodhana ya "mutual exclusivity" ?

Viwili hivi kuwapo pamoja ni contradiction, haiwezi kuwa, ni wazo tu, halwezekani katika uhalisi.
Tatizo umeweka msimamo wa kuwabhuyo Mungu lazima ahusike na huu ulimwengu au uwepo wake unategemea huu ulimwengu,ndiyo maana hunielewi.

Nakwambia kwanini isiwe kwamba huu ulimwengu haujaumbwa na Mungu kama inavyodaiwa maana ni contradiction,ila wewe unaniamb Mungu angekuwepo huu ulimwengu usingekuwepo.

Sasa hapo nani hamuelewi mwenzie?
 
Kiswahili na kiarabu tofauti ninavyoandika na ninavyosoma ni tofauti maana naweza kusoma kwa tahjuud na tarteel kama Abdul baswit

Nimehifadhi yasiin yote wakati wewe hujahifadhi ht juzuu moja


Naona unarudi katika yale niliyokutahadharisha kwayo awali. Naona umeanza kunyoosha maelezo,lazima utanyoosha tu maelezo.

Bro hiki kisomo cha Tahjuud ndio kisomo gani ? Hapa nataka unipe faida kaka mkubwa.
 
Hahaha nacheka sana hapa lazima utakaa sawa. Hakuna binadamj anaye weza mpa binadamu mwenzake utume.

Na utume una umri wake mzee,soma surat al Muzammil.

Nacheka sana,unasema alimpa utume ? Huu ni uongo wa wazi,yule padri alikuwa na elimu ya Injili na katika injili ametabiriwa Rasul kwa kuyaona huyo padri akampa bishara ya kuwa kwa sifa hizo bila mtume Muhammad ni yule aliyetabiriwa katika Injili.

Katika ule msafara wa biashara na ami yake zilionekana Ishara,hapa ndipo utakapo ona ya kuwa watu wa kitabu wa zama zile walikuwa na elimu sahihi na wanadhibiti maandiko ndio maana walioona Ishara wakamtahadharisha ami yake juu ya mtune Muhammad.

Sasa usichanganye kati ya kutoa utume na kisadikidisha maandiko hivi ni vitu viwili tofauti.

Nipo.....Bado hujaleta hoja za msingi juu ya yale unayo yadai.


Muhamad amepewa utume na mapadri si umeona hapo na hao ndio waliomuandikia quran

Na unajua kwanini walimchagua yeye? sababu zipo 2

Ya kwanza hakujua kusoma wala kuandika wakati akiwa na miaka 9 yeye baada ya kwenda kusoma yeye anakimbilia biashara

Sababu ya pili ukoo na kabila lake pale makka ulikuwa una nguvu babu yake Abdul mutwalib alikuwa anashika ufunguo za Al kaab
 
Naona unarudi katika yale niliyokutahadharisha kwayo awali. Naona umeanza kunyoosha maelezo,lazima utanyoosha tu maelezo.

Bro hiki kisomo cha Tahjuud ndio kisomo gani ? Hapa nataka unipe faida kaka mkubwa.

Sio Tahjuud ni Tajweed kama nilisema hivyo nimechapia namaanisha tajweed
 
Muhamad amepewa utume na mapadri si umeona hapo na hao ndio waliomuandikia quran

Na unajua kwanini walimchagua yeye? sababu zipo 2

Ya kwanza hakujua kusoma wala kuandika wakati akiwa na miaka 9 yeye baada ya kwenda kusoma yeye anakimbilia biashara

Sababu ya pili ukoo na kabila lake pale makka ulikuwa una nguvu babu yake Abdul mutwalib alikuwa anashika ufunguo za Al kaab


Nacheka sana,kaka naona unazidi kuuonyesha ujinga wako,mkiambiwa msome muwe mnasoma na kuelewa haya mambo.

Ndio maana nikawa nashangaa iweje huna mabawa lakini unataka kupaa au ulikuwa hujui kama unaabawa ?

Hajapewa utume na hilo nimebainisha mtume alipewa utume rasmi pindi alipoamriwa aanze kufikisha pale ndipo alipopewa utume,soma tena surat al Muzammil mzee.


Elimu haina mwenyewe bali elimu ina watu wake.....

Kutokujua kusoma kwake na kuandika ule ulikuwa ni muujiza na majibu kwa wenye hila kwani zama zake kulikuwa na wayahudi sifa yao pia watu hao ni kukithirisha sana kuuliza maswali na walikuwa na hila ya ajabu na chuki za kijinga,na Allah aliyetukuka alifanya hayo makusudi ili wajikupata ya kusemea na kuzua.

Je hukuona mtume alivyoitwa mchawi,je hukuona mtume alivyoitwa mwenda wazimu ?

Soma bro.....
 
Kaka nasema tena sijafunuliwa kuhusu yajayo ila kwa wepesi wa hoja zako naiona mbele yako katika hoja,nilisema hivi ukiendelea kujadiliana na mimi lazima utaumbuka mzee.

Hassani bin Thabiti alikuwa mshairi wa mtume hili halipingiki,je swali unajua alikuwa anatunga nini na wakati gani ?

Mtume alikuwa alikuwa na waandishi wake wa Qur'an halikadhalika wasomaji wake wa mashairi.

Iwapi ardhi na iwapi mbingu mzee ?


Qurani mashairi na huyo Hassan bin thabiti amemsaidia kiasi kikubwa wakishirikiana kuandika

Ndio maana utakuja kuona uzuri wa Quran ni kiarabu kwakuwa ni mashairi

Ukiweka quran pekee yake kwa lugha nyingine unaharibu kila kitu maana hutatamani kukisoma hiko kitabu kinakuwa hakiekeweki kama kinaenda mbele au kinarudi nyuma
 
Nacheka sana,kaka naona unazidi kuuonyesha ujinga wako,mkiambiwa msome muwe mnasoma na kuelewa haya mambo.

Ndio maana nikawa nashangaa iweje huna mabawa lakini unataka kupaa au ulikuwa hujui kama unaabawa ?

Hajapewa utume na hilo nimebainisha mtume alipewa utume rasmi pindi alipoamriwa aanze kufikisha pale ndipo alipopewa utume,soma tena surat al Muzammil mzee.


Elimu haina mwenyewe bali elimu ina watu wake.....

Kutokujua kusoma kwake na kuandika ule ulikuwa ni muujiza na majibu kwa wenye hila kwani zama zake kulikuwa na wayahudi sifa yao pia watu hao ni kukithirisha sana kuuliza maswali na walikuwa na hila ya ajabu na chuki za kijinga,na Allah aliyetukuka alifanya hayo makusudi ili wajikupata ya kusemea na kuzua.

Je hukuona mtume alivyoitwa mchawi,je hukuona mtume alivyoitwa mwenda wazimu ?

Soma bro.....


Mapadri ndio waliompa utume huyo muhamad nimekupa siratu nabawiya wakati anaenda sham akakutana na padri bahira na kumuambia huyu atakuwa mtume

Sasa wewe unakataa lipi hapo?
 
Sio Tahjuud ni Tajweed kama nilisema hivyo nimechapia namaanisha tajweed
Kaka unanipa raha sana,ndio maana nikasema hivi ukinedelea kujadiliana na mimi lazima utaumbuka.

Tajweed ni elimu pweke kwayo inamfanya mtu kusoma Qur'an vizuri kwa kufata hukumu na Tarteel ni usomaji mzuri wa Qur'an. Na katika hili ulamaa wa tajweed wamelezea mengi.

Mlio wengi kwa kuwa wavivu wa kusoma mnauita ule usomaji wa Abdul Baswiit ndio mtindo wa Tajweed.

Kaka soma tena soma sana... Inaonekana ulikosa muongozo muongozo na misingi juu ya elimu hizi ndio maana hujafaidika nazo.

Sasa tafuta vitabu kama Tuhfat al At'faal na vingine kama vile Mudhakirat fi Tajweed,Al Qaaida an Nuraaniyyah,soma matni ya Imamu wa Tajweed al Imaam Jazari na vingine vingi.

Kisha ukipata wasaa ni juu yako ukipenda kusoma elimu ya Qira'at yaani usomaji tofauti wa aya za Qur'an kama ilivyopokewa.

Narudi....
 
Kaka unanipa raha sana,ndio maana nikasema hivi ukinedelea kujadiliana na mimi lazima utaumbuka.

Tajweed ni elimu pweke kwayo inamfanya mtu kusoma Qur'an vizuri kwa kufata hukumu na Tarteel ni usomaji mzuri wa Qur'an. Na katika hili ulamaa wa tajweed wamelezea mengi.

Mlio wengi kwa kuwa wavivu wa kusoma mnauita ule usomaji wa Abdul Baswiit ndio mtindo wa Tajweed.

Kaka soma tena soma sana... Inaonekana ulikosa muongozo muongozo na misingi juu ya elimu hizi ndio maana hujafaidika nazo.

Sasa tafuta vitabu kama Tuhfat al At'faal na vingine kama vile Mudhakirat fi Tajweed,Al Qaaida an Nuraaniyyah,soma matni ya Imamu wa Tajweed al Imaam Jazari na vingine vingi.

Kisha ukipata wasaa ni juu yako ukipenda kusoma elimu ya Qira'at yaani usomaji tofauti wa aya za Qur'an kama ilivyopokewa.

Narudi....

Hayo ni maoni ya wanachuoni

Ndio maana utakuja kuona ktk uislam kuna madhehebu mengi wengine wanasema hili na wengine wanapinga

Kwa mfano mimi imam shafii ndio namuelewa hao wengine hapana kwa hiyo km wewe humfati imam shafii mimi siwezi kukulazimisha umfate wala kukuponda kuona imam shafii labda yupo sahih kushinda wengine

Mfano ktk takbiratul ihrami wengine wanafunga mikono na wengine hawafungi

Je nani yupo sahihi?

Au madufu wengine halal na wengine haram je nani yupo sahihi ?

Najua kusoma kwa tajweed tena kwa Sauti nzuri mara bayat mara siqa mara hijaz nabadilika kama kinyonga wewe utabaki Aallah YABAKTWA NABIY NABIY YAA BAKTWA BIN RASUL
 
Tatizo umeweka msimamo wa kuwabhuyo Mungu lazima ahusike na huu ulimwengu au uwepo wake unategemea huu ulimwengu,ndiyo maana hunielewi.

Nakwambia kwanini isiwe kwamba huu ulimwengu haujaumbwa na Mungu kama inavyodaiwa maana ni contradiction,ila wewe unaniamb Mungu angekuwepo huu ulimwengu usingekuwepo.

Sasa hapo nani hamuelewi mwenzie?
Unafahamu mutual exclusivity ni nini?
 
Mapadri ndio waliompa utume huyo muhamad nimekupa siratu nabawiya wakati anaenda sham akakutana na padri bahira na kumuambia huyu atakuwa mtume

Sasa wewe unakataa lipi hapo?
Nachotaka mimi useme haki sio unapayuka.

Naona unataka turudi nisipopataka,sababbi wewe unajinadi ya kuwa unaujua Uislamu hali ya kuwa ukweli ulivyo ni kinyume chake.

Ina maana hujui hata nini maana ya Utume mpaka useme mapadri walimpa utume ?

Ujinga mzigo sana. Soma,nasema tena soma.

Nipo.....
 
Hayo ni maoni ya wanachuoni

Ndio maana utakuja kuona ktk uislam kuna madhehebu mengi wengine wanasema hili na wengine wanapinga

Kwa mfano mimi imam shafii ndio namuelewa hao wengine hapana kwa hiyo km wewe humfati imam shafii mimi siwezi kukulazimisha umfate wala kukuponda kuona imam shafii labda yupo sahih kushinda wengine

Mfano ktk takbiratul ihrami wengine wanafunga mikono na wengine hawafungi

Je nani yupo sahihi?

Au madufu wengine halal na wengine haram je nani yupo sahihi ?

Najua kusoma kwa tajweed tena kwa Sauti nzuri mara bayat mara siqa mara hijaz nabadilika kama kinyonga wewe utabaki Aallah YABAKTWA NABIY NABIY YAA BAKTWA BIN RASUL
Naona somo umeanza kulielewa sasa. Huku unapotak kupaingia najua huwezi kutoka nikitaka kujadiliana na wewe kuhusu mambo ikhtilaafat za wanazuoni.

Mimi mwenyewe ni Shafii kwa madhehebu ya kifikihi.
 
Naomba nitoe utetezi mmoja mmoja.
KOSA LA KWANZA : KUMUUMBA SHETANI.

Kitu cha msingi unachopaswa kujua katika uumbaji, Mungu ameruhusu "free thinking" ndio maana wewe ni "free thinker" leo. Hata katika maandiko Mungu anatutaka tuwe na questioning mind.

Huyo shetani unayemlaumu Mungu kwa uumbaji wake hakuwa namna hiyo siku za mwanzo za uumbaji wake, Alikuja badirika sababu ya kulewa sifa na madaraka.

Na hata ugomvi wetu na Shetani ni ideological, Shetani kaamua kurebel kila ideologies na principles za Mungu, anachofanya ni kuzielezea kwetu kwa namna nyingine, anatudanganya.

Unless useme hapa Mungu kwa nini aliruhusu free thinking, alafu utuambie haya maisha kwako yangekuwa na maana gani, ungezidiwa hata na maji sababu yanatembea, ungekuwa kama jiwe.
Acha uongo Shetani hajaumbwa. wakati mtu kwenye familia kazaliwa akiwa mwema huwezi sema familia imemzaa mwizi. swala rahisi tu hapo. usipotoshe
 
Nanukuu quran ili niendane na akili zako kama vile unapoweka lubricant kupunguza friction ktk mashine

Ila sio kama nazikubali hizi aya za quran natumia kulainisha akili yako kuanzia cerebral mpaka medulla oblangata

Hakuna mtu aliyewahi kumuona huyo Allah je huyo Allah ili awe mwalim wa muhamad walionana wapi mpaka wakawa wanafundishana?


Kwa kuwa unapenda kunukuu aya za Qur'an basi Allah alijua na hakukosea pale aliposema:-
ربما يود الذين كفرا لو كانوا مسلمين

Rrubamaa yawaddu KAFARUU lau kaanuu muslimiin.


Yaani;- Huenda ikawa Makafiri wanatamani wangekuwa WAISLAMU. (15:2)

Asro nomaa kama unatamani kuwa Muislamu unakaribishwa tu.

Kuhusu Mungu kakutana wapi na Mtume Muhammad (saw), ni kwamba nyie "Atheists" akili zenu siku zote zinawaza "physical visualizing" tu mkipelekwa kwenye "spiritual visualizing" mnachanganyikiwa kabisa, nyinyi mlitaka Mungu akutane na Nabii wake kama jinsi nyinyi mnavyokutana na waganga wenu wa kishirikina?!!😁😁. Au mlitaka Mungu awe na ofisi fulani kama zile za vyama vya siasa??😁😁, akili zenu ndogo kweli 😁😁.

Mungu huwasiliana na Manabii wake kupitia malaika mkuu Jibril (Gabriel).
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Huwezikuthibitisha Mungu yupo.

Hutakuja kuthibitisha Mungu yupo.

Kwa sababu hayupo.

Kama unabisha, thibitisha Mungu yupo.




Wewe kwanza jibu shutuma za kudanganya umma wa JF, kwamba "ulizawadiwa" alama kubwa ya A+, na profesa wako wa falsafa wakati ukiwa masomoni huko Marekani, ulisema ulikonga moyo wa huyo profesa pale ulipomshushia "nondo" za kupinga UWEPO WA MUNGU, na akakuzawadia hiyo alama NJE YA CHUMBA cha mtihani (akakuambia usifanye mtihani wa falsafa) kwa sababu hoja zako za kuthibitisha kutokuwepo kwa mungu zipo juu ya uwezo wao (beyond their understanding).

👆🏻Kiranga, hiyo ilikuwa ni kauli yako (ninayoweza kukumbuka) na humu ndani imo.

Kwa sababu hii nayo ilikuwa ni moja ya utetezi wako kupinga Uwepo wa Mungu, ndiyo maana ninaishikilia kwamba uitolee maelezo (ifafanue) kwani imekaa vibaya sana, na kama uliteleza basi siyo dhambi kujikosoa kwani hakuna binadamu mkamilifu.

Vinginevyo hii inakuweka katika mazingira ya watu kukutambua hulqa zako yaani inatupasa kuchunguza kwa makini kila andiko lako kwa sababu "you are unreliable and untrustworthy"-- humu jf, kuna takriban watu wa aina mbalimbali zaidi ya 400,000.unatakiwa kuchunga kila unachoandika ukizingatia kuwa uwepo wa Mungu unagusa sensibilities za watu wengi mno ukilinganisha na Atheists ambao mpo wachache.
 
Wewe kwanza jibu shutuma za kudanganya umma wa JF, kwamba "ulizawadiwa" alama kubwa ya A+, na profesa wako wa falsafa wakati ukiwa masomoni huko Marekani, ulisema ulikonga moyo wa huyo profesa pale ulipomshushia "nondo" za kupinga UWEPO WA MUNGU, na akakuzawadia hiyo alama NJE YA CHUMBA cha mtihani (akakuambia usifanye mtihani wa falsafa) kwa sababu hoja zako za kuthibitisha kutokuwepo kwa mungu zipo juu ya uwezo wao (beyond their understanding).

👆🏻Kiranga, hiyo ilikuwa ni kauli yako (ninayoweza kukumbuka) na humu ndani imo.

Kwa sababu hii nayo ilikuwa ni moja ya utetezi wako kupinga Uwepo wa Mungu, ndiyo maana ninaishikilia kwamba uitolee maelezo (ifafanue) kwani imekaa vibaya sana, na kama uliteleza basi siyo dhambi kujikosoa kwani hakuna binadamu mkamilifu.

Vinginevyo hii inakuweka katika mazingira ya watu kukutambua hulqa zako yaani inatupasa kuchunguza kwa makini kila andiko lako kwa sababu "you are unreliable and untrustworthy"-- humu jf, kuna takriban watu wa aina mbalimbali zaidi ya 400,000.unatakiwa kuchunga kila unachoandika ukizingatia kuwa uwepo wa Mungu unagusa sensibilities za watu wengi mno ukilinganisha na Atheists ambao mpo wachache.
Ad hominem fuckery.

Hujasoma Marekani hata kukuelezea habari zangu mzigo.

Acha shobo, sitaki shombo kwenye chombo.

Hujathibitisha Mungu yupo.
 
Back
Top Bottom