Makosa 10 aliyotenda Mungu

Makosa 10 aliyotenda Mungu

Huu ulimwengu sio sehemu ya Mungu bali huu ulimwengu ni katika vitu tunavyoambiwa kaumba huyo Mungu,sasa unapinga hilo kwamba haiwezekani huu ulimwengu kuwa umeumbwa na Mungu huyu huyu mwenye upendo.
Unajua kusoma? Siku zote tunabishana mbona unauliza maswali kama huelewi msingi wa ubishi wangu?

Unaelewa kwamba msingi wa ubishi wangu ni kwamba Mungu mzuri hivyo hawezi kuumba ulimwengu mbaya hivi?
 
Ungekuwa unayo dini ningejua nianzie wapi lakini huamini Mungu na wala huna dini yoyote hata hata upagani huna.



Qul yaaa yuhaal Kaafiruun.
Laa a'ghbudu maa tagh'buduun.
Wa laa antum gh'abiduuna maaa agh'bud.
Wa laa anaa gh'abidunn mmaa gh'abadttum.
Wa laaa antum gh'aabiduuna maaa agh'budu.
Lakum diinakum wa liyadiin.

(109:1-7).

"WA MINNA NASI MAN MAN YAQULU AAMANNA BI LLAH WABIL YAUMIL AKHIR WAMAA HIM BIMUUMININ"

Na katika watu,wako wasemao tumemuamini mwenyezimungu na siku ya mwisho wala wao si wenye kuamini baqra 2:8

Imani yako haba unashindwa kuonyesha muhamad nani alikuwa anamfundisha wakati yeye hakujua kusoma wala kuandika

Mtu hajui kusoma wala kuandika anawezaje kushikilia akili zako wewe mpaka unakubali hizo Hallucination na delusion?
 
Kama Mungu wa kweli yupo , utathubutu kuandika makosa yake kweli !? Ila Mungu wa hizi dini zilizokuja na meli sawa ! Poa !!
 
Bro usiongee vitu ambavyo huna elimu navyo.

Muhammad amani ya Allah iwe juu yake,hakuwa anajua kusoma na kuandika na huu ndio muujiza miongoni mwa miujiza ya nabii huyu,Allah alijua kutakuwa na watu kama nyinyi,ili msije kusema ya kuwa Qur'an ameitunga yeye,japokuwa kuna wajinga na wasusuavu wa mioyo wana dai Qur'an imetungwa.

Ama kuhusu nani aliyekuwa anamsomea aya,hili liko wazi ni mjumbe wa Allah aliye juu malaika muheshimiwa Jibril alayhi salaam.

Na Allah alitoa ahadi kwani mtume amani ya Allah alikuwa anapata shida kuzohifadhi aya,Allah akasema atazidhibiti aya zake kifuani mwake na wala hato sahau.

Nakuuliza swali,wapi umeisoma historia ya mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake.

Narudi kuchukua jibu langu.....

Naam ya akhy zurri

Nimesoma risatul nabawiya yote

Nimejifunza kusoma Quran fi tajweed na tarteel

Nimehifadhi juzuu ya Amma yote na juzuu ya tabaraka yote

Nimehifadhi Yasiin yote na naweza kusoma msahafu wote kwa kuangalia

Kwa hilo mimi ni mbora yawezekana wewe yasiin moyo wa Quran hujahifadhi yote

Naam muhamad anasema embu msikilize

"Na imepokewa kwa uthman bin affan radhwiya llahu aanhu kuwa mtume wa Allah amesema mbora wenu ni Yule aliyesoma quran na kuifundisha hadithii hii imepokelewa na Al-bukhary Abuu dawuud na tirmidhy

Sasa kama nimesoma quran nakufundisha basi mm mbora
 
Halafu unaposema aliyekuwa ana mpa mashairi Mtume Muhammad ni nani ?

Je una maanisha Qur'an ni mashairi ?

Ikiwa unasema Qur'an ni mashairi basi wewe ni mjinga wa wajinga katika elimu ya Ushairi.

Na nina uhakika elimu ya Ushairi wa Kiarabu huijui. Ukisema unajua,utabidi ujibu maswali yatakayo fata.

Haikuwa elimu isipokuwa kwa kusomeshwa,sasa kama nyinyi hamsomi huku mkijidai mnasoma,sisi wenzenu tuliamua kusoma na kuzingatia.

Nipo........

Niambie shairi ni nini?
 
unadhani hayo unayoita MAKOSA YA MUNGU yasingekuwepo dunia ingekuwaje? kama binadamu tungekuwa wakamilifu nani angemkumbuka Mungu?
 
Kaka wewe mbona uislamu huujui kabisa yaani huujui tena sana.

Qur'an huijui,halikadhalika hadithi za Rasul huzijui.

Nimerudi.........


Umesema uislam siujui basi mm naujua

Mal Islam? Nini uislam?

Huwa diinu lladhi baatha llahu bihii sayidunaa muhamad LIJAMII NNASI "uislam ni dini ambayo allah mempa muhamad kwa watu "

Mal quraan? nini quran?

Jibu DHALIKAL KITAAB LARAY IBA FI HUDALIL MUTAQIIN

Sasa sijui mwenzangu huo uislam wako unaojifanya wewe unaujua peke yako na wengine wasiujue umeupata wapi? au huo uislam unaujua ww umetoka sayari ya mars au Jupiter
 
Unajua kusoma? Siku zote tunabishana mbona unauliza maswali kama huelewi msingi wa ubishi wangu?

Unaelewa kwamba msingi wa ubishi wangu ni kwamba Mungu mzuri hivyo hawezi kuumba ulimwengu mbaya hivi?
Nakuelewa vizuri sana ila tunapokuja kutoelewana ni pale unaposema huyo Mungu hayupo,huu ulimwengu ni moja ya katika vitu tunavyoambiwa ameviumba huyo Mungu mzuri,kitu ambacho wewe ndio unakipinga.

Yani baada ya kuonesha kuwepo contradictions kwenye madai ya kwamba Mungu mwenye upendo ndiye kaumba huu ulimwengu,wewe umemuondoa kabisa huyo Mungu na sio kuonesha tu kuwa haiwezekani Mungu huyo ndio kuwa kaumba huu ulimwengu.

Hapo ndiyo ambapo hatuelewani,kwa sababu hata kama utathibitishiwa kuwepo Mungu bado hii hoja contradiction itaendelea kujadiliwa maana suala la kuwa yeye ndio kaumba huu ulimwengu ndio lenye kutatiza hapa.
 
Kama Mungu wa kweli yupo , utathubutu kuandika makosa yake kweli !? Ila Mungu wa hizi dini zilizokuja na meli sawa ! Poa !!
Kwahiyo muafrika mwenye dini ya mababu zake akienda ulaya nako wazungu wataita dini hiyo imekuja na ndege?
 
"WA MINNA NASI MAN MAN YAQULU AAMANNA BI LLAH WABIL YAUMIL AKHIR WAMAA HIM BIMUUMININ"

Na katika watu,wako wasemao tumemuamini mwenyezimungu na siku ya mwisho wala wao si wenye kuamini baqra 2:8

Imani yako haba unashindwa kuonyesha muhamad nani alikuwa anamfundisha wakati yeye hakujua kusoma wala kuandika

Mtu hajui kusoma wala kuandika anawezaje kushikilia akili zako wewe mpaka unakubali hizo Hallucination na delusion?



Huyo unayesema hakujua kusoma na kuandika kashika akili yako pia ndiyo maana umenukuu maneno aliyopewa na Mungu ( 2:3).

Nabii Muhammad (saw) hakuhitaji kujua kusoma na kuandika kwa sababu alikuwa GENIOUS. kusoma na kuandika kunatufaa mimi na wewe ili tupate kuelewa ufunuo aliofunuliwa na Mungu.

Na isitoshe yeye kuwa "illiterate" ni fundisho kuwa Literacy siyo Elimu bali ni moja ya njia ya kupata elimu kwa watu tuliokuwa wengi wenye "average mind".

Jambo jingine kama angalikuwa anajua kusoma na kuandika watu wasingekubali kwamba Qur'an ni ufunuo alioshushiwa na Mungu, kwa sababu licha ya yeye kuwa illiterate bado watu wabaya wanamshutumu kuwa amenukuu baadhi ya maandiko ya vitabu vya kale.
 
Umesema uislam siujui basi mm naujua

Mal Islam? Nini uislam?

Huwa diinu lladhi baatha llahu bihii sayidunaa muhamad LIJAMII NNASI "uislam ni dini ambayo allah mempa muhamad kwa watu "

Mal quraan? nini quran?

Jibu DHALIKAL KITAAB LARAY IBA FI HUDALIL MUTAQIIN

Sasa sijui mwenzangu huo uislam wako unaojifanya wewe unaujua peke yako na wengine wasiujue umeupata wapi? au huo uislam unaujua ww umetoka sayari ya mars au Jupiter


Sijafunuliwa yajayo ila nilijua tu lazima hapa utafika.

Hizo ni nukuu ambazo kwazo mtu yeyote anaweza kuzileta,Uislamu hauishii katika nukuu wala kuwa na maalumati mengi kichwani ndio ukasemwa unaujua uislamu,la hasha !

Uislamu katika ile misingi mitatu kwanza elimu ujifunze kisha ufanyie kazi yale unayojifunza kwayo.


Kwahiyo usizuzuke na nukuu bro,bado uislamu huujui,kwa sababu huutendei kazi uislamu halikadhalika huusomi.

Nikikuzindua kwa mambo kadha wa kadha huko nyuma,mathalani suala la kuandika aya na hadithi kwa kwa maneno yasiyo ya asili na nikakuweka wazi ya kuwa kufanya hivyo unaleta maana isiyo kuwa yenyewe na inakupelekea kupata madhambi,jambo hili unalifanya na unaendelea kulifanya.

Na kuna mambo kadhaa mengi naweza kuyahudhurisha hapa kuonyesha ujinga wako juu ya Uislamu na watu wake.

Mwenye kuujua Uislamu hawezi kumdhihaki Allah,mtume wake na kitabu chake.

Kadhalika katika kiarabu hakuna "Mal quraan ?" wala "Mal Islam ?"

Sasa tunapowaambia msome mzee huwa hatuwadhulumu wala kuwaonea donge bali tunawaonea huruma na mjue tuna wapenda.

Soma hapa chini kisha uniambie hayo uliyo yaandika ndio haya ?

ما هو الإسلام ؟,ما هو القرآن؟

Sasa huu ujanja ujanja na ujinga ujinga muache. Wewe na wenzako mnatakiwa kufundishwa wala si kujadiliana na sisi.

Nipo.........
 
Umesema uislam siujui basi mm naujua

Mal Islam? Nini uislam?

Huwa diinu lladhi baatha llahu bihii sayidunaa muhamad LIJAMII NNASI "uislam ni dini ambayo allah mempa muhamad kwa watu "

Mal quraan? nini quran?

Jibu DHALIKAL KITAAB LARAY IBA FI HUDALIL MUTAQIIN

Sasa sijui mwenzangu huo uislam wako unaojifanya wewe unaujua peke yako na wengine wasiujue umeupata wapi? au huo uislam unaujua ww umetoka sayari ya mars au Jupiter
Na sijasema naujua peke yangu sababu mimi mwenyewe sijazaliwa naujua uislamu,bali nimekaa chini nikasomeshwa na yule aliyenisomesha mimi amesomeshwa mpaka hukoo......


Sasa muwe mnafikiri kabla ya kuandika,na sikufichi bro ukiendelea kujadiliana na mimi lazima uumbuke kwa kudhihiri ujinga wako.

Nipo.....
 
Naam ya akhy zurri

Nimesoma risatul nabawiya yote

Nimejifunza kusoma Quran fi tajweed na tarteel

Nimehifadhi juzuu ya Amma yote na juzuu ya tabaraka yote

Nimehifadhi Yasiin yote na naweza kusoma msahafu wote kwa kuangalia

Kwa hilo mimi ni mbora yawezekana wewe yasiin moyo wa Quran hujahifadhi yote

Naam muhamad anasema embu msikilize

"Na imepokewa kwa uthman bin affan radhwiya llahu aanhu kuwa mtume wa Allah amesema mbora wenu ni Yule aliyesoma quran na kuifundisha hadithii hii imepokelewa na Al-bukhary Abuu dawuud na tirmidhy

Sasa kama nimesoma quran nakufundisha basi mm mbora
Unamfundisha nani bro ? Nimeshakujibu hili tayari.

Katika kusoma huwa kuna malengo,unaweza kusoma ili uje kupotosha ulichokisoma na kinyume chake.

Lakini ukweli uko pale unaweza ukasoma na usifaidike na kile ulichokisoma mzee.

Elimu ina mapito mengi na changamoto nyingi mno.

Ndio maana naendelea kusisitiza unatakiwa usome uelewe na utakase nia yako.

Nasema hivi wewe Uislamu huujui.

Elimu ina maajab yake bro...na ina watu wake kadhalika.
 
Huyo unayesema hakujua kusoma na kuandika kashika akili yako pia ndiyo maana umenukuu maneno aliyopewa na Mungu ( 2:3).

Nabii Muhammad (saw) hakuhitaji kujua kusoma na kuandika kwa sababu alikuwa GENIOUS. kusoma na kuandika kunatufaa mimi na wewe ili tupate kuelewa ufunuo aliofunuliwa na Mungu.

Na isitoshe yeye kuwa "illiterate" ni fundisho kuwa Literacy siyo Elimu bali ni moja ya njia ya kupata elimu kwa watu tuliokuwa wengi wenye "average mind".

Jambo jingine kama angalikuwa anajua kusoma na kuandika watu wasingekubali kwamba Qur'an ni ufunuo alioshushiwa na Mungu, kwa sababu licha ya yeye kuwa illiterate bado watu wabaya wanamshutumu kuwa amenukuu baadhi ya maandiko ya vitabu vya kale.
Hawa wanatupotezea muda bro !
 
Unamfundisha nani bro ? Nimeshakujibu hili tayari.

Katika kusoma huwa kuna malengo,unaweza kusoma ili uje kupotosha ulichokisoma na kinyume chake.

Lakini ukweli uko pale unaweza ukasoma na usifaidike na kile ulichokisoma mzee.

Elimu ina mapito mengi na changamoto nyingi mno.

Ndio maana naendelea kusisitiza unatakiwa usome uelewe na utakase nia yako.

Nasema hivi wewe Uislamu huujui.

Elimu ina maajab yake bro...na ina watu wake kadhalika.


Umehifadhi juzuu ngapi
 
Na sijasema naujua peke yangu sababu mimi mwenyewe sijazaliwa naujua uislamu,bali nimekaa chini nikasomeshwa na yule aliyenisomesha mimi amesomeshwa mpaka hukoo......


Sasa muwe mnafikiri kabla ya kuandika,na sikufichi bro ukiendelea kujadiliana na mimi lazima uumbuke kwa kudhihiri ujinga wako.

Nipo.....


Umesoma historia uislam umefikaje mpaka ukakufikia wewe?
 
Huyo unayesema hakujua kusoma na kuandika kashika akili yako pia ndiyo maana umenukuu maneno aliyopewa na Mungu ( 2:3).

Nabii Muhammad (saw) hakuhitaji kujua kusoma na kuandika kwa sababu alikuwa GENIOUS. kusoma na kuandika kunatufaa mimi na wewe ili tupate kuelewa ufunuo aliofunuliwa na Mungu.

Na isitoshe yeye kuwa "illiterate" ni fundisho kuwa Literacy siyo Elimu bali ni moja ya njia ya kupata elimu kwa watu tuliokuwa wengi wenye "average mind".

Jambo jingine kama angalikuwa anajua kusoma na kuandika watu wasingekubali kwamba Qur'an ni ufunuo alioshushiwa na Mungu, kwa sababu licha ya yeye kuwa illiterate bado watu wabaya wanamshutumu kuwa amenukuu baadhi ya maandiko ya vitabu vya kale.

UJINGA NI HALI INAYOMPATA MTU ALIYEKOSA ELIMU

Hata siku moja hawawezi kuwa sawa watu waliosoma na wasiosoma unalijua hilo?

"QUL HAL YASTAW LLADHIYINA YALAAMUUNA WALLADHIYINA LAA YAALAMUUN"

Sema je wanaweza kuwa sawa wale wenye elimu na wasiokuwa na elimu? quran Surat zumar aya 9

Hapo mungu wa qurani anauliza swali na mimi namjibu hawawezi kuwa sawa

Muhamad hakusoma wala hakujua kuandika kwa maneno mengine hakuwa na elimu

Hivyo kitendo cha muhamad kukosa elimu kinaonyesha wazi kuwa quran yeye alikuwa anasimuliwa kutoka kwa mtu fulani

Je ni watu gani waliokuwa wanamsimulia na kumfundisha hiyo quran?
 
UJINGA NI HALI INAYOMPATA MTU ALIYEKOSA ELIMU

Hata siku moja hawawezi kuwa sawa watu waliosoma na wasiosoma unalijua hilo?

"QUL HAL YASTAW LLADHIYINA YALAAMUUNA WALLADHIYINA LAA YAALAMUUN"

Sema je wanaweza kuwa sawa wale wenye elimu na wasiokuwa na elimu? quran Surat zumar aya 9

Hapo mungu wa qurani anauliza swali na mimi namjibu hawawezi kuwa sawa

Muhamad hakusoma wala hakujua kuandika kwa maneno mengine hakuwa na elimu

Hivyo kitendo cha muhamad kukosa elimu kinaonyesha wazi kuwa quran yeye alikuwa anasimuliwa kutoka kwa mtu fulani

Je ni watu gani waliokuwa wanamsimulia na kumfundisha hiyo quran?



Wew unaelewa unachoongea??.


---هل يستوي الذين يعلمون و الذين لا تعلمون?

Je, wako sawa wale wenye ELIMU na wale wasiokuwa na ELIMU?

👆🏻Mtukufu mtume (saw) alikuwa anayo ELIMU, na ndiyo maana hata wewe unakuu aya za Qur'an alizofunuliwa na Allah, asingekuwa na Elimu wewe usingenukuu hizo aya.


أمي يعني لا يقرأ و لا يكتب

Ummi, yaani asiyejua kusima na kuandika tu.

Illiteracy is quiet different from being educated, illiteracy has got to do with reading and writting only but education has got to do with knowledge, a knowledge which can be acquired from any sources or inherently from one self, the so called talent.
 
Back
Top Bottom