Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,905
- 31,687
Kila mtu anazaliwa akiwa hajui kitu/mjinga.Ikiwa watu wanazaliwa wakiwa wajinga, kosa ni la nani? Muumbaji, siyo? Kwa hivyo yeye ndiye atakuwa na ujinga kwa kushindwa kutumia uwezo wake kuumba watu werevu. Simple logic.
Mazingira tunayoishi ,vyakula tunavyokula na elimu tunayoipata ndizo zinatufanya tujue vitu mbalimbali/tuondoe ujinga.