Matulanya Mputa
Senior Member
- Aug 14, 2023
- 105
- 203
Kwanza kabisa tuipe pole familia ya mzee Lowasa kwa kuondokewa na kipenzi chao, pia pole kwa wa Tanzania kuondokewa na waziri mkuu mstafu.
Makonda nakuita mara tatu, bado nitasema mimi ni shemeji yako, licha ya ushemeji kesho unakuja nyumbani mkoa wa Mtwara.
Nitakukaangia korosho ambazo moja utaulizwa kuhusu bei yake, najua jibu utakuwa huna,utasingizia soko la dunia.
Chama chetu cha mapinduzi ni chama kikongwe lakini chama chetu iki kimeshindwa kuwasaidia au kutusaidia sisi wakulima wa korosho.
Alipokuja chief Hangaya mwaka jana alipoulizwa swali kuhusu bei ya korosho akasema "ZAO LA KOROSHO LINA MTU KATI WENGI".
Binafsi nikatafakari sana hadi alipoondoka watu wakasema kwahiyo raisi ameshindwa waondoa mtu kati hawa.
Nikatumia muda mwingi kutafakari mtu kati ni akina nani, nikakosa majibu,lakini badae nikatembea vijiweni na mikoroshoni nikasikia, kuwa hao ni madalali.
Nikauriza madalali hao wakina nani, akanidokeza mzee mmoja akataja team msoga nikashtuka,mara katelephone.
Sasa Makonda kesho nataka uoneshe waziwazi na utamke waziwazi watu ambao wanahujumu wakulima wa korosho, hakika ukifanya hivyo CCM 2025 uku mtazoa kura.
Manake chief Hangaya, hawezi au ameshindwa kugusa hao watu kati ambao madalali..
Alafu cha ajabu madalali hao ni watu wa uku kusini tena wapo kwenye maamuzi japo wengine walistafu lakini wanaendelea na udalali.
Ni mimi mtoto wa MWENYE MATULANYA MPUTA
MBUNGE WA LULINDI 2025
Email:maggierozaria@gmail.com
Makonda nakuita mara tatu, bado nitasema mimi ni shemeji yako, licha ya ushemeji kesho unakuja nyumbani mkoa wa Mtwara.
Nitakukaangia korosho ambazo moja utaulizwa kuhusu bei yake, najua jibu utakuwa huna,utasingizia soko la dunia.
Chama chetu cha mapinduzi ni chama kikongwe lakini chama chetu iki kimeshindwa kuwasaidia au kutusaidia sisi wakulima wa korosho.
Alipokuja chief Hangaya mwaka jana alipoulizwa swali kuhusu bei ya korosho akasema "ZAO LA KOROSHO LINA MTU KATI WENGI".
Binafsi nikatafakari sana hadi alipoondoka watu wakasema kwahiyo raisi ameshindwa waondoa mtu kati hawa.
Nikatumia muda mwingi kutafakari mtu kati ni akina nani, nikakosa majibu,lakini badae nikatembea vijiweni na mikoroshoni nikasikia, kuwa hao ni madalali.
Nikauriza madalali hao wakina nani, akanidokeza mzee mmoja akataja team msoga nikashtuka,mara katelephone.
Sasa Makonda kesho nataka uoneshe waziwazi na utamke waziwazi watu ambao wanahujumu wakulima wa korosho, hakika ukifanya hivyo CCM 2025 uku mtazoa kura.
Manake chief Hangaya, hawezi au ameshindwa kugusa hao watu kati ambao madalali..
Alafu cha ajabu madalali hao ni watu wa uku kusini tena wapo kwenye maamuzi japo wengine walistafu lakini wanaendelea na udalali.
Ni mimi mtoto wa MWENYE MATULANYA MPUTA
MBUNGE WA LULINDI 2025
Email:maggierozaria@gmail.com