Makonda bhana! Kwa hiyo Gambo alikuwa CHADEMA wakati wewe ukiwa mkuu wa mkoa kutokea ACT?

Makonda bhana! Kwa hiyo Gambo alikuwa CHADEMA wakati wewe ukiwa mkuu wa mkoa kutokea ACT?

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,937
Reaction score
10,815
Unatuletea siasa uchwara Kanda ya Kasikazini utachinjwa mchana kweupe we endelea na magonjwa yako badala ufanye kazi unaanza siasa mfu heti Maendeleo yalichelewa kisa upinzani, kwani Hela ni Mali ya CCM?

Mnaturudisha kwenye siasa za kishamba kwa manufaa ya nani?

Umepewa bilioni mbili kawakopeshe wachekeshaji wenzako
 
Unatuletea siasa uchwara Kanda ya kasikazini utachinjwa mchana kweupe we endelea na mangonjwra Yako Badala ufanye KAZI unaanza siasa mfu heti Maendeleo yalicheleea kisa upinzani kwani Hela ni Mali ya ccm?
Mnaturudisha kwenye siasa za kishamba kwa manufaa ya nani?

Umepewa bilioni mbili kawakopeshe wachekeshaji wenzako
Makonda asituletee usanii uchwara. Atuambie zile stronghold za cc ikiwemo kolomije, huko lindi, mtwara, lupatingstinga,misenyi, tanga etc kwanini zina umasikini mkubwa.
 
Unatuletea siasa uchwara Kanda ya kasikazini utachinjwa mchana kweupe we endelea na mangonjwra Yako Badala ufanye KAZI unaanza siasa mfu heti Maendeleo yalicheleea kisa upinzani kwani Hela ni Mali ya CCM?

Mnaturudisha kwenye siasa za kishamba kwa manufaa ya nani?

Umepewa bilioni mbili kawakopeshe wachekeshaji wenzako
Ndiyo maana mzee six alimzagamua huyu nyamitako, kanyimwa akili kapewa makalio makubwaaa
Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
Screenshot_20240716_193908_Google.jpg
 
Back
Top Bottom