Make Tanzania Great Again (MATAGA)

Make Tanzania Great Again (MATAGA)

Viongozi waliopita walikuwa chama kipi na hatua zipi zimechukuliwa ili uozo huo usirudiwe? Post namba ngapi ?
Sheria zinawalinda kwani aliyepo humfahamu mbona muda mrefu angekuwa ashapindua meza kitambo sana
 
KUNA WAKATI MTOTO UNALILIA KUNUNULIWA KIATU CHA BORA SHOES CO
 
Ahaaa! Kwa hiyo mwisho umekiri kuwa kuna kulindana kwenye maovu... na watendao unawafahamu!!!
Akili huwa mnaziwekaga wapi nyie vichwa maji nimekuandikia kabisa "Sheria" sijui unaelewa...idiot rudi tena shule
 
Akili huwa mnaziwekaga wapi nyie vichwa maji nimekuandikia kabisa "Sheria" sijui unaelewa...idiot rudi tena shule
Mbona unapagawa mapema na muda bado mpendwa au kuhemkwa ndio jadi yenu?
Awamu hii mangapi yanafanywa bila kufuata katiba wala sheria ni kujitoa akili au unajisahaulisha?
 
Mbona unapagawa mapema na muda bado mpendwa au kuhemkwa ndio jadi yenu?
Awamu hii mangapi yanafanywa bila kufuata katiba wala sheria ni kujitoa akili au unajisahaulisha?
Hayo maneno yenu wapinzani lakin huku kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa
 
Hayo maneno yenu wapinzani lakin huku kila kitu kinaenda kama kilivyopangwa
Kabisa aisee!!! Tunaona namna pamba na korosho zilivyolipa huku ajira za wahitimu vyuo zilivyo nje nje pia sukari ilishashuka toka 5000 hadi 1300 kama mlivyosema... mambo bambam.
mataga
 
Salaam wananzengo

Kuuliza sio ujinga ,muda mrefu nimekua nikiliona hili neno MATAGA na linatumika hasa kuwasema watu wa CCM

Naomba nami mnijuze kirefu cha hili neno na lina maana gani

Mucho gracias
 
Ngoja tuwasubiri, ila nadhani huenda ni kama password yao hawa upinzani Kusema jambo fulani hasa la serikali,

Sasa hivi upinzani upo ila upo ule wa kivuli(mficho) na wa wazi, ndio maana masoud kipanya moja ya kibonzo chake kinaonesha mtu aliyevaa bukta ya kijani anapigana na kivuli.....
 
Make Tanzania Great Again. Yani Tanzania huko kabla ilikuwa ya hovyo ikiongozwa na watu wa hovyo, sasa ni wakati wa kuirudisha Tanzania yenye sifa.

Wamekopi kutoka kwa msemo wa Rais Trump MAGA ( Make America Grear Again). Sijui kwanini hawakutumia kiswahili kuenzi lugha ya Taifa kama inavyosisitizwa na awamu ya 5
 
Mataga ni wale vijana wenye njaa ya hela na chakula wanaolipwa kwa kumsifia Magufuli hata kwa mambo ya kibwege , ni vijana wenye maisha duni waliookotwa uvccm kwa ajili ya kutumika , sababu kubwa ya kutumika kwao ni dhiki ya elimu na uchumi , wako kama misukule inayotumwa kuloga watu ili kumridhisha anayewakirimu pesa ndogo na chakula , kiongozi wa kundi hili anaitwa Musiba
 
Na Nyumbu Je?
Mataga ni wale vijana wenye njaa ya hela na chakula wanaolipwa kwa kumsifia Magufuli hata kwa mambo ya kibwege , ni vijana wenye maisha duni waliookotwa uvccm kwa ajili ya kutumika , sababu kubwa ya kutumika kwao ni dhiki ya elimu na uchumi , wako kama misukule inayotumwa kuloga watu ili kumridhisha anayewakirimu pesa ndogo na chakula , kiongozi wa kundi hili anaitwa Musiba
 
Mataga ni wale vijana wenye njaa ya hela na chakula wanaolipwa kwa kumsifia Magufuli hata kwa mambo ya kibwege , ni vijana wenye maisha duni waliookotwa uvccm kwa ajili ya kutumika , sababu kubwa ya kutumika kwao ni dhiki ya elimu na uchumi , wako kama misukule inayotumwa kuloga watu ili kumridhisha anayewakirimu pesa ndogo na chakula , kiongozi wa kundi hili anaitwa Musiba
Utupe na kirefu chake kamanda, maana hata nyie taarifa zenu tunazo katika faili la Nyumbu!
 
Back
Top Bottom