Vunjeni kwanza kundi lenu la wasio julikana linalo uwa,teka, piga risasi,jeruruhi na kupoteza watu, mengine yata jipa.
Kama wajinga wapya na masikini wanazaliwa je?Tunatimiza miaka 57 toka tupate uhuru ila maadui wakuu UJINGA,UMASIKINI na MARADHI hatujaweza kuwaondoa alafu wewe unakuja na porojo za kipumbavu,nani amekuroga?
Mradi wa mabasi ya mwendo kasi wameshindwa kabisaa kuendeshaWatanzania wanatembea mwendo wa Kunyakua nyakua, wakiogopa kwenda mbio watanyakuliwa
- Traffic wananyakua
-TRA wananyakua
Hakuna kuuza Mahindi Kenya
Shillingi imedorora thamani
Watalii wamepungua hadi 3% per Year (2016/2017)
Watalii walikuwa growth rate ni 15% per year (2012 -2015)
Labda ni great kweli kwenye chinja chinjaUlitaka kusemaje Mkuu?
Hapa napo ulitaka kusemaje?Labda ni great kweli kwenye chinja chinja
Labda ni great kweli kwenye chinja chinja