kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
Hamkawii kuzidai mrudishiwe sera zenu mkiona zinatumika!
Ndio nini ?MATAGA yaweza pia kuwa MAKE TANZANIA GNASH AGAIN
Na sasa inarudi kwenye nafasi yake and beyond ! WE CAN, WE MUST, WE WILL !!!Nchi ilikuwa na viwanda!
Nchi ilikuwa inasaidia ukombozi wa nchi nyingine
Nchi iliwahi kuingia mashindano ya afrika
Nchi ilikuwa na ndege zake
Kwa ufupi nchi ilifikia mahala pazuri sana katika kujitegemea lakini ikarudi nyuma.
Ni katika kipindi kipi ilirudi Nyuma.?Nchi ilikuwa na viwanda!
Nchi ilikuwa inasaidia ukombozi wa nchi nyingine
Nchi iliwahi kuingia mashindano ya afrika
Nchi ilikuwa na ndege zake
Kwa ufupi nchi ilifikia mahala pazuri sana katika kujitegemea lakini ikarudi nyuma.
Nani aliyeirudisha nyuma?Nchi ilikuwa na viwanda!
Nchi ilikuwa inasaidia ukombozi wa nchi nyingine
Nchi iliwahi kuingia mashindano ya afrika
Nchi ilikuwa na ndege zake
Kwa ufupi nchi ilifikia mahala pazuri sana katika kujitegemea lakini ikarudi nyuma.
Ilirudi nyuma kwa hisani ya wana Lumumba, ambao leo hii wanajiita wazalendo, SHAMENchi ilikuwa na viwanda!
Nchi ilikuwa inasaidia ukombozi wa nchi nyingine
Nchi iliwahi kuingia mashindano ya afrika
Nchi ilikuwa na ndege zake
Kwa ufupi nchi ilifikia mahala pazuri sana katika kujitegemea lakini ikarudi nyuma.
Wakati ikirudi nyuma no chama gani kilisababisha kurudi nyumaNchi ilikuwa na viwanda!
Nchi ilikuwa inasaidia ukombozi wa nchi nyingine
Nchi iliwahi kuingia mashindano ya afrika
Nchi ilikuwa na ndege zake
Kwa ufupi nchi ilifikia mahala pazuri sana katika kujitegemea lakini ikarudi nyuma.
Sasa mbona unabomoa tena?Labda ni great kweli kwenye chinja chinja
Nchi ilikuwa na viwanda!
Nchi ilikuwa inasaidia ukombozi wa nchi nyingine
Nchi iliwahi kuingia mashindano ya afrika
Nchi ilikuwa na ndege zake
Kwa ufupi nchi ilifikia mahala pazuri sana katika kujitegemea lakini ikarudi nyuma.
TrueNchi ilikuwa na viwanda!
Nchi ilikuwa inasaidia ukombozi wa nchi nyingine
Nchi iliwahi kuingia mashindano ya afrika
Nchi ilikuwa na ndege zake
Kwa ufupi nchi ilifikia mahala pazuri sana katika kujitegemea lakini ikarudi nyuma.
Jiongeze kijana mdogo walahiBila Shaka Watawala wa Hicho kipindi walikuwa CHADEMA , haya Machadema yanahitaji kupingwa na kila mtu aliye Mzalendo maana ndio waliotufikisha hapa tulipo.
Labda nikuambie ukweli unaouma kidogo. Elimu ndio msingi wa kila kitu, bahati mbaya wewe MSAGA SUMU huna zaidi ya ujanja ujanja wa mjini, hivyo mijadala ya kuhitaji kufikirisha akili wewe unaingia off point kabisa na kujifedhehesha.Tusisahau chadema waliwahi kuwa na UKUTA as if chama chenu kimewahi kuwa na demokrasia