Singleness is Greatness?

Singleness is Greatness?

Chadema 2030

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,851
Reaction score
3,560
Ndoa, mahusiano ni utapel mkubwa sana.kiukweli hamna ndoa hamna mapenzi ni kupotezeana mda.
Singleness ndio maisha halisi yenye nguvu.ukwel huwez pendwa unapendwa na ulichonacho.

Love doesn`t exist and it will never exist.but singleness is greatness and it will always exist. kataa ndoa,mahusiano n utapel mkubwa.
 
nakazia jipende mwenyewe na mungu wako na wazazi wako
 
its true...kataaa NDOA not mahusiano

Pendwa
Penda

Zaa/Ongezekeni ila NDOA usiji mix utaja piga ukunga asitokee wakukupa pole.
 
Ngoja ufikie miaka 60 uanze kusumbua wadada eti ndio uoe, utanyooshwa kisawa sawa
22ad1822f42bbd6e5d30014d9f5f0266.jpg
 
ndio kabla nilale na tenga masaa mawili ya kunyetuka vibaya lazima nipige tripu kumi mara 3 kwa siku jumla 30
Uumbaji wa Mwenyezi Mungu uko na maajabu yake sana. Utakaa weeeeeeeee lakini itafika wakati utaugulia maumivu ya kukosa kuwa na mwenza (patina) wako.

Sema kuchapana matukio kunaumiza sana nafsi
 
Back
Top Bottom