Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,644
- 218,096
unacho kirefu cha nyumbu ?Utupe na kirefu chake kamanda, maana hata nyie taarifa zenu tunazo katika faili la Nyumbu!
unacho kirefu cha nyumbu ?Utupe na kirefu chake kamanda, maana hata nyie taarifa zenu tunazo katika faili la Nyumbu!
Kama Bashite aliTAGA 0, haya mengine ni Ma Zero!! Yanayo Taga!Majitu Taahira Government Agents
Kirefu Cha nyumbu ni twigaunacho kirefu cha nyumbu ?
Mimi ni MATAGA ila Nina nyumba tatu, viwanja 3, mbuzi 50, ekari 20 za miti gari 1 na bando Nina GB 20 sijawahi kula hela CCM walakupokea hela kutoka kwa magufuli ili nimsifie usikaririshwe na hao wanaokutuma ukadhani wote wanaomsifia magufuli wananjaa kama ulizonazo acheni kuwaza ujinga fanyeni kazi. Na bado nasema hivi MATAGAMataga ni wale vijana wenye njaa ya hela na chakula wanaolipwa kwa kumsifia Magufuli hata kwa mambo ya kibwege , ni vijana wenye maisha duni waliookotwa uvccm kwa ajili ya kutumika , sababu kubwa ya kutumika kwao ni dhiki ya elimu na uchumi , wako kama misukule inayotumwa kuloga watu ili kumridhisha anayewakirimu pesa ndogo na chakula , kiongozi wa kundi hili anaitwa Musiba
MATAGAKirefu Cha nyumbu ni twiga
Tatizo ni kutokujua lugha ya malkia, kama huko nyuma ilikuwa ya hovyo neno again lina maana gani? Ushamba ni mzigo kuanzia juu mpaka xhiniMake Tanzania Great Again. Yani Tanzania huko kabla ilikuwa ya hovyo ikiongozwa na watu wa hovyo, sasa ni wakati wa kuirudisha Tanzania yenye sifa.
Wamekopi kutoka kwa msemo wa Rais Trump MAGA ( Make America Grear Again). Sijui kwanini hawakutumia kiswahili kuenzi lugha ya Taifa kama inavyosisitizwa na awamu ya 5
Ni vigumu sana kutenganisha MATAGA na njaa ya kisurisuriMimi ni MATAGA ila Nina nyumba tatu, viwanja 3, mbuzi 50, ekari 20 za miti gari 1 na bando Nina GB 20 sijawahi kula hela CCM walakupokea hela kutoka kwa magufuli ili nimsifie usikaririshwe na hao wanaokutuma ukadhani wote wanaomsifia magufuli wananjaa kama ulizonazo acheni kuwaza ujinga fanyeni kazi. Na bado nasema hivi MATAGA
Wewe ndo mjinga ulivevunja rekodi jamiiforum 2019/20.unafikiri unaweza kufanya kazi ktk nchi yenye Sera za ovyo kama hii???Mimi ni MATAGA ila Nina nyumba tatu, viwanja 3, mbuzi 50, ekari 20 za miti gari 1 na bando Nina GB 20 sijawahi kula hela CCM walakupokea hela kutoka kwa magufuli ili nimsifie usikaririshwe na hao wanaokutuma ukadhani wote wanaomsifia magufuli wananjaa kama ulizonazo acheni kuwaza ujinga fanyeni kazi. Na bado nasema hivi MATAGA
Make Tanzania Great Again. Yani Tanzania huko kabla ilikuwa ya hovyo ikiongozwa na watu wa hovyo, sasa ni wakati wa kuirudisha Tanzania yenye sifa.
Wamekopi kutoka kwa msemo wa Rais Trump MAGA ( Make America Grear Again). Sijui kwanini hawakutumia kiswahili kuenzi lugha ya Taifa kama inavyosisitizwa na awamu ya 5
Mtaishia kupiga kelele za njaa zenu na wenzio tunafanya kazi na pesa tunapata kwenye nchi hii hii sasa endelea kupiga kelele Sera za ovyo hata nikikuuliza ni Sera gani hiyo ya hovyo huna majibu. Pole sana kijana Fanya kazi acha keleleWewe ndo mjinga ulivevunja rekodi jamiiforum 2019/20.unafikiri unaweza kufanya kazi ktk nchi yenye Sera za ovyo kama hii???
Kati yangu na wewe nani mwenye njaa ndeleeni kupiga kelele sisi tunapeta na CCM mbele kwa mbele na Magufuli mbele kwa mbeleNi vigumu sana kutenganisha MATAGA na njaa ya kisurisuri