MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,693
- 21,765
nimepokea maoni yako,muda bado ninaoLabda nikuambie ukweli unaouma kidogo. Elimu ndio msingi wa kila kitu, bahati mbaya wewe MSAGA SUMU huna zaidi ya ujanja ujanja wa mjini, hivyo mijadala ya kuhitaji kufikirisha akili wewe unaingia off point kabisa na kujifedhehesha.
Hujachelewa waweza kujiendeleza. Ni maoni tuu waweza kuyafata au kuacha.