Make Tanzania Great Again (MATAGA)

Make Tanzania Great Again (MATAGA)

Labda nikuambie ukweli unaouma kidogo. Elimu ndio msingi wa kila kitu, bahati mbaya wewe MSAGA SUMU huna zaidi ya ujanja ujanja wa mjini, hivyo mijadala ya kuhitaji kufikirisha akili wewe unaingia off point kabisa na kujifedhehesha.
Hujachelewa waweza kujiendeleza. Ni maoni tuu waweza kuyafata au kuacha.
nimepokea maoni yako,muda bado ninao
 
Nchi ilikuwa na viwanda!
Nchi ilikuwa inasaidia ukombozi wa nchi nyingine
Nchi iliwahi kuingia mashindano ya afrika
Nchi ilikuwa na ndege zake

Kwa ufupi nchi ilifikia mahala pazuri sana katika kujitegemea lakini ikarudi nyuma.
Ukumbuke wakati huo hivyo unavyosema vilikua vinamilikiwa na wahindi , wazungu na waarabu. Serikali ikavitaifisha. Havikutokana na juhudi za zetu kama waafrika na viongozi wetu.
Tulishindwa mana tulibweteka na kuimba nyimbo za ushindi wa mezani.

Awamu ya tatu na ya NNE imefanya kazi kubwa sana kuinua uchumi wa nchi na wa watu mmoja mmoja.

Tunasubiri awamu ya Tano itupeleke mbele zaidi kwa kuinua zaidi uchumi wa nchi na wa watu.
Hatutapenda kuona uchumi ukiwa kilema .Yaani wananchi wanabaki dhoofu ilhali huku takwimu zikituonyesha pato la serikali likipaa. Hapo itadhihirisha wazi kuwa wanaonufaika ni wachache hasa wenye madaraka na wanasiasa.

Mleta mada ametoa pendekezo lake bila kuonyesha njia ya kwenda huko anakotaka.
 
Nchi ilikuwa na viwanda!
Nchi ilikuwa inasaidia ukombozi wa nchi nyingine
Nchi iliwahi kuingia mashindano ya afrika
Nchi ilikuwa na ndege zake

Kwa ufupi nchi ilifikia mahala pazuri sana katika kujitegemea lakini ikarudi nyuma.
Ni kipi kiliirudisha nyuma mkuu
 
Kwani lini Tanzania ilikuwa great l?acheni kutukana nchi yetu jamani
 
Wakubwa shikamooni

Awali yeyote naomba kuwapa pole watanzania wenzangu kwa msiba mzito wa Taifa kwa kuondokewa na mamia ya watu kwa vifo vilivyosababishwa na mchomoa Betri.

Nilipotea takribani miezi kadhaa kwani nilikuwa chimbo kwa msuli wa siasa.

Napenda kuwafahamisha sasa nitakuwa rasmi Msimamizi wa wawasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za mitaa hapo baadae.

Sasa kilichonileta hapa kwenu Jamvini ni kutaka kuuliza mwenye kujua maana halisi ya neno tajwa hapo juu kama unalifahamu na maana yake ni nini? (Ufasaha).

Kwani limekuwa likinipa shida sana kwa watumiaji hawa wawili 1. Shangazi Fatuma & @KIGOGO2013.

Kwani ningeliwauliza hawa watu ila wameniblock kabisaaaaa...

Pia nimejaribu Kugoogle nako holaa sijapata maana yake halisi, naombeni kuwasilisha kwenu mwenye majibu sahihi nitamtumia na vocha.

#Kiben10
Screenshot_20190828-233146_Twitter-01.jpeg
 
MATAGA means Make Tanzania Great Again, Hawa mataga ni muunganiko wa vijana wa UVCCM

Hawa popote ukianzisha mada kutoa ushauri pindi pale mkubwa wa nchi anapokosea basi watakuvaa kwa matusi na kejeli ili kupoteza lengo la mada husika.

Wao wanachojua ni kusimu, hata kama mkubwa kakosea wao ni kulamba miguu kwa kwenda mbele hawajui kupinga hata pale mkubwa wao akikosea.
 
Hata uliyemweka kwenye picha ameona aibu yaani umekopi maneno yaliyotumika huko marekani kama yalivyo chaldsh
 
True
Bado halija aribika jambo na kikubwa zaidi ya yote tuna AMANI YETU!
Kubirudisha hivyo viwanda ni lazima vitaridi tu tena ka kasi kubwa walahi
Nchi yetu hatuna haja ya kushindana na nchi yeyote duniani, bali kila kitu kita unfold itself walahi!
SERENDIPITY!
Aribika... Kubirudisha... vitaridi... ti... walahi...
Hivi huwa mnakimbizwa na nini? Mnashindwa nini kutulizana?
Ndio tunaambiwa wa la saba mnatosha...
 
Never happened ,tusiige hata vitu visivyo na maana kutoka Marekani.We have never been strong economical .
 
Neo colonialists apologetics will never be happy with " MATAGA". However, the will be ' handled ' as per set standard rules.
 
Back
Top Bottom