Makapuku Forum

Makapuku Forum

617243ade97657e28798f9eb4c5a1d6d.jpg
Nyie fukueni makaburi tu. Mengine yana laana na ukiyafukua hutabaki salama. Mfano inasemekana watu wote waliofukua kaburi la huyu dogo hapa chini wote waliangamia mmoja baada ya mwingine. Mpaka leo wanasayansi wanakuna vichwa kujua hasa ni nini kiliwaua. Na kwa nchi yetu hii makaburi yakifukuliwa, sidhani kama kuna atakayesalimika - si wa kule wala wa huku. Uozooooo!!!
266327f124b92381bff0287134973910.jpg
 
Nyie fukueni makaburi tu. Mengine yana laana na ukiyafukua hutabaki salama. Mfano inasemekana watu wote waliofukua kaburi la huyu dogo hapa chini wote waliangamia mmoja baada ya mwingine. Mpaka leo wanasayansi wanakuna vichwa kujua hasa ni nini kiliwaua. Na kwa nchi yetu hii makaburi yakifukuliwa, sidhani kama kuna atakayesalimika - si wa kule wala wa huku. Uozooooo!!!
266327f124b92381bff0287134973910.jpg
Mkuu nina neno na wewe ....una mda tuyajenge apa ??
 
Uwongo! Hebu kula makande usukumizie na maziwa halafu ulale. Nightmares utakazopata si za sayari hii. Utaiona sura ya madenge imekuwa kama jiwe kubwa tena limejaa wadudu wa kila aina linakuja kukugonga halafu hata kujisogeza huwezi japo fahamu unazo. Nightmares mara nyingi ni kulala vibaya, kutopata hewa ya kutosha na kuvimbiwa!
 
Sema nakusikiliza. Nifikishie salamu zangu za pole kwa mkeo. Mungu hatamuacha!
Ebhu potezea kwanza make ukimtaja tu shunie sijui unajisikiajee??

Qnyway back to points

Mm sio muhumini mzuri wa siasa japo wengi wanaamini tunaishi kwenye siasa ..yawezekana mshawahi kuiongelea hili suara lakin sio mbaya tukarudia ??

Nina maswali matatu leo ila naanza one by 1 ...

Unahisi magufuri alistahili kuiongoza Tanzania ??
 
Ebhu potezea kwanza make ukimtaja tu shunie sijui unajisikiajee??

Qnyway back to points

Mm sio muhumini mzuri wa siasa japo wengi wanaamini tunaishi kwenye siasa ..yawezekana mshawahi kuiongelea hili suara lakin sio mbaya tukarudia ??

Nina maswali matatu leo ila naanza one by 1 ...

Unahisi magufuri alistahili kuiongoza Tanzania ??
Mkuu mie mbona sijamtaja Shunie? Kwa heshima kabisa nimesema mkeo. Please jiamini!

Hili ni swali la kinadharia na hakuna jibu la moja kwa moja. Alistahili kivipi? Kiutendaji, kifalsafa, kimtazamo, kimantiki au kivipi? Na kwa nini swali lako lipo katika wakati uliopita? Nijuavyo mimi ni kwamba alifuata taratibu zote baada ya kutimiza vigezo vyote na akachaguliwa na Watanzania wenzake. Pengine ukifafanua unamaanisha nini kwa kuuliza hivi. Je Kikwete alistahili kuiongoza Tanzania? Mkapa je? Mwinyi? Mwalimu? Unaupimaje ustahili? Funguka na vigezo concrete. Na mjadala ukihamia kwenye ushabiki wa kivyama, kikabila, kikanda, kidini.... nitatoka nduki....
 
Mkuu mie mbona sijamtaja Shunie? Kwa heshima kabisa nimesema mkeo. Please jiamini!

Hili ni swali la kinadharia na hakuna jibu la moja kwa moja. Alistahili kivipi? Kiutendaji, kifalsafa, kimtazamo, kimantiki au kivipi? Na kwa nini swali lako lipo katika wakati uliopita? Nijuavyo mimi ni kwamba alifuata taratibu zote baada ya kutimiza vigezo vyote na akachaguliwa na Watanzania wenzake. Pengine ukifafanua unamaanisha nini kwa kuuliza hivi. Je Kikwete alistahili kuiongoza Tanzania? Mkapa je? Mwinyi? Mwalimu? Unaupimaje ustahili? Funguka na vigezo concrete. Na mjadala ukihamia kwenye ushabiki wa kivyama, kikabila, kikanda, kidini.... nitatoka nduki....
Uko makini mkuu ...

Kabla ya yote nyongeza...

Je magufuri anastahili kuiongoza Tanzania ??
 
Uko makini mkuu ...

Kabla ya yote nyongeza...

Je magufuri anastahili kuiongoza Tanzania ??
Jibu langu hapo juu bado linasimama. Bila kuweka vigezo unavyotumia kuupimia ustahili, ni vigumu sana kulijibu swali lako.

Swali hili hili linaulizwa na Wamarekani kumhusu Trump na jibu langu ni lile lile. Trump alifuata taratibu zote na akatimiza vigezo vyote na hatimaye akachaguliwa. Kama hastahili (kwa sababu zo zote zile) basi ni tatizo la mfumo na inabidi ubadilishwe. Swali lako, angalau katika hatua chokonozi za awali, linafaa kuulizwa dhidi ya mtu aliyejitwalia madaraka kwa nguvu.
 
Unaambiwa waroma wanampenda jamaa kupita maelezo..

Alishapewa mkataba wa kuwepo kwenye benchi la ufundi la As Roma lakini jamaa akakataa..

Kakomaa kucheza hadi sasa hivi anafikisha 40 kesho kutwa tuu..

Wengine waamini kuwa Totti ndio mtu influencial huko Roma baada ya Pope..
Hata yeye huwa anasema hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom