NUKUU YA LEO
Winning one league title at Roma to me is worth winning 10 at Juventus or Real Madrid.
Kushinda kombe moja la ligi nikiwa na Roma ni faida kubwa kwangu kuliko kushinda makombe 10 ukiwa na Juventus au Madrid
Haya maneno yalipata kusemwa na mwanasoka wa kimataifa ya Italia na klabu ya As Roma Bw. Francesco Totti. Totti alizaliwa sept. 27. 1976 mjini Roma-Itali
Francesco Totti anayevaa jezi namba 10 amedumu As Roma kwa miaka 24 na kuweka rekodi nyingi kuliko mtu yeyote.
Totti amecheza jumla ya mechi 786 na kufunga magoli na kufunga jumla ya magoli 307.
Juzi jumapili Totti alistaafu Rasmi kucheza soka ngazi ya Club wakati alistaafu team ya Taifa 2007 .
Nimefanya kwa ufupi tuu wakuu..ila week hii nitakuwa naleta matukio na nukuu za Francesco Totti.
Waitaliano wanasema

No Totti, No party