Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Tuko pamojaa ..Jibu langu hapo juu bado linasimama. Bila kiweka vigezo unavyotumia kuupimia ustahili, ni vigumu sana kulijibu swali lako.
Swali hili hili linaulizwa na Wamarekani kumhusu Trump na jibu langu ni lile lile. Trump alifuata taratibu zote na akatimiza vigezo vyote na hatimaye akachaguliwa. Kama hastahili (kwa sababu zo zote zile) basi ni tatizo la mfumo na inabidi ubadilishwe. Swali lako, angalau katika hatua chokonozi za awali, linafaa kuulizwa dhidi ya mtu aliyejitwalia madaraka kwa nguvu.
[/QUOT![]()
Uchochezi huo
Mme mweee mzima ??Hi shemelaaa!
Itakuwa kwa mtogolechoo cha ghorofa![]()
Sana, ndio maana mzigo mwingine kaukabidhi jeshi, ole wako uuandikeMzee wa Chattle kaanza kucheza faulo zamani kumbe.
Me nafikiri atashukuriwa editor cio editing hyo hnyAisee, uhuru atampongeza mchoraji

Mwandishi alishatimuliwa siku nyingi tuHilo limetoka maktaba, na mwandishi huyo kwa sasa yupo Ikulu anaendelea na kazi
Yuko poa anapunga upepo barazani hkoMme mweee mzima ??
Umetisha sana na hongera sana,200K
Umekuwa kama celta vigo[HASHTAG]#199999[/HASHTAG]
[HASHTAG]#200000[/HASHTAG]
Naona umepiga miguu yote
Mwenye bahati habahatiki
Namjua zake huyo kavaa pensii??Yuko poa anapunga upepo barazani hko
Kwa mkataba wa miaka miwiliOngeraa mashabiki wa Arsenal
Makaburi ni shidaNyie fukueni makaburi tu. Mengine yana laana na ukiyafukua hutabaki salama. Mfano inasemekana watu wote waliofukua kaburi la huyu dogo hapa chini wote waliangamia mmoja baada ya mwingine. Mpaka leo wanasayansi wanakuna vichwa kujua hasa ni nini kiliwaua. Na kwa nchi yetu hii makaburi yakifukuliwa, sidhani kama kuna atakayesalimika - si wa kule wala wa huku. Uozooooo!!!![]()
ahahaha hakujua nini kinaendeleaUmetisha sana na hongera sana,
Naona Nyagei hakuelewa kabisa hayo mashambulizi yako
Nawafatilia kwa ukaribuJibu langu hapo juu bado linasimama. Bila kiweka vigezo unavyotumia kuupimia ustahili, ni vigumu sana kulijibu swali lako.
Swali hili hili linaulizwa na Wamarekani kumhusu Trump na jibu langu ni lile lile. Trump alifuata taratibu zote na akatimiza vigezo vyote na hatimaye akachaguliwa. Kama hastahili (kwa sababu zo zote zile) basi ni tatizo la mfumo na inabidi ubadilishwe. Swali lako, angalau katika hatua chokonozi za awali, linafaa kuulizwa dhidi ya mtu aliyejitwalia madaraka kwa nguvu.
Nilikuwa najua sana, sema niliko net inasumbua sanaahahaha hakujua nini kinaendelea
Nyagei ulimpoteza kwa maswaliahahaha hakujua nini kinaendelea