Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,621
hata mm ni T lknNyagei uwe unatofautisha mkuu..
T stands for Transcend only..
Tumosa wa shululu muiteni Hivyo hivyo tuu..
hata mm ni T lknNyagei uwe unatofautisha mkuu..
T stands for Transcend only..
Tumosa wa shululu muiteni Hivyo hivyo tuu..
Salama bwana THello
Habari za muda wakuu
Njema niajde NyageiHabarini za jioni Makapuku
Mkuu T,mambo vipHello
Habari za muda wakuu
Eeeer..
Kila kitu kina faida mwilini hata bangi ila shida ni kutumia kupitiliza
.....
Huyo huyoKeiyaa !
Nko poa shemela,hbr ya uzimaMambo shemu Tumosa
Asante kwa historia mkuu1988 - Rais wa Marekani, Ronald Reagan anatembelea Jamhuri ya Kisoviet ya Urusi na kufanya mazungumzo na Rais Mikhail Gorbachev.
HahahaaaaHuyo huyo
Tuko poa kabisaKwema
Ni ajee aje kipande hiyo?
Niko poaaaLee...
Ni aje mdau?
Njema T wa Sakayo za uzima ubarikiweHello
Habari za muda wakuu
Hapana mtaasisi hii ni ya kibinafsi tu haina uhusiano na bongo filamu....mtaasisi, hili neno location wanalipenda sana bongo movie, na wewe uko kwenye tasnia hiyo? Mnarekodi nini?