Makapuku Forum

Makapuku Forum

TOP TEN
Juzijuzi kuna mwanamke alizua gumzo barani Afrika kutokana na kuwa na watoto 38 wakati ana umri wa miaka 37 tu yaani anafyatua fastafasta kuwazidi hata panya!!
.
Sasa leo tuwaone wengine wenye watoto wengi hapa tunazungumzia zaidi wanawake au ndoa za mume na mke mmoja ila kuna usemi Mama pekee ndiye ajuaye baba halisi wa mtoto
Km kawa wazungu maana waafrika hatuna utamaduni wa kutunza kumbukumbu wala kujitangaza kwenye mitandao hivyo inawezekana huko Musoma wapo wengi tu
Karibuni
......
 
TOP TEN
Juzijuzi kuna mwanamke alizua gumzo barani Afrika kutokana na kuwa na watoto 38 wakati ana umri wa miaka 37 tu yaani anafyatua fastafasta kuwazidi hata panya!!
.
Sasa leo tuwaone wengine wenye watoto wengi hapa tunazungumzia zaidi wanawake au ndoa za mume na mke mmoja ila kuna usemi Mama pekee ndiye ajuaye baba halisi wa mtoto
Km kawa wazungu maana waafrika hatuna utamaduni wa kutunza kumbukumbu wala kujitangaza kwenye mitandao hivyo inawezekana huko Musoma wapo wengi tu
Karibuni
......
Ila na huyo mama kiboko

Twende kazii
 
10/Mary & John Jonas
d0834cf4f0011331e1cdc884079d2bc3.jpg
Nimeitafuta picha ya familia yao sijaipata zaidi ya vielelezo tu
Hawa wakiishi miaka ya 1800 huko
Walibahatika kupata Watoto 33 ikiwemo pea 15 za mapacha wa kike na kiume
Baadhi walifariki utotoni huku wengine wakifikia uzeeni
Watoto 10 walikuwa hai wakati dingi wao akifariki mwaka 1892
Nary alifariki mwaka 1899
.......
 
10/Mary & John Jonas
d0834cf4f0011331e1cdc884079d2bc3.jpg
Nimeitafuta picha ya familia yao sijaipata zaidi ya vielelezo tu
Hawa wakiishi miaka ya 1800 huko
Walibahatika kupata Watoto 33 ikiwemo pea 15 za mapacha wa kike na kiume
Baadhi walifariki utotoni huku wengine wakifikia uzeeni
Watoto 10 walikuwa hai wakati dingi wao akifariki mwaka 1892
Nary alifariki mwaka 1899
.......
7d0e9f4b7f99b9718906f77a4e21e809.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom