Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Anae fugwaBata yupi sasa mdau?
Anae fugwaBata yupi sasa mdau?
TununuNdimkafu,utwa mbombo
Watoto wao ni darasa kamili.9/Mr & Mrs HarrisonHawa ni wanandoa wa huko London Uingereza miaka ya 1700 hivyo picha zao kuzipata ni tatizo![]()
Walijaaliwa kupata watoto 35
......
Nan anapiga kelele au ndo we mtuliza kelele unae piga keleleNaandika wapiga kelele
Kipi uschoelewa ueleweshweMbona sielewi hapa
Aisee10/Mary & John JonasNimeitafuta picha ya familia yao sijaipata zaidi ya vielelezo tu![]()
Hawa wakiishi miaka ya 1800 huko
Walibahatika kupata Watoto 33 ikiwemo pea 15 za mapacha wa kike na kiume
Baadhi walifariki utotoni huku wengine wakifikia uzeeni
Watoto 10 walikuwa hai wakati dingi wao akifariki mwaka 1892
Nary alifariki mwaka 1899
.......
Nasubiri nione na yule mmasai kama ataingia top tenWatoto wao ni darasa kamili.
Nyagei uwe unatofautisha mkuu..Ni salama kabisa mkuu, T hajambo?




Ni TumosaNyagei uwe unatofautisha mkuu..
T stands for Transcend only..
Tumosa wa shululu muiteni Hivyo hivyo tuu..![]()
Mambo shemu Tumosa
Keiyaa !Nasubiri nione na yule mmasai kama ataingia top ten