Amen Mkuu Shululu asante kwa magazeti mbarikiwe jumatatu na wiki njema kwenuView attachment 515890Kutoka magazetini kwa leo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono bitoz kuwa wa kwanza kufikisha likes 100
Jumatatu njema makapuku wote
Asante mama mchungaji kwa kuyapitia nawe pia ubarikiweAmen Mkuu Shululu asante kwa magazeti mbarikiwe jumatatu na wiki njema kwenu![]()
Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
Amen AmenAsante mama mchungaji kwa kuyapitia nawe pia ubarikiwe
Asantee mama mchuchuMAOMBOLEZO 3
20.Nafsi yangu ikali ikiyakumbuka hayo,nayo imeinama ndani yangu .
21.Najikumbusha neno hili kwa hiyo Nina matumaini.
22.Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii,kwakuwa rehema zake hazikomi
23.Ni Mpya kila asubuhi;uaminifu wako ni mkuu.
Asante BABA kutuamsha salama uwe kiongozi wetu Amen.
MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
Morming mme mweee ...hope uko poaaKumekucha na makucha yake kila mtu nakichaa chake, morning Lee
Bhinamu naona umeizoeeaa simatiiifoniiii kiukwelii tachiii haikusumbui...Kumekucha na kama kawaida ninasema asante kwa shululu kutupandishia magazeti, mjomba lee empire kwa UF na BlessedHope kwa sala. Ninyi huianzisha siku na sis tunafurahia sana.
Najua Mussolin5 atakuja tu muda si mrefu kwa Historia na Bitoz kwa kuboresha historia.
Zaidi asante kwetu sote kwa kujitokeza hapa na kuifanya Makapuku forum kuwa ni ya kipekee kabisa. Nawapenda
Asanteee kiongoziiiiView attachment 515890Kutoka magazetini kwa leo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono bitoz kuwa wa kwanza kufikisha likes 100
Jumatatu njema makapuku wote
Asante sana mkuuView attachment 515890Kutoka magazetini kwa leo sina la ziada tukutane tena kesho muda na wakati kama huu kwa udhamini mnono bitoz kuwa wa kwanza kufikisha likes 100
Jumatatu njema makapuku wote