Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kumekucha na kama kawaida ninasema asante kwa shululu kutupandishia magazeti, mjomba lee empire kwa UF na BlessedHope kwa sala. Ninyi huianzisha siku na sis tunafurahia sana.

Najua Mussolin5 atakuja tu muda si mrefu kwa Historia na Bitoz kwa kuboresha historia.

Zaidi asante kwetu sote kwa kujitokeza hapa na kuifanya Makapuku forum kuwa ni ya kipekee kabisa. Nawapenda
Asante Obe tunakupenda sana ,ubarikiwe

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Staili ya maisha inabadilika pamoja umri... Pengine mvi nyingi... Hawataki zionekane
Hao wana vipara vya asili
Zidani hata wakati wa zamani alikuwa na nywele rundo na kipara kidogo hivyo now itakuwa kimeongezeka

Hata Di Matteo ukiiangalia vizuri hiyo picha ya pili utakiona kipara kwa mbali kinamnyemelea
Mvi siyo tatizo kubwa kwa watu wenye uwezo wao mfano akina Majaliwa na JK wanapaka tu Super black hata Lowassa akitaka nywele zake ziwe nyeusi tii anaweza ila kipara ni shida hadi upandikizwe nywele km alivyofanya Rooney ila km umezeeka ni shida kupandikiza nywele
....
.
 
Kazi ya Magu haina makosa hivyo nimechoka kumjadili kila siku bora nikaushe
.
.
.
Ahsante kwa magazeti
Tukutane baadaye
......
Mbona umesarenda Madenge? Viongozi hawa kuwajadili ni sawa. Sema tu sijui kama haya yanayosemwa huwa yanawafikia. Ni kazi ngumu kuwa kiongozi lakini pia yaweza kuwa kazi ngumu zaidi kuwa mwongozwaji. Watafiti kule Marekani wanasema kuwa hii inaweza hata kuwa hatari kwa afya yako. Wamewafuatilia wale waliokuwa hawampendi Obama kabisa kabisa miaka minane ilitosha kuwapa kisukari, blood pressure, magonjwa ya moyo na depression kwa kiwango kikubwa. Wameonya hata wanaomchukia Trump wajiandae vizuri kisaikolojia. Sijui kwetu mambo yakoje. Jiangalie Madenge. These politicians don't give a damn!
 
Mbona umesarenda Madenge? Viongozi hawa kuwajadili ni sawa. Sema tu sijui kama haya yanayosemwa huwa yanawafikia. Ni kazi ngumu kuwa kiongozi lakini pia yaweza kuwa kazi ngumu zaidi kuwa mwongozwaji. Watafiti kule Marekani wanasema kuwa hii inaweza hata kuwa hatari kwa afya yako. Wamewafuatilia wale waliokuwa hawampendi Obama kabisa kabisa miaka minane ilitosha kuwapa kisukari, blood pressure, magonjwa ya moyo na depression kwa kiwango kikubwa. Wameonya hata wanaomchukia Trump wajiandae vizuri kisaikolojia. Sijui kwetu mambo yakoje. Jiangalie Madenge. These politicians don't give a damn!
Hakika,moyo uliotulia ni dawa ya mwili,Mungu atusaidie tusiwabebe watu hadi afya zikadorora wakati wao hawajali Mungu atusaidie sana

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom