Makapuku Forum

Makapuku Forum

1977 - Massimo Ambrosini anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Italy.

Alikuwa ni sehemu ya kikosi cha dhahabu cha Ac Milan kilichotikisa Ulaya kando ya Pirlo, Gattuso, Kaka na wengineo.

Baada ya kustaafu kwa Paolo Maldni, Ambrosini aliteuliwa kuwa nahodha mpya wa kikosi hiko.

Ametwaa klabu bingwa ulaya mara mbili akiwa na Ac Milan.
 
1977 - Massimo Ambrosini anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Italy.

Alikuwa ni sehemu ya kikosi cha dhahabu cha Ac Milan kilichotikisa Ulaya kando ya Pirlo, Gattuso, Kaka na wengineo.

Baada ya kustaafu kwa Paolo Maldni, Ambrosini aliteuliwa kuwa nahodha mpya wa kikosi hiko.

Ametwaa klabu bingwa ulaya mara mbili akiwa na Ac Milan.
Hbd kwake Nguli
 
Leo Katika Historia:

1900 - Mji wa N'Djamena waanzishwa.

Ni mji mkuu wa Chad.
fa74fa38d29ce20cae438c66db03b32f.jpg
ed050fb5bf5a3c854a5120a27e9f38e8.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom