Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1975 - Mwanamuziki Mel B anazaliwa.
Alikuwa ni member wa kundi la muziki la Spice girls.
.....
1975 - Mwanamuziki Mel B anazaliwa.
Alikuwa ni member wa kundi la muziki la Spice girls.
1977 - Massimo Ambrosini anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Italy.
Alikuwa ni sehemu ya kikosi cha dhahabu cha Ac Milan kilichotikisa Ulaya kando ya Pirlo, Gattuso, Kaka na wengineo.
Baada ya kustaafu kwa Paolo Maldni, Ambrosini aliteuliwa kuwa nahodha mpya wa kikosi hiko.
Ametwaa klabu bingwa ulaya mara mbili akiwa na Ac Milan.
1981 - Andrey Arshavin anazaliwa.
Kiungo wa zamano wa Arsenal na timu ya taifa ya Urusi.
Asantee mkuuLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Mungu mkubwaNimeizoea sana hadi kugoogle naweza
2013 - Albert Mangwea anafariki Dunia.
Mmoja ya wanamuziki waliokuwa na vipaji vya hali ya juu kuwahi kutokea katika Bongo fleva.
Tarehe ya kifo chake inachanganya, kuna wanaosema 28 na kuna wanaosema 29.
Pengo aliloacha hakika bado halijazibwa mpaka leo.
Kazi ya Magu haina makosa hivyo nimechoka kumjadili kila siku bora nikaushe
Ramadhan Kareem wote Mungu awajalie Ramadhan na Ibada njema Mungu awabariki waislamu wote na wote wanaofunga nawatakia funga njemaMfungo tatu leo, Ramadhan kareem kwa waliofunga na asubuhi njema wanakapuku wotee!
Wajina alinusurika. Akaamua kuapply ule msemo akuanzae mmalize.Wajina wako anusurika
Wajina alinusurika. Akaamua kuapply ule msemo akuanzae mmalize.Wajina wako anusurika
Pamoja mkuuAsante kwa leo katika historia mkuu musolini
AaaminRamadhan Kareem wote Mungu awajalie Ramadhan na Ibada njema Mungu awabariki waislamu wote na wote wanaofunga nawatakia funga njema![]()
Sent from my itel it1406 using JamiiForums mobile app
First lady Nancy Reagan ni maarufu kwa kutupia nguo nyekundu enzi za uhai wake, akabatizwa lady in red.
Namuona First Lady Nancy Reagan![]()
Kama huwezi kuwashinda basi ungana nao
......
Poa..... Niaje?Habari za asubuhi Makapuku
R.I.P Albert![]()
Jamaa alikuwa na kipaji kumzidi Diamond![]()
Ila starehe{Mitungi,blant,mikasi) zikampoteza ndani ya Dakika 3 kama Ferouz mzee wa Starehe
Inasemekana alifariki baada ya kuzidisha unga na kilaji huko kwa Madiba ila maiti yake ilionekana kuwa na damu puani
.....
Kwa kweliiiKwa kuvaa tu anavaa vizuri sana aisee
Staili ya maisha inabadilika pamoja umri... Pengine mvi nyingi... Hawataki zionekane![]()
Leo hii yeye na Zidane wananyoanyoa vipara tu wakati enzi zao manywele full![]()
...
Huu msemo ntautumia nikiwa madarakanWajina alinusurika. Akaamua kuapply ule msemo akuanzae mmalize.