Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ubingwa ukipatikana kwa mbelekp km ya Thimbwa wala haunogi
Waamuzi ndo chanzo cha vurugu uwanjani
Ila Wasukuma wamekomaa sana halafu dk ya Mwisho mtu anapewa penati ya DEZO
UPUMBAVU MTUPU
.
Hongereni mashabiki wa Simba
Ole wenu msimu ujao tiwasikie "Yanga anabebwa"

.........
Wamebebwa au mbao walitingwa
 
Wakuu, Shedede leo kapotelea wapi? Au kabanwa na mkewe hakuna kutoka leo? Couplez hizi ni pasua kichwa hapa Makapuku.

Anyway, nilikuwa nataka kutoa taarifa kuwa ile hadithi yake nimei-edit vizuri na iko tayari. Akirudi nadhani atairusha. Ni hadithi decent na Shedede ni mwandishi mzuri wa kiwango chake na akikazana na kufuata mawaidha na ushauri wangu wa kitaalamu atafika mbali.

Jana niliona watu wakinilaumu kuwa nawabania hadithi. Basi kazi yangu kama editor nimeshaimaliza na kuanzia sasa lawama zote zielekezwe kwa mwandishi (Shedede) mwenyewe!
Mimi pia ningependa kuandika makala kule Jamii Intellligence ila siku hizi kumeibuka kasumba fulani hivi kule jukwaani watu wanaleta ushabiki kama Team Kina na Diamond....kila atakayeanzisha makala anaambiwa "huwezi kushindana na Fulani..oooh mwachie fulani ndo anayejua"
Matokeo yake wengiwanaamua kuacha au kutoandika makala na Jukwaa kukosa msisimko

.....

.
 
Wakuu, Shedede leo kapotelea wapi? Au kabanwa na mkewe hakuna kutoka leo? Couplez hizi ni pasua kichwa hapa Makapuku.

Anyway, nilikuwa nataka kutoa taarifa kuwa ile hadithi yake nimei-edit vizuri na iko tayari. Akirudi nadhani atairusha. Ni hadithi decent na Shedede ni mwandishi mzuri wa kiwango chake na akikazana na kufuata mawaidha na ushauri wangu wa kitaalamu atafika mbali.

Jana niliona watu wakinilaumu kuwa nawabania hadithi. Basi kazi yangu kama editor nimeshaimaliza na kuanzia sasa lawama zote zielekezwe kwa mwandishi (Shedede) mwenyewe!
Asante sana kwa uhariri

Tunaisubiria kwa hamu kubwa
 
Mimi pia ningependa kuandika makala kule Jamii Intellligence ila siku hizi kumeibuka kasumba fulani hivi kule jukwaani watu wanaleta ushabiki kama Team Kina na Diamond....kila atakayeanzisha makala anaambiwa "huwezi kushindana na Fulani..oooh mwachie fulani ndo anayejua"
Matokeo yake wengiwanaamua kuacha au kutoandika makala na Jukwaa kukosa msisimko

.....

.
Andika tu
Uzi ukiwa na mashiko utatembea tu
Hao wanaojifanya kutoa kasoro wachukukie kama changamoto tu
 
Mimi pia ningependa kuandika makala kule Jamii Intellligence ila siku hizi kumeibuka kasumba fulani hivi kule jukwaani watu wanaleta ushabiki kama Team Kina na Diamond....kila atakayeanzisha makala anaambiwa "huwezi kushindana na Fulani..oooh mwachie fulani ndo anayejua"
Matokeo yake wengiwanaamua kuacha au kutoandika makala na Jukwaa kukosa msisimko

.....

.
Mtuwekeee humu kule tuwaachiee wao
 
22a011e5785fda0239a9b2c79e95a519.jpg
Hongereni ArsayNO fans wote
Now Chelsea ana kombe 1
Man Utd ....................2{achana na ngao)
ArsayNO .............1
Kila mtu kajibebea
......
 
Andika tu
Uzi ukiwa na mashiko utatembea tu
Hao wanaojifanya kutoa kasoro wachukukie kama changamoto tu
Nishausoma upepo na kuamua kukausha
Uzi hauwezi kutembea jukwaa lile zaidi zitajaa comment za mipasho tu
Hata Dikteta alishaweka nondo kule japo siyo makala
Watu kibao wanaandika makala nzuri kule uzi hautembei wala kuchangiwa
MJUKUU WA CHIFU mwenyewe naona keshaanza kupotea kule Alikuwa ana post thread za mambo mbalimbali mazuri tu anaishia kuambulia page 1 tu
Ila siku akakopi bandiko la mtu kutoka WhatsApp uzi ulisogea kinoma kwa kupondwa na matisi

.....
 
Mimi pia ningependa kuandika makala kule Jamii Intellligence ila siku hizi kumeibuka kasumba fulani hivi kule jukwaani watu wanaleta ushabiki kama Team Kina na Diamond....kila atakayeanzisha makala anaambiwa "huwezi kushindana na Fulani..oooh mwachie fulani ndo anayejua"
Matokeo yake wengiwanaamua kuacha au kutoandika makala na Jukwaa kukosa msisimko

.....

.
Mimi mwenyewe nimeacha hata kupita huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom