Makapuku Forum

Makapuku Forum

1977 - Massimo Ambrosini anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Italy.

Alikuwa ni sehemu ya kikosi cha dhahabu cha Ac Milan kilichotikisa Ulaya kando ya Pirlo, Gattuso, Kaka na wengineo.

Baada ya kustaafu kwa Paolo Maldni, Ambrosini aliteuliwa kuwa nahodha mpya wa kikosi hiko.

Ametwaa klabu bingwa ulaya mara mbili akiwa na Ac Milan.
HBD Massimo
 
1931 - Michele Schirru anauwawa na Kikosi cha Jeshi la Italy ni baada ya jaribio lake la Kumuua Benito Mussolini kushindikana.
aeb44a93bab9818019beb1dec02c02d4.jpg
1a4a428255abe0aa3d11f97791e960b6.jpg
Jamaa alikuwa ni jambazi aliyetukuka hasa wizi kwenye mabenki{Bank Robber)
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom