Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Kafiwa na babu pamoja na mjombaKumbe kafiwa
Wala sikujua
Kafiwa na nani?
Mungu amvushe katika kipindi hiki kigumu
..
![]()
![]()
kweli ww kila ktu wa mwisho
Thread ina spidiKafiwa mkuu na taarifa niliitoa mapema sana kabla ya uf
Kafiwa na babu yake pamoja na mjomba wake at the same time
MhhhhhhmhhhhhMi na mbekeko tofauti
Bora umekiri waziMkuu mm ni thimbaaaaa damuuu tutabishana mpaka kesho ...
Uiweke aiseeWimbo mtamu kabisa huu, asante mdau.
Big Mountain waliurudia wimbo huu ambao kwanza uliimbwa na kuchezwa na Frampton (jamaa anapiga gitaa huyu). waowameupiga kwenye mahadhi ya reggae na gitaa unalosikia likipigwa kwa kipekee 9electric guitar) limepigwa na mjamaika Tony Chin huku bass ikipigwa na Copeland.
Ukipenda nitaweza kuweka original version yake J3, ikiwa utapenda lakini.
Kweli aiseeUiweke
Tupo machizi mziki kibao tu
Kipa wa arsenalShem Brizeee
Mpira wa bongo ni pasua kichwaHao ndio Simbwa point za mezani ziliwagomea
Now wamepewa tiketi ya kupanda ndege na refa wao
![]()
![]()
![]()
......
Msinge panda ndege, pale msimbazi pasingekalikaNiajeeee niajeeee
Na kasi mpyaSasa hutanimiss tena kwavile nimerudi kwa nguvu mpya
Mziki wa Obe au sweetiepieWanaujua mzikiii wetu tukipandaga ndege
AiseeYeah, thanks. Nitaiweka jtatu ili nisiharibu siku ya Sweetiepie , wikend ni zake na ninamfurahia maana nami napata ladha tofauti
Niko hapa Shangani tunafurahia Ubingwa wa Simba
Ganja unatumia?We are partners when it come to music so uje uweke tu Obe wangu..... Nimependa ulivyo flow na history ya hao jamaa uko sahihi kabisa, mi napenda reggae so ndo maana nikauweka huo
Mko wote huko, au kaharibuWhaat....upo Ntwara!?
Atakupokea ubungo

SimbaaaaMziki wa Obe au sweetiepie
Asante my swiAsante jrani kwa wimbo huu mzuri nami naudedicate kwa wangu wa ubani mr.Shululu![]()
![]()