Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Ndio ila naondoka kesho daahMtwara kubwa aisee, nawe upo Mtwara?
Zimefika kabisa salamuShunie pole kwa msiba wa watu wako wa karibu. Ndiyo maisha na japo pole yangu inakuja imechelewa lakini ina uzito uleule wa zilizotangulia. Mungu atakufuta machozi na kukufariji wewe binafsi na family yako.
Pole sana auntie kwa uliowapoteza, ndiyo maisha na lazima yaendelee na ndiyo maana kabla ya kuzika huwa tunajiuliza, tule kwanza au tuzike ndo tuje tule
Zimefika kabisa salamu
Japo wewe kwenye list sikuonii
Big mountain- Baby i love your way
Daah huu wimbo huu daaaah![]()

Old is gold ililetwa kwenu nami Sweetie pie a.k.a Jimena's pacha a.k.a mwana mpotevu. Love ya'll. Nawatakieni weekend njema

Bhinamu wewe kabisa ndo wa kukosa kabisa kwenye hii list kweliiiiList ya nini tena mjomba!!
Ni list mpya, kwanini ninakuwa wa mwisho kufahamu (hata sasa sijafahamu unaongelea list ipi)
Kumbe kafiwaShunie pole kwa msiba wa watu wako wa karibu. Ndiyo maisha na japo pole yangu inakuja imechelewa lakini ina uzito uleule wa zilizotangulia. Mungu atakufuta machozi na kukufariji wewe binafsi na family yako.
Pole sana auntie kwa uliowapoteza, ndiyo maisha na lazima yaendelee na ndiyo maana kabla ya kuzika huwa tunajiuliza, tule kwanza au tuzike ndo tuje tule
Dah poa jiranAsante jrani kwa wimbo huu mzuri nami naudedicate kwa wangu wa ubani mr.Shululu![]()
![]()
.
Asante jrani kwa wimbo huu mzuri nami naudedicate kwa wangu wa ubani mr.Shululu![]()
![]()
Kumbe kafiwa
Wala sikujua
Kafiwa na nani?
Mungu amvushe katika kipindi hiki kigumu
..
Bhinamu wewe kabisa ndo wa kukosa kabisa kwenye hii list kweliiii
Rambirambi napokea kwa niaba na ninaandika kabisa majina matatu
Kafiwa mkuu na taarifa niliitoa mapema sana kabla ya ufKumbe kafiwa
Wala sikujua
Kafiwa na nani?
Mungu amvushe katika kipindi hiki kigumu
..
Najua na nimekuona kwa mbali ...ila sio mbaya ukafanya double standardme niko kwnye list ya waliochimba kaburi, sasa kama list ya rambirambi simo, sio kosa langu, nguvu zangu zimelistishwa kwenye HALI
kuchi dachiiii

List ya nini tena mjomba!!
Ni list mpya, kwanini ninakuwa wa mwisho kufahamu (hata sasa sijafahamu unaongelea list ipi)
kweli ww kila ktu wa mwisho