Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shunie pole kwa msiba wa watu wako wa karibu. Ndiyo maisha na japo pole yangu inakuja imechelewa lakini ina uzito uleule wa zilizotangulia. Mungu atakufuta machozi na kukufariji wewe binafsi na family yako.

Pole sana auntie kwa uliowapoteza, ndiyo maisha na lazima yaendelee na ndiyo maana kabla ya kuzika huwa tunajiuliza, tule kwanza au tuzike ndo tuje tule
 
Shunie pole kwa msiba wa watu wako wa karibu. Ndiyo maisha na japo pole yangu inakuja imechelewa lakini ina uzito uleule wa zilizotangulia. Mungu atakufuta machozi na kukufariji wewe binafsi na family yako.

Pole sana auntie kwa uliowapoteza, ndiyo maisha na lazima yaendelee na ndiyo maana kabla ya kuzika huwa tunajiuliza, tule kwanza au tuzike ndo tuje tule
Zimefika kabisa salamu
Japo wewe kwenye list sikuonii
 
Shunie pole kwa msiba wa watu wako wa karibu. Ndiyo maisha na japo pole yangu inakuja imechelewa lakini ina uzito uleule wa zilizotangulia. Mungu atakufuta machozi na kukufariji wewe binafsi na family yako.

Pole sana auntie kwa uliowapoteza, ndiyo maisha na lazima yaendelee na ndiyo maana kabla ya kuzika huwa tunajiuliza, tule kwanza au tuzike ndo tuje tule
Kumbe kafiwa
Wala sikujua
Kafiwa na nani?
Mungu amvushe katika kipindi hiki kigumu
..
 
Asante jrani kwa wimbo huu mzuri nami naudedicate kwa wangu wa ubani mr.Shululu[emoji7] [emoji7]
3ff0a835a9bf9be33c5a9e7f330c3510.jpg
 
Back
Top Bottom