Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ubingwa ukipatikana kwa mbelekp km ya Thimbwa wala haunogi
Waamuzi ndo chanzo cha vurugu uwanjani
Ila Wasukuma wamekomaa sana halafu dk ya Mwisho mtu anapewa penati ya DEZO
UPUMBAVU MTUPU
.
Hongereni mashabiki wa Simba
Ole wenu msimu ujao tiwasikie "Yanga anabebwa"

.........
Wasukuma kukomaa ni kawaida yetu.... Sijui cho chote kuhusu soka kwa hiyo sina la kusema. Hongera kwa walioshinda na walioshindwa wajiandae kwa mwaka ujao. Ndo maisha ati!
 
Ubingwa ukipatikana kwa mbelekp km ya Thimbwa wala haunogi
Waamuzi ndo chanzo cha vurugu uwanjani
Ila Wasukuma wamekomaa sana halafu dk ya Mwisho mtu anapewa penati ya DEZO
UPUMBAVU MTUPU
.
Hongereni mashabiki wa Simba
Ole wenu msimu ujao tiwasikie "Yanga anabebwa"

.........
Ahaaahaaahaaa madenge bwana hupendi majirani zako wapande ndege ...kuwa na huruma banaaaah




 
Hao ndio Simbwa point za mezani ziliwagomea
Now wamepewa tiketi ya kupanda ndege na refa wao

......
Mtaongea mengiiii jamaniiiiii
fcef8eccdd50943431b036a88dce8abb.jpg
 
Wasukuma kukomaa ni kawaida yetu.... Sijui cho chote kuhusu soka kwa hiyo sina la kusema. Hongera kwa walioshinda na walioshindwa wajiandae kwa mwaka ujao. Ndo maisha ati!
Nahisi wale ni Simba jike hivyo wanepewa Gender privilege baada ya kuonekana kuzidiwa na Madume ya Kwanza

........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom