Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kweli kabisa na mm najitambuaaaaa kwa kweliiii

Ila huwa nakumis
34c728b93e5dc1a90f2607b4c351d8a4.jpg
Sasa hutanimiss tena kwavile nimerudi kwa nguvu mpya
 
Umeangalia mpira?
Mbao kamyimwa pwnati ya wazi wazi halafu Thimbwa amepewa penati ya magumashi tena dk ya Mwisho
Huu ni mwezi wa Ramadhan tusije kuharibu swaaumu za watu bure
Acha ushabiki wa kinazi
Kila mwenye macho ameona
.......
Mkuu mm ni thimbaaaaa damuuu tutabishana mpaka kesho ...
 

Big mountain- Baby i love your way
Daah huu wimbo huu daaaah



Wimbo mtamu kabisa huu, asante mdau.

Big Mountain waliurudia wimbo huu ambao kwanza uliimbwa na kuchezwa na Frampton (jamaa anapiga gitaa huyu). waowameupiga kwenye mahadhi ya reggae na gitaa unalosikia likipigwa kwa kipekee 9electric guitar) limepigwa na mjamaika Tony Chin huku bass ikipigwa na Copeland.

Ukipenda nitaweza kuweka original version yake J3, ikiwa utapenda lakini.
 
Wimbo mtamu kabisa huu, asante mdau.

Big Mountain waliurudia wimbo huu ambao kwanza uliimbwa na kuchezwa na Frampton (jamaa anapiga gitaa huyu). waowameupiga kwenye mahadhi ya reggae na gitaa unalosikia likipigwa kwa kipekee 9electric guitar) limepigwa na mjamaika Tony Chin huku bass ikipigwa na Copeland.

Ukipenda nitaweza kuweka original version yake J3, ikiwa utapenda lakini.
Uiweke
Tupo machizi mziki kibao tu
 
Wimbo mtamu kabisa huu, asante mdau.

Big Mountain waliurudia wimbo huu ambao kwanza uliimbwa na kuchezwa na Frampton (jamaa anapiga gitaa huyu). waowameupiga kwenye mahadhi ya reggae na gitaa unalosikia likipigwa kwa kipekee 9electric guitar) limepigwa na mjamaika Tony Chin huku bass ikipigwa na Copeland.

Ukipenda nitaweza kuweka original version yake J3, ikiwa utapenda lakini.
We are partners when it come to music so uje uweke tu Obe wangu..... Nimependa ulivyo flow na history ya hao jamaa uko sahihi kabisa, mi napenda reggae so ndo maana nikauweka huo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom