Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Usafi umeshafanyika bado mazoezi tuWakuu habar zenu??
Usafi nao vip??
Usafi umeshafanyika bado mazoezi tuWakuu habar zenu??
Usafi nao vip??
Pamoja mkuuAsante kwa leo katika historia mkuu musolini
Hiyo ni kitu iko na hadhi zaidi ya almasiOnline transaction! Money to marijuana![]()
aisee amaizing
Usafi huku unaendelea ila ni ule wa mazoeaUsafi umeshafanyika bado mazoezi tu
Nipo fureshing mkuu vip majukumuUpo kiongozi
Mpira wa bongo unafurahisha sanaWako dodoma toka juzi
Kulu afante mndali vip majukumAfande msitafuu habr yako
Hawakujua kuwa ni dawa ya kipanda uso![]()
![]()
![]()
![]()
hawakujua kuwa ni sumu au
Siku hizi usafi unafanyika jioni asubuhi magoli wazi kiroho safiUsafi huku unaendelea ila ni ule wa mazoea
Yanakwenda murua kabisaNipo fureshing mkuu vip majukumu
Yaani timu za Tanzania zina mambo mengi kuliko tunavyo ona mambo ya viwanja ni makusudi ya watu Fulani wanao ziongoza maana kambi wanazo weka kwa msimu mzima zinatosha kusogeza ujenzi wa uwanjaMpira wa bongo unafurahisha sana
Hivi zile pesa wanazotumia kwa kuweka kambi huko mikoani vipi kama wangewekeza wawe na viwanda vyao vya mazoezi?
Asante kwa magazeti ankaliView attachment 515094Mpaka hapo sina la ziada
Tukutane tena kesho
Kwa udhamini mnono wa Tumosa my swi, tunawatakieni jumamos njema
Hiyo ni kitu iko na hadhi zaidi ya almasi





legalize it please in bob Marley opnionHuku wanataka ufanyike asubuhi maana maduka yote yamefungwa na vuongozi wako bize na ukaguziSiku hizi usafi unafanyika jioni asubuhi magoli wazi kiroho safi
Mpaka jmosi ya pili![]()
![]()
![]()
kwaiyo mnaungia juu kwa juu