Makapuku Forum

Makapuku Forum

Goodmorning le family letu pendwa ...

Pole sana shunie kwa maswahibu yalikukuta jana ...Mungu yuko nawe katika kipindi hiki kigumu muhimu kuwa na nguvu ya imani ...pole sana

NOTE: shunie jana amefiwa na babu yake ,hajakaa sawa na mjomba wake akafariki ...tumuombee
Oooh pole mke mweee Mungu amfanyie wepesi katka kipindi kigumu cha kupotelewa na wapendwa,roho za marehemu zipumzike kwa amani Amen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom