Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Tunashukuru kwa udhamini wako mnono![]()
![]()
asante kwa magazeti hny
Pamoja kiongozNi njema kabisa mkuu
Ninao mzigo stoo sina budi kuutoa tuPamoja shululu
Mi niko poa habr za pande zakoMi mzima tu VP ww
Nashukuru Mungu naendelea vyemaNi poa tu,VP ww shemelaa
Mkuu uko dodoma au darWingu limetanda huku hali ilivyo haichoshi
Wapenzi wa Simba wanaombea mvua inyeshe ili wabebe kombe
Tununu kakaMi niko poa dada utwa uko
Nipo Dar kwa sasa ila hiyo ndio imani yaoMkuu uko dodoma au dar
Wanaishi kwa kukariri mvua ikinyesha Dodoma na ule uwanja ulivyo Simba hawawezi kucheza Mpira hata kidogoNipo Dar kwa sasa ila hiyo ndio imani yao