Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Ni shwari kabisa JoroweNaona sasa umeamua kuwa popo kabisa.
shwari lakini mtaasisi
Kumekuchaje huko Ntwara?
Ni shwari kabisa JoroweNaona sasa umeamua kuwa popo kabisa.
shwari lakini mtaasisi
SwalamaaSalama waungwana?
Wapumzike kwa amani babu na MjombaGoodmorning le family letu pendwa ...
Pole sana shunie kwa maswahibu yalikukuta jana ...Mungu yuko nawe katika kipindi hiki kigumu muhimu kuwa na nguvu ya imani ...pole sana
NOTE: shunie jana amefiwa na babu yake ,hajakaa sawa na mjomba wake akafariki ...tumuombee
Pole sana mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumuWapumzike kwa amani babu na Mjomba
Na Mungu akamtie nguvu
HBD Henry1923 - Mwanadiplomasia Henry Kissinger anazaliwa.
Ni Mmarekani mwenye asili ya Ujerumani ambaye amewahi kuhudumu kama Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani.
Anatajwa kama Waziri bora kuwahi kutokea katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani.
Ndiye mtu aliykuwa nyuma ya kumalizika kwa vita ya vietnam na kumfanya apokee tuzo ya nishani ya Nobel.
HBD Gazza1967 - Paul Gascoine ' Gazza ' anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Spurs na timu ya taifa ya England.
Alibarikiwa kuwa na kipaji cha hali ya juu, ila utovu wa nidhamu na ulevi uliopindukia uligharimu kipaji chake.
Tunashukuru sana kwa magazeti mkuu.View attachment 515094Mpaka hapo sina la ziada
Tukutane tena kesho
Kwa udhamini mnono wa Tumosa my swi, tunawatakieni jumamos njema
Salama kabisa kamanda mkuuNaendelea vizuri habari za huko
Umeakaje mkuuSwalamaa
Asante habari ya kupambana na maishaSalama kabisa kamanda mkuu
interesting.2009 - Fainali ya klabu bingwa ulaya inafanyika huko Jijini Rome katika uwanja wa Olimpico.
Barcelona Vs Man Utd, ambapo Barca walishinda kwa goli 2-0 kwa magoli ya Messi na Eto'o.
Husna mzima?Pole sana mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu
Pole sana mungu awatie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu
Asante kwa historia mkuuLeo Katika Historia:
Niwatakie mfungo mwema wa mwezi mtukufu wa Ramdhan, sabato njema na wikend njema kwa wote.
Haisahauliki2009 - Fainali ya klabu bingwa ulaya inafanyika huko Jijini Rome katika uwanja wa Olimpico.
Barcelona Vs Man Utd, ambapo Barca walishinda kwa goli 2-0 kwa magoli ya Messi na Eto'o.
Amen Ubarikiwe mkuu Mussolin5Leo Katika Historia:
Niwatakie mfungo mwema wa mwezi mtukufu wa Ramdhan, sabato njema na wikend njema kwa wote.
PamojaAsante kwa historia mkuu