Makapuku Forum

Makapuku Forum

1937 - Daraja la Golden Gate Bridge lafunguliwa huko California nchini Marekani.

Ni moja kati ya madaraja makubwa yanayopatikana nchini humo.

Pia daraja hilo hutumika kama nembo ya timu ya mpira wa kikapu ya Golden state Warriors
 
1923 - Mwanadiplomasia Henry Kissinger anazaliwa.

Ni Mmarekani mwenye asili ya Ujerumani ambaye amewahi kuhudumu kama Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani.

Anatajwa kama Waziri bora kuwahi kutokea katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani.

Ndiye mtu aliykuwa nyuma ya kumalizika kwa vita ya vietnam na kumfanya apokee tuzo ya nishani ya Nobel.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom