Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Umejua niniHahaaaa! Nimejua tuu
Umejua niniHahaaaa! Nimejua tuu
We acha tu shem mipango inapanganaTuko poa shemela,mbona uliadimka hvo
Una kumbukumbu nzuri sanaPicha jaman msisahau ya chakula mbona nyagei alituwekea ya pilau na mayonnaise
Ni mwendo wa uben po tuEehn hapo sawa cuzoo wangu yuko apiiiii au umemteka nimemtafuta kote sijamuona toka jana
Tunajifunza mchezo wa kutekanaAcheni ujinga basi...!
Kina nyagei wanajifunza nini

Hongera kwa 198kNyagei ni mtoto hivi
Imegoma kufunguka
Salama tu mkuu unaendeleajeHabari zenu humu ndani
Shukrani mkuu Na kwako piaRamadhan qareem kapukuz
usiku mwema!
Na kwako pia mkuuUsiku mwema makapuku wenzangu
Anakoroma huyoHebu iangalie tena, nimeondoa vikorokoro kadhaa, itacheza sasa naamini.
Naona unakesha leo🙂
Abakoroma huyo
Usijalii bossy ngoja tumtafute anayeweza kaziiiBosi naomba unitafutie kijana wa kazi yule wa kolomije anataka kurudi kwao