BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
HahahahaNa wewe pia mama mchuchu..
Msalimie Werrason
HahahahaNa wewe pia mama mchuchu..
Msalimie Werrason
1909 - Sir Matt Busby anazaliwa.
Kocha wa zamani wa Man Utd kutokea Scotland.
Alikuwa na kikosi hatari kilichojulikana kama " The busby babes " ambapo kilipata ajali ya ndege mwaka 1968 huko Munich, Ujerumani.
Ni kocha mwenye heshima kubwa baada ya Sir Alex Ferguson.
Mie cjambo cjui wwMtoto wa Wenger niaje
1941 - Aldrich Ames anazaliwa.
Jasusi wa zamani wa CIA ambaye anatumikia kifungo cha maisha kwa makosa ya kuuza siri za nchi.
YEREMIA 29
MUNGU anataka tumtafute kwakweli,bahati mbaya sisi mara nyingi tunamtafuta MUNGU pamoja na mambo mengine na vitu vingine vinavyoonekana na kutuvutia kwa macho yetu kwa muda mfupi .
SIKU NJEMANafurahi kukuonaMie cjambo cjui ww
Umeona eeeh T.Eeh
Ukisikia werrason lazima meno yaonekane..
Hahaa
1977 - Luca Toni anazaliwa.
Straika wa zamani wa Italy ambaye alishinda kombe la dunia mwaka 2006.
AmenYEREMIA 29
13.Nanyi mtanitafuta na kuniona,mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.
MUNGU anataka tumtafute kwakweli,bahati mbaya sisi mara nyingi tunamtafuta MUNGU pamoja na mambo mengine na vitu vingine vinavyoonekana na kutuvutia kwa macho yetu kwa muda mfupi .
Tujitahidi kufumbua macho ya rohoni na kumruhusu Mungu atuonyeshe alichopanga tupate,tuhesabu baraka,uumbaji,upendo,amani,afya na mambo mengi aliyotupa bila hata kuomba.tumshukuru Mungu kwa yote anayotutendea.
Shalom![]()
![]()
SIKU NJEMA
Niko poa kabisa, tunajiandaa kuchukua FAMie cjambo cjui ww
1988 - Juan Cuadrado anazaliwa.
Winga wa Juventus na timu ya taifa ya Colombia.
Binamu hata we unanifanyia hivi ninavyopiga debe mama mchuchu awe wako...vipo, sema huyu cheusi ni wangu, ni wa ukoo
...usinichekeshe usiku aunt , sijasema nimezoea, ulininukuu vibaya
Nimesema, nimeridhika na asante. Kuna tofauti kati ya kuzoea na kuridhika😀😀😀

sawa na kweli mmeiganaMjombaangu hawezi kuniharibia, hivi ni vitu nimeiga toka kwake, mambo ya ukoo
Unataka kuwa Padre?

Hata shedede na baby wake na wenyewe wanafanya kweli
mambo ya pale kati
yaan binamu weweMjomba, za asubuhi, heshima yako nakupa.
Jana sikuwa chakali, leo si Ijumaa na tutakuwa wote twende pale contena pub tukapige vitu kwa bia ya jeshini. Then, tunapanga mikakati ya kukusaidia soo lako kwa aunt kuhusu atm
Inasikitisha sana kuondokewa na watu wote haoUnbeliavable facts
The youngest soldier in WW1 was Momčilo Gavrić who joined the Serbian army as an 8-year-old when his parents, grandmother, 3 sisters and 4 brothers were killed by Austro-Hungarian soldiers. He was later promoted to Corporal and again later to Lance Sergeant when he was 10 years old.
Momčilo Gavrić, the Youngest Soldier of WWI, Joined the Army at Age of Eight