Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Hans Nilsen Langseth
c1a3216b723ea1524a996349df5f7c49.jpg
fe8969c59c269b6ef9684183caf0c340.jpg

Huyu mnorway ndo Mfalme wa madevu kuwahi kutokea duniani
Ndevu zake zilipimwa kabla ya mazishi yake mnamo mwaka 1927 na kukutwa na urefu wa futi 17 na inch 6 hadi leo ishapita miaka 90 lakini rekodi yake ipo palepale aliyejitahidi amefikisha futi 8 tu
.........
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho kwenye 10 kubwa ya kufungia wiki
Mwisho
.......
Alitisha sana aisee

Asante bitoz kwa kumi kubwa
 
ZABURI 121

1.Nitayainua,macho yangu niitazame milima ,Msaada wangu utatoka wapi?

2.Msaada wangu u katika Bwana ,Aliyezifanya mbingu na nchi.

3.Asiuache mguu wako usogezwe,Asisinzie akulindaye

4.Naam,hatasinzia wala hatalala usingizi,yeye aliye mlinzi wa Israel.

5.BWANA ndiye mlinzi wako,BWANA ni uvuli mkono wako wa kuue.

6.Jua halitakupiga mchana,wala mwezi wakati wa usiku.

7.BWANA atakulinda na mabaya yote,Atakulinda nafsi yako.

8.BWANA atakulinda utokapo na uingiapo,Tangu sasa na hata milele.

TUOMBE
Asante Baba kwa ulinzi wako,toka asubuhi mpaka muda huu.
Tunaomba malaika walinzi wazunguke vitanda vyetu,tulaze salama na utuamshe salama tena kesho asubuhi.
Ponya wagonjwa,fariji wafiwa ,watie nguvu wajane na yatima nawakumbuke waluovunjika moyo kuwa lipo tumaini kwako.
Tunakuomba utufunike kwa damu takatifu inenayo mema.
Asante Baba kwakuwa utatenda sawa na mapenzi yako.
Tunaomba na kushukuru
Amen
USIKU MWEMA
Aminaaaaaaaaaaaaaaa
 
ZABURI 121

1.Nitayainua,macho yangu niitazame milima ,Msaada wangu utatoka wapi?

2.Msaada wangu u katika Bwana ,Aliyezifanya mbingu na nchi.

3.Asiuache mguu wako usogezwe,Asisinzie akulindaye

4.Naam,hatasinzia wala hatalala usingizi,yeye aliye mlinzi wa Israel.

5.BWANA ndiye mlinzi wako,BWANA ni uvuli mkono wako wa kuue.

6.Jua halitakupiga mchana,wala mwezi wakati wa usiku.

7.BWANA atakulinda na mabaya yote,Atakulinda nafsi yako.

8.BWANA atakulinda utokapo na uingiapo,Tangu sasa na hata milele.

TUOMBE
Asante Baba kwa ulinzi wako,toka asubuhi mpaka muda huu.
Tunaomba malaika walinzi wazunguke vitanda vyetu,tulaze salama na utuamshe salama tena kesho asubuhi.
Ponya wagonjwa,fariji wafiwa ,watie nguvu wajane na yatima nawakumbuke waluovunjika moyo kuwa lipo tumaini kwako.
Tunakuomba utufunike kwa damu takatifu inenayo mema.
Asante Baba kwakuwa utatenda sawa na mapenzi yako.
Tunaomba na kushukuru
Amen
USIKU MWEMA
Ameen
 
Muziki Kuelekea Ijumaa

Habari za muda Makapuku waaminifu, yeah, waaminifu maana kila siku tunatia timu humu na hatujawahi kulalamika kuwa kuna kitu tunakosa. Zaidi ni ukweli kwamba ambao hawako humu wanakosa mengi mazuri na hata tukiwapelekea tunafaidika nayo humu (kuanzisha thread kutokana na yaliyojiri humu) bado wa mwanzo ni wa mwanzo tu.

Kuna anayebisha? Huku tunauliza majibu maswali yanapoteza muda.

Tunakutana tena usiku huu huku tukiwa na muda mchache tu kuikaribia 'furahidei'. Kwa makusudi kabisa nakuwish happy almost furahiday Kapuku mwenzangu.

Well, ni wakati wa ka-kipengele ka buruduni ya gitaa katika muziki. Leo tunaangalia muziki wa band, yeah yaani kama mfano wa tancut Almasi enzi zile, bana Beta na nyingine nyingine, sema nini ujue, hii iko wapwa zake malkia LizzyII yaani US of A.
Tunamwangalia mwanadada Samantha Fish na band inaitwa Samantha Fish Band, hawa wanapiga Blues la kisasa sio lile la Chicago la kina Buddy Guy and co. Hapa gitaa na ngoma za umeme zinakung'utwa sawasawa kiasi kwamba inahitaji milo saba na si miatu kama tuliyozoea.

Muziki na upigaji wake wa gitaa umekuwa ukifanana sana na SRV (Nitamleta hapa huyu nguli, na kama unakumbuka wakati nimempandisha BB King alikuwa BB, Buddy, na Stivie Ray Vaughan).

Keshashinda tuzo katika muziki wa Blues huko USA na nyimbo zake kukamata chati kadhaa

Asante kwa Mondray aliyetoa darasa la kulink sasa nina link hii clip ya YouTube umuone mwanadada Samantha Fish akitumbuiza

SN: Nyie ni watu bora kabisa kutumia muda pamoja. LLL


Asante Obe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom