Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Asante sanaMorning ubarikiwe
Asante sanaMorning ubarikiwe
Nawe pia ijumaa njemaLeo katika Historia:
Sina la ziada. Ijumaa njema.
Asante sana mwenyekitiLeo katika Historia:
Sina la ziada. Ijumaa njema.
R.I.P Ken,nadhani huyu ndege ni TAI,nasikia mtoto hakusurvive,na watu walimshutumu mpiga picha kwa nini hakumbeba....labda hakua na gloves..nawaza tu maana wenzetu bila gloves ni mara chache watakuhudumia hasa katika hali mbaya kama ya mtoto huyu.So alifeel guilty kwa kupiga picha na kushindwa kumsadia mtoto mwenye uhitaji.NUKUU YA LEO.
I have gone to join Ken, if I am that lucky.
Nimeondoka kumfuata ken, nina bahati katika hilo.
Muendelezo wa nukuu ya suicide note ya kevin Carter. Party 3
Tarehe 11 mwezi March 1993 Kevin Carter anafika eneo la Sudan kusini wakiwa na Joao Silva. Walienda sudan wakiwa na vikosi vya umoja wa Mataifa wakati wa njaa kubwa nchini Sudan.Wakiwa kwenye shughuli zao za kawaida ulifika muda vikosi vinagawa chakula , huu ndio ulikuwa muda wa kina kevin na silva kupiga picha.
Inasemekana hapa ndio Kevin Carter anakutana na mtoto mwenye njaa akiwa ameshindwa kutembea kwenda kwenye foleni ya kupokea chakula, wakati huo huo anakuja Kunguru anayeonekana kutaka kumla yule mtoto mdhoofu.
Kevin Carter anampiga picha mtoto akiwa hawezi kutembea na amejiinamia kuonyesha kuwa hawezi tena kutembea wala kuinuka, nguvu zimemuishia na wakati huo huo Kunguru anajongea kwa nyuma tayari kwa kumfanya mtoto kitoweo.
Kevin Carter anakauza hiyo picha kwa jarida la The New York Times, na kwa mara ya kwanza tar, 26 march 1993 picha hiyo inachapishwa. Magazeti mengi yanaichukua na kuichapisha yakionesha kuuzunishwa na hali ya mtoto huyo.
Kuanzia tarehe 27 march 1993, watu wengi ulimwenguni wanawasiliana na gazeti la The new york times kama Yule mtoto alifanikiwa kufika kwenye kituo cha ugawaji wa chakula, Tarehe 30 march 1993 gazeti linatoa majibu kuwa mtoto alisimama kuendelea na safari baada ya mpiga picha kumfukuza kunguru ila bado haifaamiki kama alifika kituoni.
![]()
![]()
To be continued in 10 hours to come.
Baadaye jioni nitamalizia hii stori..R.I.P Ken,nadhani huyu ndege ni TAI,nasikia mtoto hakusurvive,na watu walimshutumu mpiga picha kwa nini hakumbeba....labda hakua na gloves..nawaza tu maana wenzetu bila gloves ni mara chache watakuhudumia hasa katika hali mbaya kama ya mtoto huyu.So alifeel guilty kwa kupiga picha na kushindwa kumsadia mtoto mwenye uhitaji.
So sad,hapa Tanzania pia imeanza tabia ngumu ajali maafa shida zikitokea watu hushughulika zaidi na upigaji picha sio kuokoa,wala kutoa msaada wa haraka hata kupiga simu kwa mamalaka husika,tabia ambayo imekomaa toka hizi simu za camera kusambaa utu umepungua sana.
Huyu Kevin Carter sijui aliwaza nini,kujiua alikua ma maelezo ya kutosha kutokana na mission yao,Mungu amsamehe sana na apumzike kwa amani.
Morning T wa Sakayo upo? asante sana kwa nukuu kazi yako ni njema uwe na siku njema sana ubarikiweMorning wakuu

Na wewe pia mama mchuchu..Morning T wa Sakayo upo? asante sana kwa nukuu kazi yako ni njema uwe na siku njema sana ubarikiwe![]()
Niaje kiongoziNa wewe pia mama mchuchu..
Msalimie Werrason
Pamojaaa kiongoziiiMi hii ndiyo picha ninayoipenda![]()
Hitler na swahiba wake Mussolini akipiga saluti ya kiNAZI
.
.
.
.
Ahsante kwa fact zilizotukuka
......
Pole zao sana jamani,tumuombe sana Mungu asimamishe haya matetemeko,yanadhuru wengiHuku shwari. Nasikia ndg zetu mwanza tetemeko limepita jana.
Kwema kkaNiaje kiongozi
Za Hongkong ni vipi?Niaje kiongozi
1981 - Waziri Mkuu wa Italy Arnaldo Forlani na baraza lake la mawaziri wanajiuzulu kufuatia kashfa ya skendo mbalimbali.
Amen asante sanaMungu atawasimamia wapone haraka

1986 - Jumuiya ya Ulaya yaanza kutumia bendera yake ijulikanayo kama European flag.
Nipo hapa hapa mjini mkuuZa Hongkong ni vipi?
Ni muhimu kucheckJamaa yangu alipata shida kama hiyo, baadaye tulimsahau aisee, na yeye alichubuka tu, kumbe bandama ilipata tatizo
Juzi hatukupishana Jomo kenyatta wewe?Nipo hapa hapa mjini mkuu