Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika Historia:

Sina la ziada. Ijumaa njema.
Asante sana mwenyekiti
39ce4e64f666637d876819415ed834ec.jpg


T G I F
 
NUKUU YA LEO.

I have gone to join Ken, if I am that lucky.


Nimeondoka kumfuata ken, nina bahati katika hilo.


Muendelezo wa nukuu ya suicide note ya kevin Carter. Party 3

Tarehe 11 mwezi March 1993 Kevin Carter anafika eneo la Sudan kusini wakiwa na Joao Silva. Walienda sudan wakiwa na vikosi vya umoja wa Mataifa wakati wa njaa kubwa nchini Sudan.Wakiwa kwenye shughuli zao za kawaida ulifika muda vikosi vinagawa chakula , huu ndio ulikuwa muda wa kina kevin na silva kupiga picha.

Inasemekana hapa ndio Kevin Carter anakutana na mtoto mwenye njaa akiwa ameshindwa kutembea kwenda kwenye foleni ya kupokea chakula, wakati huo huo anakuja Kunguru anayeonekana kutaka kumla yule mtoto mdhoofu.

Kevin Carter anampiga picha mtoto akiwa hawezi kutembea na amejiinamia kuonyesha kuwa hawezi tena kutembea wala kuinuka, nguvu zimemuishia na wakati huo huo Kunguru anajongea kwa nyuma tayari kwa kumfanya mtoto kitoweo.

Kevin Carter anakauza hiyo picha kwa jarida la The New York Times, na kwa mara ya kwanza tar, 26 march 1993 picha hiyo inachapishwa. Magazeti mengi yanaichukua na kuichapisha yakionesha kuuzunishwa na hali ya mtoto huyo.

Kuanzia tarehe 27 march 1993, watu wengi ulimwenguni wanawasiliana na gazeti la The new york times kama Yule mtoto alifanikiwa kufika kwenye kituo cha ugawaji wa chakula, Tarehe 30 march 1993 gazeti linatoa majibu kuwa mtoto alisimama kuendelea na safari baada ya mpiga picha kumfukuza kunguru ila bado haifaamiki kama alifika kituoni.

3799486fe885344c57b91793ea987b98.jpg
b97ff338cb8b019845309f68dfda0aac.jpg


To be continued in 10 hours to come.
R.I.P Ken,nadhani huyu ndege ni TAI,nasikia mtoto hakusurvive,na watu walimshutumu mpiga picha kwa nini hakumbeba....labda hakua na gloves..nawaza tu maana wenzetu bila gloves ni mara chache watakuhudumia hasa katika hali mbaya kama ya mtoto huyu.So alifeel guilty kwa kupiga picha na kushindwa kumsadia mtoto mwenye uhitaji.

So sad,hapa Tanzania pia imeanza tabia ngumu ajali maafa shida zikitokea watu hushughulika zaidi na upigaji picha sio kuokoa,wala kutoa msaada wa haraka hata kupiga simu kwa mamalaka husika,tabia ambayo imekomaa toka hizi simu za camera kusambaa utu umepungua sana.

Huyu Kevin Carter sijui aliwaza nini,kujiua alikua ma maelezo ya kutosha kutokana na mission yao,Mungu amsamehe sana na apumzike kwa amani.
 
R.I.P Ken,nadhani huyu ndege ni TAI,nasikia mtoto hakusurvive,na watu walimshutumu mpiga picha kwa nini hakumbeba....labda hakua na gloves..nawaza tu maana wenzetu bila gloves ni mara chache watakuhudumia hasa katika hali mbaya kama ya mtoto huyu.So alifeel guilty kwa kupiga picha na kushindwa kumsadia mtoto mwenye uhitaji.

So sad,hapa Tanzania pia imeanza tabia ngumu ajali maafa shida zikitokea watu hushughulika zaidi na upigaji picha sio kuokoa,wala kutoa msaada wa haraka hata kupiga simu kwa mamalaka husika,tabia ambayo imekomaa toka hizi simu za camera kusambaa utu umepungua sana.

Huyu Kevin Carter sijui aliwaza nini,kujiua alikua ma maelezo ya kutosha kutokana na mission yao,Mungu amsamehe sana na apumzike kwa amani.
Baadaye jioni nitamalizia hii stori..

The reason behind his Death! Jiulize kwanini alijiuwa?
 
1981 - Waziri Mkuu wa Italy Arnaldo Forlani na baraza lake la mawaziri wanajiuzulu kufuatia kashfa ya skendo mbalimbali.
7a532ca6bc8cb62b88997911bd693850.jpg
84f8510be718d6487851407216335474.jpg
Alizaliwa mwaka 1925(Nyerere akiwa na umri wa miaka 3 tu)
Alikuwa ni Waziri mkuu wa 43 wa Italia
Aliingia madarakani Oct 1980 yaani hakumaliza mwaka skendo kibao zikamuandama na kuachia ngazi
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom