Makapuku Forum

Makapuku Forum

*Hekima ya leo

```Kile ambacho mwanaadam amekihifadhi moyoni mwake ipo siku atakizihirisha kwa watu```

""Basi yapasa watu wahifadhi yaliyo mema na Mazuri juu ya nduguzo; kwani huenda unaemuona mbaya na kumchukia akawa ndiyo mwema wako na mwenye mapenzi na wewe na huenda unaempenda ukamuona anakusamini na ndiye muovu wako, ufanye moyo wako uwe nadhana njema juu ya nduguzo ilikitapo dhihirika kilichopo moyoni mwako kiwe Ni chema juu yao;

_Na mwenye kutaka kukutana na mola wake akiwa Salama na mwenye kuriziwa na mola wake; Aongeze mizani yake kwakufanya yaliyo mema!

Asubuhi njema!
Asante sana
 
1953 - Daniel Passarella anazaliwa.

Alikuwa ni beki kisiki wa kati wa timu ya taifa ya Argentina.

Mmoja kati ya mabeki bora kuwahi kutokea.

Alifunga magoli 134 na kuwa beki wa pili katika orodha ya mabeki waliofunga magoli mengi zaidi nyuma ya Ronald Koeman ambaye kwasasa ni kocha wa Everton.

Ni mchezaji pekee wa Argentina kutwaa Kombe la Dunia mara mbili mwaka 1978 wakiwa nyumbani na 1986 pale Mexico.
hbd daniel
 
d456d6dae098842042fda9d111616e09.jpg
cecdc721e0b1632a87f27f5df6ba9d75.jpg

Huku kwetu wanapotea watu wazima km Ben Saanane
.
.
.
.shukrani mkuu kwa historia
Nikutakie siku njema
........
Asante kwa picha madenge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom