Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
1965 - Yahya Jammeh anazaliwa.
Kanali na Rais wa zamani wa Gambia.
Waafrika tuna shida
........
1965 - Yahya Jammeh anazaliwa.
Kanali na Rais wa zamani wa Gambia.
AmenZABURI 71
8.Kinywa changu kitajazwa sifa zako, Na heshima yako mchana kutwa.
TUOMBE
Asante Baba kutuamsha salama.
Tunajikabidhi mikononi mwako,utulinde,utuongoze,utuponye.
Neema yako yatosha.![]()
Amen
MBARIKIWE SIKU NJEMA![]()
![]()

Naona uko mazoeziniAisee, asante sana. Naitafuta 200k
FactMpuuzi anayehangaika kila siku kuingia humu na kutokana na kujifanya yeye ndo mtu wa maana mkiwa mnamuignore kwa kutomjibu ndo roho itamuuma
Ni sawa na mtu kwenda sehemu watu walipomusanyika na kupigamayowe kama mbuzi halafu hajibiwi lazima ataumia moyoni
Nawaomba mjofunze kinyamazia watu wapuuzi wapuuzi
Sisi km watu tulioelimika na tuna maisha yetu
Hakuna haja ya majibizano wala kujionyesha
.
Pls do this
................
- Ni siku ya Watoto wanaopotea nchini Marekani.
Siku hii ilianzishwa na Rais Ronald Reagan baada ya kupotea kwa mtoto Etan Patz.
Mtoto Etan Patz , May 25 mwaka 1979 wakati anaenda kupanda basi la shule.
Hakuwahi kuonekana tena. Hivyo ile siku aliyopotea inaazimishwa kila mwaka.
AminaaaaZABURI 71
8.Kinywa changu kitajazwa sifa zako, Na heshima yako mchana kutwa.
TUOMBE
Asante Baba kutuamsha salama.
Tunajikabidhi mikononi mwako,utulinde,utuongoze,utuponye.
Neema yako yatosha.![]()
Amen
MBARIKIWE SIKU NJEMA![]()
![]()
Shunie thibitisha tafadhaliVitu adimuuu qdimuuu punch after punch ...anajuaaa
Umeamkaje mkuuNaona uko mazoezini
Sizonje again!!!
Wacha uganga wa kienyeji Bitoz....unakumbuka mwanzo wa msimu ulioisha Man Utd ndo alipewa nafasi kubwa ya ubingwa?Wasipoangalia wataigiza FUTUHI hata msimu mitatu mfululizo
Next season Spurs hatoki Top 4
Vita itakuwa kwa Liver, Man Utd ,City & ArsayNO
Chelsea keshatia akili tangu yamkute
.......
Habr yako shemuShukrani mkuu
Jamaa anachekesha aisee
Mambo moto moto ...am speecheless hun
to have you as my husband is my honor
be always with me alwayslove uuuu lee wangu
Wanaume wataalamu ndo moja ya sifa zetu.We mwanaume jamaanhivi mbona haufananiii
Jibu umeliona Shunieaisee baby njo unijibie nimekuwa bubu ghafla
Mkuu bitoz unaendeleajeSizonje again!!!
Jamaa haeleweki
Tukipiga kelele kuhusu madudu ya wateule wake hatusikilizi
Siku yakimfika anakuja na povu na kuamua kutumbua watu
Jamaa anachekesha sana
.
.
.
.
Ahsante kwa magazeti mdau
........
Nina wasiwasi juu ya uwepo wa huyu mtotoyule ni mtoto ujue unatakiwa ujue hilo
Shunie Nakukumbusha wewe ni Chelsea ha ha ha ha ha ha.Ulikua unatusumbua sana binamu