Makapuku Forum

Makapuku Forum

ahaha cuzoo shedede alikua na gundu kila akitongozwa anaangukia pua

na husna si unajua yalimkuta kwa bamdogo na uzi akamwandikia bamdogo akakamatika kwa jimama lake akaachwa

nikamwambia husna eb onana na shemeji yangu mfarijiane basi ndio wakapendana kimoja cuzoo mm kosa langu nini
"...shedede alikua na gundu kila akitongozwa anaangukia pua..."

Shedede duh! Anatongozwa halafu tena anapigwa chini?
 
Leo katutembelea Kolomije
bd11905e09b26fa4d07fab4bbd8503d4.jpg
 
1/Ashley & Mary--Kate Olsen
416dc5e515340511ebd672d75b954e49.jpg
8b4670ad2ec1838964c1b4e3846faeac.jpg

Hawa umaarufu wao inatokana na pesa walizonazo.....hawajafikisha hata miaka 30 lakini wana mkwanja mrefu wa kuweza kuwahonga hadi Sizonje na Bashite
Wanatajwa kuwa wanawaje matajiri # 11 duniani
.
.
.
.
.
Ahsanteni kwa mliofuatilia mada
Tukutane kesho
Mwisho
.............
Asante mkuu
 
Muziki Bila Sababu

Habari Makapuku!

Kutokana na sababu zilizo ndani ya uwezo wangu, sitaweza kuongelea utamu wa gitaa kwa leo. Tupo na profesa Muongoo tunaandaa kushawishi iletwe ripoti ya ununuzi wa meli MV daslam.

hata hivyo kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu siwezi kuwaaga bila kuwaachia ka-gitaa na kisauti cha mwanamama mtamjua mwenyewe.

Nyie ni watu bora kabisa kutumia wakati wenu nami jioni na usiku huu. LLL

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom