Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Aiseee
Sasa unataka anivamie bila utaratibu
Aiseee
Sasa unataka anivamie bila utaratibu
au unanizunguka mbuyu ujue mm ninapigwa vita na wengi sema mm jeshi la mtu mmojaKanywa bange mbichi huyoo
Sio bure
Umefurai ee?!Hahahaaahaha
Unaona sasa! Eti nimehairisha? Si useme tu umeharisha kieleweke? Irabu za Kiswahili na hii h- kwenu Wahaya ni shida hata msome namna gani...![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nimehairisha
Naona umekuja kutuletea kupatwa kwa shedede
Miss you too my dearNilikumic![]()
Niko freshUko poa? wa ubavuni mwangu
kwani mm na lee tuna ugomvi?Mbembeleze Lee muyajenge
huu ni uchocheziau unanizunguka mbuyu ujue mm ninapigwa vita na wengi sema mm jeshi la mtu mmoja
Yeah majukumu lazima baby ili mkono uende kinywani![]()
![]()
![]()
aisee majukumu siunajua tena
Mh ilete kama umeicopy itajulikana tu ukishambuliwa hatukuteteiHaija-copywa aisee
Natumia mind![]()
Mhaya - produceritabidi niwe nampa shimba awe anazi-edit afu anawapa nyie hapo tutaenda sawa sio![]()
Mimi-producer
Msukuma-editor
Mwee...- mwenzaHivi hiyo mwee*
Inamaanishaga nini??
hamna uchochezi aiseehuu ni uchochezi
wataje kwa majina au unawaogopa(nay wa mitego's voice)