Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wapiii sasa jamaniii

Aiseeeh kama ustaarabu ungekuwa unauzwa sijui

Hapa kwenye daladala la kwenda mtakuja nimebahatika kupata siti ila kuna mrembo kasimama na mimi nilivo nundaz sijamuulumiaa eti akae

Ila navomchungulia naoa kwenye kwapa ana bonge na manyweleee

Sijui nimkumbushe ..ila mrembo kaumbika tatizo hilo tu
Km unataka kuchambwa mwambie
 
Mh unataka kutukamata wapenda story mke mwee unamuona huyu
ef7b4c7769a7ec5c881b15e9f74de658.jpg
itabidi niwe nampa shimba awe anazi-edit afu anawapa nyie hapo tutaenda sawa sio

Mimi-producer
Msukuma-editor
 
ahaha cuzoo shedede alikua na gundu kila akitongozwa anaangukia pua

na husna si unajua yalimkuta kwa bamdogo na uzi akamwandikia bamdogo akakamatika kwa jimama lake akaachwa

nikamwambia husna eb onana na shemeji yangu mfarijiane basi ndio wakapendana kimoja cuzoo mm kosa langu nini
Kosa lako kuwa kuwadi cuzoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom